Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #21
Julai...Tunasubir.niliwah kusoma hiki kitabu kwa bahat tu.katika kupekura vitabu vya bro zaman kidogo 2017 nipo form 5 .kwanza nilisoma nikashtukaa!!!!
Maaana niliyosoma humo ilikua sijawah kuyasoma popotee.with evidence.
So sikuwez kukimaliza.
Natumai kupata pdf hapa
Umu...Kitabu hiki nilikipata Arusha kwenye duka la vitabu mtaa clock tower [emoji556] jirani na Safari Hotel , kipindi hicho 2003 kiliuzwa 7000 au 8000 sikumbuki vizuri.
Nilivyo muazima ustadhi Mawaya sikurudishiwa ,kurudi Dukani Nako ha
Vikipo tena. nikabaki bila kujua ntakipata wapi Tena .
Mohamed Said, pamoja na Pdf hard copy yake naipa je?
Umekipata?Jamani wandugu nami naomba nisome hiki kitabu tafadhali
Nipatie no yako ya whatsapp kwenye no hii 0687 500 699.Naomba PDF tafadhali
Bado link ya kukipandisha ni mtihani?Nipatie no yako ya whatsapp kwenye no hii 0687 500 699.
Julaibibi 2017 siyo zamani. Hata kidogoπTunasubir.niliwah kusoma hiki kitabu kwa bahat tu.katika kupekura vitabu vya bro zaman kidogo 2017 nipo form 5 .kwanza nilisoma nikashtukaa!!!!
Maaana niliyosoma humo ilikua sijawah kuyasoma popotee.with evidence.
So sikuwez kukimaliza.
Natumai kupata pdf hapa
Lycaon...Mkuu Mohammed Said hakikupigwa marufuku kitabu chako?
Kwaheshma na taadhima mkuu kama unaweza tumia watu kwa watsap it means u have a soft copy file and therefore you can do likewise hapa kwenye thread yako just y prrssing "attach files"Lycaon...
Hakikupigwa marufuku.
Rab...Kwaheshma na taadhima mkuu kama unaweza tumia watu kwa watsap it means u have a soft copy file and therefore you can do likewise hapa kwenye thread yako just y prrssing "attach files"
Simple like that.
Mtu mkubwa kama wewe najua u a mambo mengi sana kuanza kusumbuka ku save namba za strangers kwenye phone book yako kisa tu kutuma file..
Please mzee kitume hapa tujifunze sote.
Ahsante
ππ Watu wanataka dezo.Rab...
Tatizo file silioni.
Lakini anaehitaji kitabu hiki kipo Ibn Hazm bei 10,000.00.
Kipo kwa Kiingereza na Kiswahili.
Mwa..Mlio tumiwa hakuna hata mmoja aliyepata wito wa kuki upload hapa jamvini?
Gag...ππ Watu wanataka dezo.
naweza pata na mimi pdf mkuu?Ukinipatia whatsapp yako nitakurushia In Shaa Allah.