Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

Huwa natamani kukisoma Kitabu cha Enock lakini naona uvivu
Kitabu cha Henoko kina uongo hatari usipoteze muda mfano Biblia inasema Malaika walioasi mbinguni walikuwa wengi mno theluthi ya malaika wote Biblia inatamka wazi kuwa idadi ya malaika huwezi hata kuwahesabu ni innumerable sasa one third ya malaika wasiohesabika haiwezi kuwa 200

Pili kitabu cha henoko kinasema katika hao malaika 200 wawili walirudi tena kibabe mbinguni kwenda kuiba siri kuwa walibadili majina wakapita getini huko mbinguni wakaenda kuiba siri wakaja nazo duniani

Lingine Yesu mwenyewe alisema malaika hawaoi ,hawaolewi wala kuzaliana na kiumbe chochote kitabu cha Henoko kinasema malaika wana uwezo wa kumwingilia mwanamke akabeba mimba na akazaa mtoto binadamu wa kawaida kabisa unayekutana naye barabarani. Huyo binadamu uzao wa malaika na binadamu anaitwa mnefili

Yesu ni mkuu kuliko huyo Henoko alichosema Yesu ndio sahihi .Henoko matapeli walitumia jina lake tu


Hicho kitabu cha Henoko ni hadithi za vijiweni za wahuni hakitambuliwi kwenye Biblia ya wayahudi ni hadithi za vijiwe vya kahawa
 
Kitabu cha Henoko kina uongo hatari usipoteze muda mfano Biblia inasema Malaika walioasi mbinguni walikuwa wengi mno theluthi ya malaika wote Biblia inatamka wazi kuwa idadi ya malaika huwezi hata kuwahesabu ni innumerable sasa one third ya malaika wasiohesabika haiwezi kuwa 200

Pili kitabu cha henoko kinasema katika hao malaika 200 wawili walirudi tena kibabe mbinguni kwenda kuiba siri kuwa walibadili majina wakapita getini huko mbinguni wakaenda kuiba siri wakaja nazo duniani

Lingine Yesu mwenyewe alisema malaika hawaoi ,hawaolewi wala kuzaliana na kiumbe chochote kitabu cha Henoko kinasema malaika wana uwezo wa kumwingilia mwanamke akabeba mimba na akazaa mtoto binadamu wa kawaida kabisa unayekutana naye barabarani. Huyo binadamu uzao wa malaika na binadamu anaitwa mnefili

Yesu ni mkuu kuliko huyo Henoko alichosema Yesu ndio sahihi .Henoko matapeli walitumia jina lake tu


Hicho kitabu cha Henoko ni hadithi za vijiweni za wahuni hakitambuliwi kwenye Biblia ya wayahudi ni hadithi za vijiwe vya kahawa

Lakini kitabu cha mwanzo kinaeleza tulio la MALAIKA kuzaa na Wana WA binadamu wakazaliwa wanefili ingawaje Biblia imefupisha Sana
 
Lakini kitabu cha mwanzo kinaeleza tulio la MALAIKA kuzaa na Wana WA binadamu wakazaliwa wanefili ingawaje Biblia imefupisha Sana
Biblia haijasema malaika walizaa na wana wa binadamu uongo kasome tena Mwanzo 6:1-4 inasema wana wa Mungu walizaa na binti wa wabadamu

Wana wa Mungu hadi leo wapo ni wale wanaomcha Mungu na Biblia inawatambua hadi leo kuwa wale waliompokea Mungu na kumcha ndio wana wa Mungu.Wana wa wanadamu wapo ni wale wasiomcha Mungu wasio na uhusiano na Mungu

Mungu alikataa kuwa wana wa Mungu wacha Mungu wasioane au kuzaa na wasiomcha Mungu yaani wana wa wanadamu

Kwa hiyo hapo kilichotokea wacha Mungu waliiacha imani wakaamua kuoa makafiri wasiomcha Mungu dunia ikajaa dhambi tupu akabaki Nuhu tu na familia yaje wacha

Mungu akaamua kuleta gharika iliyoua wote wenye ndoa mchanganyiko za kizazi cha wacha Mungu na kisicho mcha Mungu na uzao wa watoto wao waliojulikana kama wanefili ili aanzishe kizazi kipya
 
Kitabu cha Henoko kina uongo hatari usipoteze muda mfano Biblia inasema Malaika walioasi mbinguni walikuwa wengi mno theluthi ya malaika wote Biblia inatamka wazi kuwa idadi ya malaika huwezi hata kuwahesabu ni innumerable sasa one third ya malaika wasiohesabika haiwezi kuwa 200

Pili kitabu cha henoko kinasema katika hao malaika 200 wawili walirudi tena kibabe mbinguni kwenda kuiba siri kuwa walibadili majina wakapita getini huko mbinguni wakaenda kuiba siri wakaja nazo duniani

Lingine Yesu mwenyewe alisema malaika hawaoi ,hawaolewi wala kuzaliana na kiumbe chochote kitabu cha Henoko kinasema malaika wana uwezo wa kumwingilia mwanamke akabeba mimba na akazaa mtoto binadamu wa kawaida kabisa unayekutana naye barabarani. Huyo binadamu uzao wa malaika na binadamu anaitwa mnefili

Yesu ni mkuu kuliko huyo Henoko alichosema Yesu ndio sahihi .Henoko matapeli walitumia jina lake tu


Hicho kitabu cha Henoko ni hadithi za vijiweni za wahuni hakitambuliwi kwenye Biblia ya wayahudi ni hadithi za vijiwe vya kahawa
Ahsante. Hata Mimi nilipenda kutaka kukisoma kwa shauku Moja niliona kule Quora wanakijadili . Nikakipakua kuanza kukipitia niliishia mwanzoni tu pale Wale malaika walipozaa na watu. Nikaacha kukisoma. Lakini mbona Kuna majini yanazaa na watu 😥
 
Yaweza kuwa kwèli.

Ila hata wazungu na jamii za Watu weupe Kwa ujumla waô siô wôte wanahizo Akili
Wengi WA wazungu 99.9% ni kama waafrika tuu
Acha kujipa matumaini kwenye Hamna? Sisi kama weusi tumegundua nini cha kujifananisha nao kama maprofessor wetu wote wanakimbilia kwenye siasa kupiga domo na ma desk ya bungeni wale posho
 
[9]Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Kwenye hii sura, mtu atajiuluza bustani ya Edeni iko wap mbinguni au duniani? Kwahy hiyo vita ilipigwa huko mbinguni?
 
Hizi mambo za Ancient alien's, Sumerian Tablets, Annunak the book of Enoch, Gospel of Peter, Revelation by Peter, Gospel of Mary Magdalene, Lilith, na mambo yanayofanana na haya, usipokua makini unaacha kumuamini Mungu.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom