Mr Kiroboto
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 350
- 90
Haya muungwana mpaka buje na hii buje nayo ni kiswahili ama kifaransa ?
Hii Pedejee inanikumbusha yule mzaa Makaranga kule ilala miaka ile wanaomjua bado yupo ? ila yeye alikuwa mcha mungu.
SAHIBA.
teh teh
unanikumbusha mzee wa totoz(sakisi).Hilo neno buje ni kifaransa maana yake " move"