Kitabu alichoonyesha Freeman Mbowe Mahakamani kina ujumbe gani?

Kitabu alichoonyesha Freeman Mbowe Mahakamani kina ujumbe gani?

Wakuu kwanza hongereni kwa neema ya mvua kubwa popote mlipo nchini Tanzania, wacha inyeshe ili tuone panapovuja.

Leo kama ilivyo kawaida ya siku za wiki, habari kubwa ni ile ile ya siku zote ya Mh Mbowe kufikishwa Mahakamani na kuteka vyombo vyote vya habari vya dunia, sasa jambo kubwa leo ni kitabu alichokibeba na kukionyesha hadharani.


Hiki kitabu ndani yake kumeandikwa mambo gani ?

Ukiyaona ya akina Lembrus Mchome utajua ndani humo kunaweza kuwapo mashabihiano.

Inafurahisha kuwa baada ya kujilinda tu kwenye kesi ya Adamoo tukidhani kuna nia njema kote ya haki kutendeka, sasa ni tuna shambulia vilivyo pia.

Kwa hakika wafu sasa wanafufuka!

Ingependeza zaidi Mosses Lijenje na Luteni Urio wangetokea upande wetu.
 
Uwe umeoa mke siku uondoke ded mtu aliyemrithi mke wako sifa zako zianze kufufuka na kukuingia wewe
 
Mbowe anamuombea Magufuli sasa?
Too late aendelee kushangilia kama alivyofanya kwenye ki video chake.
Huna akili ya kusoma hicho kitabu wewe Zuzu, umesoma cover tu unaleta tafsiri ya kilichomo? The dead are arising, yes let them arise and see!!
 
Inavuma Duniani kote kwenye vyombo gani?

Au ITV WORLD?
 
Nilichoelewa Mliodhania alietangulia kufa kwake ni mwanzo wa ukurasa mpya wa democrasia basi mumepotoka!! Mambo ni yale yale na fimbo ya Kupigia ni ileile
Ninacho hcho kitabu ngoja nikupe ukakisome mwenyewe,kina page 590 hv
 

Attachments

Back
Top Bottom