Mbowe hajakuambia?
None sense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe hajakuambia?
Kijakazi wa Mbowe unahaha sana. Kwa nini usilime maparachichi huko kwenu?Swali lako ni zuri ila ni la kijinga
Wakuu kwanza hongereni kwa neema ya mvua kubwa popote mlipo nchini Tanzania, wacha inyeshe ili tuone panapovuja.
Leo kama ilivyo kawaida ya siku za wiki, habari kubwa ni ile ile ya siku zote ya Mh Mbowe kufikishwa Mahakamani na kuteka vyombo vyote vya habari vya dunia, sasa jambo kubwa leo ni kitabu alichokibeba na kukionyesha hadharani.
Hiki kitabu ndani yake kumeandikwa mambo gani ?
Huna akili ya kusoma hicho kitabu wewe Zuzu, umesoma cover tu unaleta tafsiri ya kilichomo? The dead are arising, yes let them arise and see!!Mbowe anamuombea Magufuli sasa?
Too late aendelee kushangilia kama alivyofanya kwenye ki video chake.
Zakuambiwa changanyamo nazakwaooo🤔.Mbowe hajakuambia?
Hakuna tajiri kijakaziKijakazi wa Mbowe unahaha sana. Kwa nini usilime maparachichi huko kwenu?
Swali la kipimbavuMbowe hajakuambia?
JF ndiyo anaiona ni dunia nzimaInavuma Duniani kote kwenye vyombo gani?
Au ITV WORLD?
Ninacho hcho kitabu ngoja nikupe ukakisome mwenyewe,kina page 590 hvNilichoelewa Mliodhania alietangulia kufa kwake ni mwanzo wa ukurasa mpya wa democrasia basi mumepotoka!! Mambo ni yale yale na fimbo ya Kupigia ni ileile
Asante sanaNinacho hcho kitabu ngoja nikupe ukakisome mwenyewe,kina page 590 hv