Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu


Mkuu Mimi sijui
Lakini Lucifer Baadhi ya simulizi zinaeleza kuwa yeye hahusiki na mambo ya ushawishi na kudanganya.
Ila Samael aliumbwa Kwa Kazi hiyo.

Kilichomuangusha Lusifa ni majivuno na kiburi
Ila aliyemdanganya Eva ni Samael
 

Binadamu bila Ñguvu ya nje hawezi kuwa mwanasayansi ndîo simulizi hizô zinavyosema
 
Book of Enoch ni sehemu ndogo tu ya Saga,
Hayo mambo yote Yamo katika Sumerian tablet
Kwa ujumla wake tunaiita
THE CHRONICLES OF ANNUNAK

Hapa utapata kwanini Dunia ina race kibao na ndipo utajua saga la kina Semyaza (Enlil) na Sayansi za juu za ku clone viumbe wa Dunia,Ujenzi wa Mapyramids kama Wireless Power plant na kuweka magnetic field za hali ya juu,
Masuala ya time travel yaani Haya majamaa yalikua hayatumii magari wala Ndege yalikua yana disappear na kutokea sehemu yanayotaka na ndio Maana hapa Duniani kuna maeneo yana mageti yanayodhaniwa yalikua ni spaceport kama huko Baalbek, Puma punku,China,India,Sri Lanka ,Peru inca mpaka Aztec na Mayan kote kuna sites zinazofanana
Kiufupi tukiwaletea Haya maswala hua mnaona chai na story za kahawa ila kwa mtafiti ukianza fuatilia sites za wanaodaiwa ni Miungu utabaki kushangaa tech yaliyotumia Haya majamaa
Imagine mawe yanachongwa na raser tool hiyo tech hatuna ila majamaa yalifanya!
 

Attachments

  • 800px-Sayhuite_Archaeological_site_-_rock_sculpture.jpg
    143.5 KB · Views: 31
  • Aurangabadellora_kailash_temple.jpg
    86.7 KB · Views: 33
  • wpid-photo-2013-01-29-1209-am1.jpg
    330.9 KB · Views: 33
  • inga.jpg
    56.9 KB · Views: 29
  • ancient-sumerian-stone-carving-with-cuneiform-scripting-F3D826.jpg
    295.7 KB · Views: 30
  • pacal.jpg
    59.3 KB · Views: 32
Hii ni habari ya kufikirika ,,, kiweke hicho kitabu kila mmoja aone kama yamo!
 
tam sana
 
Binadamu bila Ñguvu ya nje hawezi kuwa mwanasayansi ndîo simulizi hizô zinavyosema
Ni sahihi lakini tatizo Mungu hutoa hiyo nguvu

Biblia inatamka wazi kuwa Mungu ndie hutoa nguvu hata za kupata utajiri

Mungu Ni mjuaji wa yote ikiwemo sayansi na teknolojia Tatizo linalokuja mtu akipata nguvu hiyo hutukuza shetani au kujitukuza yeyec badala ya Mungu na kusema Kuwa shetani ndie kampa au nimepata kwa nguvu zangu tu sio Mungu.
 
Je kwanini kamba?, Tueleze ukweli
### Facts Check: Claims about the Book of Enoch

The text makes several claims regarding the Book of Enoch and its content. Here’s an analysis of the key points to verify their accuracy:

1. 200 Fallen Angels:
- Claim: The Book of Enoch mentions 200 angels who rebelled and taught humans heavenly secrets and technologies.
- Verification: This claim is accurate. The Book of Enoch, particularly in the sections known as the "Book of Watchers," describes a group of angels, known as the Watchers, who descended to Earth, took human wives, and taught humanity various skills, including metallurgy, cosmetics, and astrology.

2. Enoch's Unique Encounters with Angels:
- Claim: Enoch is the only person in Hebrew traditions who encountered multiple angels and could describe them by name and attributes.
- Verification: This is mostly accurate. The Book of Enoch details Enoch's interactions with various angels, describing their names and functions. Enoch is portrayed as having special access to the heavenly realms and knowledge.

3. Angelic Hierarchies and Specific Angels:
- Claim: Enoch describes different types of angels with varying numbers of wings and specific roles.
- Verification: The Book of Enoch does describe different classes of angels, though the detailed description of wings and hierarchies as mentioned (two, four, six, twelve wings) is more specific to later Jewish mysticism and Christian angelology. The mention of Seraphim and Cherubim, however, aligns with biblical and extra-biblical traditions.

4. Nephilim and Demigods:
- Claim: The fallen angels mated with human women, producing giant offspring known as Nephilim or demigods.
- Verification: This claim is accurate according to the Book of Enoch. It describes the Nephilim as the offspring of the Watchers and human women, who were giants and caused chaos on Earth.

5. Azazel and Teaching Technologies:
- Claim: Azazel, one of the fallen angels, taught humans various technologies, including weapon-making, cosmetics, and other forbidden knowledge.
- Verification: This claim is accurate. The Book of Enoch attributes the teaching of forbidden knowledge to Azazel and other Watchers, leading to moral corruption among humans.

6. Divine Judgment and the Flood:
- Claim: God judged the fallen angels and their offspring, leading to their punishment and the Flood.
- Verification: This claim is accurate. The Book of Enoch describes how God ordered the archangels to bind the rebellious angels and their offspring, and foretold the coming of the Flood to cleanse the Earth.

7. Enoch’s Description of Celestial Phenomena:
- Claim: Enoch describes celestial bodies like the Sun and the Moon and their cycles.
- Verification: This claim is accurate. The Book of Enoch includes detailed descriptions of astronomical phenomena and their courses, which is part of the Astronomical Book section.

8. Enoch's Prophecies and Warnings:
- Claim: Enoch's book includes various prophecies and warnings about the consequences of sin and the importance of righteousness.
- Verification: This claim is accurate. The Book of Enoch contains numerous prophecies and moral teachings, emphasizing the consequences of the Watchers' rebellion and human sinfulness.

### Conclusion

The majority of the claims about the content of the Book of Enoch are accurate, though some specifics may blend elements from various traditions. The Book of Enoch is a complex and influential work within certain Jewish and Christian traditions, though it is not part of the canonical scriptures for most Jewish and Christian denominations.
 
Kaka robert unaonaj ungetoa pdf ya kitabu umu
Namaan soft copy tusome
 
Hizi hadithi nilizisoma kwenye vitabu vya imani za kigiriki ya kale zinafanana hata na za kwenye biblia ya kawaida ,zina mfanano mkubwa.
Wahusika ni wale wale mkuu
Mfano god of science and technology wa Kemet aliitwa Thot huyo huyo kwa Wahindi ni Krishna na kwa Aztec na Mayan ni Quetzalcoatl
Na ukiangalia sites zao zinafanana na sifa za hao Miungu ni the same na wagiriki,Roman na Jamii nyingi hapo lazima ujiulize who are they?
 
Hizi mambo za Ancient alien's, Sumerian Tablets, Annunak the book of Enoch, Gospel of Peter, Revelation by Peter, Gospel of Mary Magdalene, Lilith, na mambo yanayofanana na haya, usipokua makini unaacha kumuamini Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…