Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

KITABU CHA ENOCH KINAWATAJA MALAIKA 200 WALIOASI AMBAO NDÎO WALIIBA WALIIBA SIRI NA TEKNOLOJIA ZA MBINGUNI KISHA WAKAMFUNDISHA BINADAMU

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Kwa Wakristo na waumini wa Dini ya kiyahudi jina Enock siô geni Kwao. NI Moja ya binadamu ambao hawakuwahi kupatwa na umauti.

Kwa wale wasiomjua Enoch. Kw kifupi Enoch ni Moja ya Watu WA mwanzoni katika simulizi za Zamani za kiebrania ambao NI uzao wa Nuhu.

Enoch alizaliwa na Yaredi. Enock ni Babu yake Nuhu(Nuhu NI kitukuu cha Enock)

Kwa Mujibu wa simulizi za kiebrania, enock ndiye Mtu pekee aliyeweza kukutana na MALAIKA tofauti tofauti yàani zaidi ya mmoja. Binadamu Wengine waliowahi kukutana na MALAIKA walikutana aidha na Gabriel au Mikael au Rafael

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeweza kuwataja MALAIKA wengi zaidi Kwa majina na Sifa zào za kimaumbile.

Enoch ndiye Mhusika pekee kwèñye Biblia aliyeweza kuelezea Mianga kama Jua na Mwezi na mizunguko yake.
Enock alikuwa MTU wa kusafirishwa na MALAIKA kutoka anga Moja kuelekea ñyiñgine. Ilikuwa kawaidà Kwa Enock kupotea hata miaka 50 bila kujulikana alipo.

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeelezea Kwa majina MALAIKA 200 Walioasi na kuzaliana na WANADAMU.

Kwa jinsi nilivyoielewa simulizi ya Enock ni Kwamba, binadamu ni kama mnyama, tofauti yake ni utashi tuu.
Binadamu Hana uwezo wowote WA kubuni kitu hata Moto, sîjui, urembo, sîjui ndege, sîjui computer, sijui bastola, miongoni mwa TEKNOLOJIA zingine.

Stori ya KITABU cha ENOCH Kwa kifupi Ipo hivi;

1. Kûna mbingu 12 na kîla mbingu kuna MALAIKA wake Mkûu anayoiongoza.

2. Malaika 200 waliasi wakiongozwa na Kiongozi wao aitwaye Samzaiya. Viongozi Wengine ni Azazel

3. Katika hao MALAIKA kîla MALAIKA alikuwa na sîfa, uwezo na Ñguvu zake. Wàpo waliokuwa na mbawa Mbili, wàpo mbawa nne(serafi) wàpo WA mbawa sita (Makerubi) na yupo Malaika mmoja aitwaye Samael mwenye mbawa Kumi na Mbili(huyu role yake ipo kitofauti)

4. Malaika hawa walikuja kuzaa na Wanawake wa WANADAMU. Wakazaa majitu, nephili au miunguwatu (demigods)

5. Azazel Moja ya Malaika alioasi aliwafundisha Wanadamu Teknolojia za silaha, uchawi, unajimu, urembo kama kupaka makeup. Kitabu kinaeleza kuwa MALAIKA walioasi wakawafundisha mambo meñgi sana àmbayo Kwa Sasa ndîo tunaita Teknolojia na utandawazi.

Jambo lililonishangaza NI kuona mpaka masuala ya Teknolojia ya kutumia Dawa Fulani ili Wanawake wasibebe mimba ili kutoharibu urembo wao. Hii ilifanya Baadhi ya Wanawake waliotumia Teknolojia ya Kuzuia mimba baadaye kushindwa kupata Watoto. Enock anaeleza hayo.

6. Demigods yàani wale machotara wa Malaika na binadamu ambao Kwa uelewa wàngu ndîo nahisi wanaitwa Majini. Wakawa wanakula kupita kiasi Jambo ambalo mama zào(Wanawake wa kibinadamu) walishindwa kuwalisha, wale Demigods wakaanza Kunywa damu za watu, kisha nyama zào, kisha wakawa wanakula ndege, wanyama na samaki wa baharini. Kipindi hicho nafikiri wanyama kama Godzilla waliishia kuliwa na hawa demigods.

Urefu wao(hao Demigods) ulikuwa Mita thelasini kwenda juu na walikuwa na uwezo mchangayiko yàani uwezo WA kibinadamu na kimalaika.

7. Wanadamu wakawa wanalia kutokana na kuuawa na hawa Watoto chotara(demigods au wanefili).
Kilio Chao kilitokana na dhulma ya uhai, kuchukuliwa Wake zào, kuteswa n.k.

8. Kilio Kikafika Mbingu ya Tano Huko alikuwepo MALAIKA Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel. Malaika hao nao cheo chao NI kikuu. Wakaweka kikao huku wakilalamika wao Kwa wao Kwa matendo yanayofanywa na kina Samzaiya na Azazel na wenzao.

Mikael akiwa Kiongozi wa Malaika AMBAO hawakuasi akamuita Baba yao(Mungu). Mungu akawauliza kûna nini mbona kuniita. Wanasema(akina Mikael), tazama Samzaiya na Azazel wanachokifanya Huko Duniani. Wameiba Siri za MBINGUNI Ambazo Mwanadamu hakupaswa kuzijua lakini waô wamewapa. Wamewafunisha siri zetu, Kisha wakazaa nao Watoto. Ndio maana unasikia kilio Huko Duniani. Umwagaji WA damu umekuwa Mkubwa.

9. Mungu akatoa Amri akina Samzaiya na wenzake wakamatwe Kisha wafungwe katika maeneo mbalimbali mpaka Siku ya hukumu.

10. Kuhusu Demigods Mungu akawaambia atafutilia mbali Watoto na kizazi cha demigods na Wanadamu walioasi (walioungana na demigods) Kwa kutumia Gharika.

11. Basi kulikuwa na vita Kali Baina ya Malaika walioasi na MALAIKA waaminifu. Upande WA waliasi ukiongozwa na Samzaiya na Azazel huku upande WA MALAIKA waaminifu ukiongozwa na Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel.
Mungu akamteua Malaika WA Mbingu ya Tano Aitwaye Samael kuhakikisha Haki inatendeka katika vita hiyo. Samael maana yake sumu y Mûngu, Malaika wa Kifo àmbayo majukumu yake yalikuwa mosi, kuhakikisha Haki inatendeka, pili, kushawishi na kujaribu viumbe Wengine Mpaka Malaika wènyewe,

12. Samael ndiye aliyeuweka MTU WA ujuzi WA Wema na ubaya pale Bustani ya Edeni na kumtumia nyoka kumdanganya Eva.

13. Samael ndiye aliyemtuma Ammado yàani Malaika wa ukahaba kumlaghai Adamu Kisha adamu akalala na Ammado na kuzaa naye Mtoto

14. Samael alikuja kuanguka baàda ya kumchukua Lilith kuwa Mkewe na kwenda naye kwèñye Mbingu ya Tano

15. Samael ndiye aliyepigana na Yakobo usiku ule ambao Yakobo alikuwa anaenda Kwa Labani Mjomba wake.
Samael ndiye prosecutor na ndiye aliyemletea majanga Ayoub katika kupima Haki na ukamilifu wa Ayoub

16. Ingawaje Watu wengi wanamhusisha Lucifer kuwa ndiye aliyemdanganya Eva lakini Samael ndiye aliyefanya Jambo hilo.

17. Nuhu hakuwa Mtoto WA kawaida. Jambo lililopelekea babaake Aitwaye Lameki kutaka kumkana Kwa kuona amebambikiwa, Methuselah babaye Lameki akapeleka habari hizô Kwa Enoch(Babu yake Lameki)
Nuhu tofauti na Watoto Wengine wanapozaliwa kwa Wakati huo. Alikuwa amezaliwa akiwa mweupe kupitiliza mwenye nywele kama za dhahabu. Kwa Sasa ungemuita albino. Lakini kama hiyo haitoshi, macho yake yalikuwa yakiwaka kama taa na kujuza mwanga chumbani
Jambo hilo lilimfanya Baba yake, Lameki kuona huenda Mkewe alilala na demigod au Moja ya wale Malaika walioasi.

18. Enoch ndiye aliyemwambia Methuselah Mwanaye kuwa asihofu kuhusu Mtoto wa Lameck kwani NI wake, na ndiye atakuwa mkombozi wa Wanadamu na amepewa jukumu la kujenga Safina àmbayo Watu nane tuu ndîo watakaookoka Wakati huo ûkifika. Enoch akamuita kitukuu chake hicho jina Nuhu.

19. Samael ndiye aliyemlaghai Eva na kuzaliwa Kaini.

20. Gharika ikaja kufuta na kuangamiza Watu wôte waovu na wale Demigods ingawaje wàpo ambao waliescape

21. Nuhu alipata nafasi ya kuingia na nguo ya Adamu Ile aliyovikwa na Mungu kipindi kile walichoasi.
Baàda ya gharika Hamu Mwanaye Nuhu aliiba Ile Nguo àmbayo ilikuwa na maajabu. Kisha Nimrodi Mjukuu wa Hamu naye akaiiba. Yeye akaweza kûitumia katika shughuli zake za Kúpiga upinde. Baadaye akawa Mfalme.

22. Ibrahim alizaliwa Nuhu bado akiwa hai. Nuhu alikufa Ibrahim akiwa na Miaka 55
Hivyo hadithi zote za tangu Adamu Ibrahim alizipata Kwa Babu yake, Nuhu.

Kwa Leo tuishie Hapa.

Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon WA Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Huko tunapoelekea itafika mahali kila mtu atakuwa na ushahidi wake kwa mfano mimi nilisoma Hadithi za Anunaki nikaanza kuwa na mashaka na Biblia nikasoma hii ila kwangu ni mara ya pili bado nina maswali Mengi Kaka naweza kukuuliza swali moja kama hutojali
 
KITABU CHA ENOCH KINAWATAJA MALAIKA 200 WALIOASI AMBAO NDÎO WALIIBA WALIIBA SIRI NA TEKNOLOJIA ZA MBINGUNI KISHA WAKAMFUNDISHA BINADAMU

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Kwa Wakristo na waumini wa Dini ya kiyahudi jina Enock siô geni Kwao. NI Moja ya binadamu ambao hawakuwahi kupatwa na umauti.

Kwa wale wasiomjua Enoch. Kw kifupi Enoch ni Moja ya Watu WA mwanzoni katika simulizi za Zamani za kiebrania ambao NI uzao wa Nuhu.

Enoch alizaliwa na Yaredi. Enock ni Babu yake Nuhu(Nuhu NI kitukuu cha Enock)

Kwa Mujibu wa simulizi za kiebrania, enock ndiye Mtu pekee aliyeweza kukutana na MALAIKA tofauti tofauti yàani zaidi ya mmoja. Binadamu Wengine waliowahi kukutana na MALAIKA walikutana aidha na Gabriel au Mikael au Rafael

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeweza kuwataja MALAIKA wengi zaidi Kwa majina na Sifa zào za kimaumbile.

Enoch ndiye Mhusika pekee kwèñye Biblia aliyeweza kuelezea Mianga kama Jua na Mwezi na mizunguko yake.
Enock alikuwa MTU wa kusafirishwa na MALAIKA kutoka anga Moja kuelekea ñyiñgine. Ilikuwa kawaidà Kwa Enock kupotea hata miaka 50 bila kujulikana alipo.

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeelezea Kwa majina MALAIKA 200 Walioasi na kuzaliana na WANADAMU.

Kwa jinsi nilivyoielewa simulizi ya Enock ni Kwamba, binadamu ni kama mnyama, tofauti yake ni utashi tuu.
Binadamu Hana uwezo wowote WA kubuni kitu hata Moto, sîjui, urembo, sîjui ndege, sîjui computer, sijui bastola, miongoni mwa TEKNOLOJIA zingine.

Stori ya KITABU cha ENOCH Kwa kifupi Ipo hivi;

1. Kûna mbingu 12 na kîla mbingu kuna MALAIKA wake Mkûu anayoiongoza.

2. Malaika 200 waliasi wakiongozwa na Kiongozi wao aitwaye Samzaiya. Viongozi Wengine ni Azazel

3. Katika hao MALAIKA kîla MALAIKA alikuwa na sîfa, uwezo na Ñguvu zake. Wàpo waliokuwa na mbawa Mbili, wàpo mbawa nne(serafi) wàpo WA mbawa sita (Makerubi) na yupo Malaika mmoja aitwaye Samael mwenye mbawa Kumi na Mbili(huyu role yake ipo kitofauti)

4. Malaika hawa walikuja kuzaa na Wanawake wa WANADAMU. Wakazaa majitu, nephili au miunguwatu (demigods)

5. Azazel Moja ya Malaika alioasi aliwafundisha Wanadamu Teknolojia za silaha, uchawi, unajimu, urembo kama kupaka makeup. Kitabu kinaeleza kuwa MALAIKA walioasi wakawafundisha mambo meñgi sana àmbayo Kwa Sasa ndîo tunaita Teknolojia na utandawazi.

Jambo lililonishangaza NI kuona mpaka masuala ya Teknolojia ya kutumia Dawa Fulani ili Wanawake wasibebe mimba ili kutoharibu urembo wao. Hii ilifanya Baadhi ya Wanawake waliotumia Teknolojia ya Kuzuia mimba baadaye kushindwa kupata Watoto. Enock anaeleza hayo.

6. Demigods yàani wale machotara wa Malaika na binadamu ambao Kwa uelewa wàngu ndîo nahisi wanaitwa Majini. Wakawa wanakula kupita kiasi Jambo ambalo mama zào(Wanawake wa kibinadamu) walishindwa kuwalisha, wale Demigods wakaanza Kunywa damu za watu, kisha nyama zào, kisha wakawa wanakula ndege, wanyama na samaki wa baharini. Kipindi hicho nafikiri wanyama kama Godzilla waliishia kuliwa na hawa demigods.

Urefu wao(hao Demigods) ulikuwa Mita thelasini kwenda juu na walikuwa na uwezo mchangayiko yàani uwezo WA kibinadamu na kimalaika.

7. Wanadamu wakawa wanalia kutokana na kuuawa na hawa Watoto chotara(demigods au wanefili).
Kilio Chao kilitokana na dhulma ya uhai, kuchukuliwa Wake zào, kuteswa n.k.

8. Kilio Kikafika Mbingu ya Tano Huko alikuwepo MALAIKA Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel. Malaika hao nao cheo chao NI kikuu. Wakaweka kikao huku wakilalamika wao Kwa wao Kwa matendo yanayofanywa na kina Samzaiya na Azazel na wenzao.

Mikael akiwa Kiongozi wa Malaika AMBAO hawakuasi akamuita Baba yao(Mungu). Mungu akawauliza kûna nini mbona kuniita. Wanasema(akina Mikael), tazama Samzaiya na Azazel wanachokifanya Huko Duniani. Wameiba Siri za MBINGUNI Ambazo Mwanadamu hakupaswa kuzijua lakini waô wamewapa. Wamewafunisha siri zetu, Kisha wakazaa nao Watoto. Ndio maana unasikia kilio Huko Duniani. Umwagaji WA damu umekuwa Mkubwa.

9. Mungu akatoa Amri akina Samzaiya na wenzake wakamatwe Kisha wafungwe katika maeneo mbalimbali mpaka Siku ya hukumu.

10. Kuhusu Demigods Mungu akawaambia atafutilia mbali Watoto na kizazi cha demigods na Wanadamu walioasi (walioungana na demigods) Kwa kutumia Gharika.

11. Basi kulikuwa na vita Kali Baina ya Malaika walioasi na MALAIKA waaminifu. Upande WA waliasi ukiongozwa na Samzaiya na Azazel huku upande WA MALAIKA waaminifu ukiongozwa na Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel.
Mungu akamteua Malaika WA Mbingu ya Tano Aitwaye Samael kuhakikisha Haki inatendeka katika vita hiyo. Samael maana yake sumu y Mûngu, Malaika wa Kifo àmbayo majukumu yake yalikuwa mosi, kuhakikisha Haki inatendeka, pili, kushawishi na kujaribu viumbe Wengine Mpaka Malaika wènyewe,

12. Samael ndiye aliyeuweka MTU WA ujuzi WA Wema na ubaya pale Bustani ya Edeni na kumtumia nyoka kumdanganya Eva.

13. Samael ndiye aliyemtuma Ammado yàani Malaika wa ukahaba kumlaghai Adamu Kisha adamu akalala na Ammado na kuzaa naye Mtoto

14. Samael alikuja kuanguka baàda ya kumchukua Lilith kuwa Mkewe na kwenda naye kwèñye Mbingu ya Tano

15. Samael ndiye aliyepigana na Yakobo usiku ule ambao Yakobo alikuwa anaenda Kwa Labani Mjomba wake.
Samael ndiye prosecutor na ndiye aliyemletea majanga Ayoub katika kupima Haki na ukamilifu wa Ayoub

16. Ingawaje Watu wengi wanamhusisha Lucifer kuwa ndiye aliyemdanganya Eva lakini Samael ndiye aliyefanya Jambo hilo.

17. Nuhu hakuwa Mtoto WA kawaida. Jambo lililopelekea babaake Aitwaye Lameki kutaka kumkana Kwa kuona amebambikiwa, Methuselah babaye Lameki akapeleka habari hizô Kwa Enoch(Babu yake Lameki)
Nuhu tofauti na Watoto Wengine wanapozaliwa kwa Wakati huo. Alikuwa amezaliwa akiwa mweupe kupitiliza mwenye nywele kama za dhahabu. Kwa Sasa ungemuita albino. Lakini kama hiyo haitoshi, macho yake yalikuwa yakiwaka kama taa na kujuza mwanga chumbani
Jambo hilo lilimfanya Baba yake, Lameki kuona huenda Mkewe alilala na demigod au Moja ya wale Malaika walioasi.

18. Enoch ndiye aliyemwambia Methuselah Mwanaye kuwa asihofu kuhusu Mtoto wa Lameck kwani NI wake, na ndiye atakuwa mkombozi wa Wanadamu na amepewa jukumu la kujenga Safina àmbayo Watu nane tuu ndîo watakaookoka Wakati huo ûkifika. Enoch akamuita kitukuu chake hicho jina Nuhu.

19. Samael ndiye aliyemlaghai Eva na kuzaliwa Kaini.

20. Gharika ikaja kufuta na kuangamiza Watu wôte waovu na wale Demigods ingawaje wàpo ambao waliescape

21. Nuhu alipata nafasi ya kuingia na nguo ya Adamu Ile aliyovikwa na Mungu kipindi kile walichoasi.
Baàda ya gharika Hamu Mwanaye Nuhu aliiba Ile Nguo àmbayo ilikuwa na maajabu. Kisha Nimrodi Mjukuu wa Hamu naye akaiiba. Yeye akaweza kûitumia katika shughuli zake za Kúpiga upinde. Baadaye akawa Mfalme.

22. Ibrahim alizaliwa Nuhu bado akiwa hai. Nuhu alikufa Ibrahim akiwa na Miaka 55
Hivyo hadithi zote za tangu Adamu Ibrahim alizipata Kwa Babu yake, Nuhu.

Kwa Leo tuishie Hapa.

Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon WA Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Jambo moja mimi from withn nilikuwa naamini kuna mbingu zingine kwamba mtu akifa anaenda kufufukia sehemu fulani huku akiwa jaui wapi alipotoka wapi alipokuwa ndo maana mtoto akizaliqa analia na mtu akifa anakuwa na hofu kuna uhusiano hapa.
 
Ikiwa hadi ishu ya tunda pale eden ni samael alihusika, huyu lucifer amefanya yapi makubwa sana kiasi cha kumfanya awe populer kumzidi Samael?
 
Ila hicho kitabu cha Henoko kina utata Sana kuanzia muandishi mpaka masimulizi yake....ndio maana hata hakikuwekwa kwenye biblia.

zitto junior DR Mambo Jambo
Nop kuna Vitabu vingi havikuwekwa kwenye Biblia sio kwamba Vina contradiction ila vinaendana na imani ya Kipind kile..
Kama wangekuwa bado wanachambua Biblia kuna vitabu sasa hivi vingeondolewa
 
Huko tunapoelekea itafika mahali kila mtu atakuwa na ushahidi wake kwa mfano mimi nilisoma Hadithi za Anunaki nikaanza kuwa na mashaka na Biblia nikasoma hii ila kwangu ni mara ya pili bado nina maswali Mengi Kaka naweza kukuuliza swali moja kama hutojali

Uliza Mkûu kama lipo ndàni ya uwezo nitajibu
 
Cambridge English curriculum inafundisha Fiction Vs Non-fiction kutoka darasa la kwanza.

Watoto wadogo tu wanaweza kueleza hadithi za kusadikika na simulizi zenye uhalisia.
Ni kitu ambacho mitaala yetu inakosa.
 
KITABU CHA ENOCH KINAWATAJA MALAIKA 200 WALIOASI AMBAO NDÎO WALIIBA WALIIBA SIRI NA TEKNOLOJIA ZA MBINGUNI KISHA WAKAMFUNDISHA BINADAMU

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Kwa Wakristo na waumini wa Dini ya kiyahudi jina Enock siô geni Kwao. NI Moja ya binadamu ambao hawakuwahi kupatwa na umauti.

Kwa wale wasiomjua Enoch. Kw kifupi Enoch ni Moja ya Watu WA mwanzoni katika simulizi za Zamani za kiebrania ambao NI uzao wa Nuhu.

Enoch alizaliwa na Yaredi. Enock ni Babu yake Nuhu(Nuhu NI kitukuu cha Enock)

Kwa Mujibu wa simulizi za kiebrania, enock ndiye Mtu pekee aliyeweza kukutana na MALAIKA tofauti tofauti yàani zaidi ya mmoja. Binadamu Wengine waliowahi kukutana na MALAIKA walikutana aidha na Gabriel au Mikael au Rafael

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeweza kuwataja MALAIKA wengi zaidi Kwa majina na Sifa zào za kimaumbile.

Enoch ndiye Mhusika pekee kwèñye Biblia aliyeweza kuelezea Mianga kama Jua na Mwezi na mizunguko yake.
Enock alikuwa MTU wa kusafirishwa na MALAIKA kutoka anga Moja kuelekea ñyiñgine. Ilikuwa kawaidà Kwa Enock kupotea hata miaka 50 bila kujulikana alipo.

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeelezea Kwa majina MALAIKA 200 Walioasi na kuzaliana na WANADAMU.

Kwa jinsi nilivyoielewa simulizi ya Enock ni Kwamba, binadamu ni kama mnyama, tofauti yake ni utashi tuu.
Binadamu Hana uwezo wowote WA kubuni kitu hata Moto, sîjui, urembo, sîjui ndege, sîjui computer, sijui bastola, miongoni mwa TEKNOLOJIA zingine.

Stori ya KITABU cha ENOCH Kwa kifupi Ipo hivi;

1. Kûna mbingu 12 na kîla mbingu kuna MALAIKA wake Mkûu anayoiongoza.

2. Malaika 200 waliasi wakiongozwa na Kiongozi wao aitwaye Samzaiya. Viongozi Wengine ni Azazel

3. Katika hao MALAIKA kîla MALAIKA alikuwa na sîfa, uwezo na Ñguvu zake. Wàpo waliokuwa na mbawa Mbili, wàpo mbawa nne(serafi) wàpo WA mbawa sita (Makerubi) na yupo Malaika mmoja aitwaye Samael mwenye mbawa Kumi na Mbili(huyu role yake ipo kitofauti)

4. Malaika hawa walikuja kuzaa na Wanawake wa WANADAMU. Wakazaa majitu, nephili au miunguwatu (demigods)

5. Azazel Moja ya Malaika alioasi aliwafundisha Wanadamu Teknolojia za silaha, uchawi, unajimu, urembo kama kupaka makeup. Kitabu kinaeleza kuwa MALAIKA walioasi wakawafundisha mambo meñgi sana àmbayo Kwa Sasa ndîo tunaita Teknolojia na utandawazi.

Jambo lililonishangaza NI kuona mpaka masuala ya Teknolojia ya kutumia Dawa Fulani ili Wanawake wasibebe mimba ili kutoharibu urembo wao. Hii ilifanya Baadhi ya Wanawake waliotumia Teknolojia ya Kuzuia mimba baadaye kushindwa kupata Watoto. Enock anaeleza hayo.

6. Demigods yàani wale machotara wa Malaika na binadamu ambao Kwa uelewa wàngu ndîo nahisi wanaitwa Majini. Wakawa wanakula kupita kiasi Jambo ambalo mama zào(Wanawake wa kibinadamu) walishindwa kuwalisha, wale Demigods wakaanza Kunywa damu za watu, kisha nyama zào, kisha wakawa wanakula ndege, wanyama na samaki wa baharini. Kipindi hicho nafikiri wanyama kama Godzilla waliishia kuliwa na hawa demigods.

Urefu wao(hao Demigods) ulikuwa Mita thelasini kwenda juu na walikuwa na uwezo mchangayiko yàani uwezo WA kibinadamu na kimalaika.

7. Wanadamu wakawa wanalia kutokana na kuuawa na hawa Watoto chotara(demigods au wanefili).
Kilio Chao kilitokana na dhulma ya uhai, kuchukuliwa Wake zào, kuteswa n.k.

8. Kilio Kikafika Mbingu ya Tano Huko alikuwepo MALAIKA Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel. Malaika hao nao cheo chao NI kikuu. Wakaweka kikao huku wakilalamika wao Kwa wao Kwa matendo yanayofanywa na kina Samzaiya na Azazel na wenzao.

Mikael akiwa Kiongozi wa Malaika AMBAO hawakuasi akamuita Baba yao(Mungu). Mungu akawauliza kûna nini mbona kuniita. Wanasema(akina Mikael), tazama Samzaiya na Azazel wanachokifanya Huko Duniani. Wameiba Siri za MBINGUNI Ambazo Mwanadamu hakupaswa kuzijua lakini waô wamewapa. Wamewafunisha siri zetu, Kisha wakazaa nao Watoto. Ndio maana unasikia kilio Huko Duniani. Umwagaji WA damu umekuwa Mkubwa.

9. Mungu akatoa Amri akina Samzaiya na wenzake wakamatwe Kisha wafungwe katika maeneo mbalimbali mpaka Siku ya hukumu.

10. Kuhusu Demigods Mungu akawaambia atafutilia mbali Watoto na kizazi cha demigods na Wanadamu walioasi (walioungana na demigods) Kwa kutumia Gharika.

11. Basi kulikuwa na vita Kali Baina ya Malaika walioasi na MALAIKA waaminifu. Upande WA waliasi ukiongozwa na Samzaiya na Azazel huku upande WA MALAIKA waaminifu ukiongozwa na Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel.
Mungu akamteua Malaika WA Mbingu ya Tano Aitwaye Samael kuhakikisha Haki inatendeka katika vita hiyo. Samael maana yake sumu y Mûngu, Malaika wa Kifo àmbayo majukumu yake yalikuwa mosi, kuhakikisha Haki inatendeka, pili, kushawishi na kujaribu viumbe Wengine Mpaka Malaika wènyewe,

12. Samael ndiye aliyeuweka MTU WA ujuzi WA Wema na ubaya pale Bustani ya Edeni na kumtumia nyoka kumdanganya Eva.

13. Samael ndiye aliyemtuma Ammado yàani Malaika wa ukahaba kumlaghai Adamu Kisha adamu akalala na Ammado na kuzaa naye Mtoto

14. Samael alikuja kuanguka baàda ya kumchukua Lilith kuwa Mkewe na kwenda naye kwèñye Mbingu ya Tano

15. Samael ndiye aliyepigana na Yakobo usiku ule ambao Yakobo alikuwa anaenda Kwa Labani Mjomba wake.
Samael ndiye prosecutor na ndiye aliyemletea majanga Ayoub katika kupima Haki na ukamilifu wa Ayoub

16. Ingawaje Watu wengi wanamhusisha Lucifer kuwa ndiye aliyemdanganya Eva lakini Samael ndiye aliyefanya Jambo hilo.

17. Nuhu hakuwa Mtoto WA kawaida. Jambo lililopelekea babaake Aitwaye Lameki kutaka kumkana Kwa kuona amebambikiwa, Methuselah babaye Lameki akapeleka habari hizô Kwa Enoch(Babu yake Lameki)
Nuhu tofauti na Watoto Wengine wanapozaliwa kwa Wakati huo. Alikuwa amezaliwa akiwa mweupe kupitiliza mwenye nywele kama za dhahabu. Kwa Sasa ungemuita albino. Lakini kama hiyo haitoshi, macho yake yalikuwa yakiwaka kama taa na kujuza mwanga chumbani
Jambo hilo lilimfanya Baba yake, Lameki kuona huenda Mkewe alilala na demigod au Moja ya wale Malaika walioasi.

18. Enoch ndiye aliyemwambia Methuselah Mwanaye kuwa asihofu kuhusu Mtoto wa Lameck kwani NI wake, na ndiye atakuwa mkombozi wa Wanadamu na amepewa jukumu la kujenga Safina àmbayo Watu nane tuu ndîo watakaookoka Wakati huo ûkifika. Enoch akamuita kitukuu chake hicho jina Nuhu.

19. Samael ndiye aliyemlaghai Eva na kuzaliwa Kaini.

20. Gharika ikaja kufuta na kuangamiza Watu wôte waovu na wale Demigods ingawaje wàpo ambao waliescape

21. Nuhu alipata nafasi ya kuingia na nguo ya Adamu Ile aliyovikwa na Mungu kipindi kile walichoasi.
Baàda ya gharika Hamu Mwanaye Nuhu aliiba Ile Nguo àmbayo ilikuwa na maajabu. Kisha Nimrodi Mjukuu wa Hamu naye akaiiba. Yeye akaweza kûitumia katika shughuli zake za Kúpiga upinde. Baadaye akawa Mfalme.

22. Ibrahim alizaliwa Nuhu bado akiwa hai. Nuhu alikufa Ibrahim akiwa na Miaka 55
Hivyo hadithi zote za tangu Adamu Ibrahim alizipata Kwa Babu yake, Nuhu.

Kwa Leo tuishie Hapa.

Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon WA Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kwa hiyo huyo enock yeye hakuwahi kufikwa na mauti,it means yupo hai mpaka Leo.Anaishi nchi gani mpaka sasa?Ila dini dah!
 
Cambridge English curriculum inafundisha Fiction Vs Non-fiction kutoka darasa la kwanza.

Watoto wadogo tu wanaweza kueleza hadithi za kusadikika na simulizi zenye uhalisia.
Ni kitu ambacho mitaala yetu inakosa.

Tatizo linakuja NI pale hata Sisi tunaoishi Sasa hivi hadithi zetu zikisimuliwa Miaka 2000 ijayo itasemwa NI Fiction stories
 
Tatizo linakuja NI pale hata Sisi tunaoishi Sasa hivi hadithi zetu zikisimuliwa Miaka 2000 ijayo itasemwa NI Fiction stories
Kuna masimulizi ambayo yanathibitishika na yanahusu civilizations zilizokuwepo miaka 3000 B.C.E.
Mfano, Sumerians na Egyptians.
Hivyo, hata hadithi zetu zitathibitishika miaka 2000 ijayo.

Lakini, haya mambo ya malaika kushuka kutokea sijui wapi ni make-believe stories tu kwa ajili ya kujifurahisha.
Changamoto ni watu wanapoyachukulia serious sana.
 
Kuna masimulizi ambayo yanathibitishika na yanahusu civilizations zilizokuwepo miaka 3000 B.C.E.
Mfano, Sumerians na Egyptians.
Hivyo, hata hadithi zetu zitathibitishika miaka 2000 ijayo.

Lakini, haya mambo ya malaika kushuka kutokea sijui wapi ni make-believe stories tu kwa ajili ya kujifurahisha.
Changamoto ni watu wanapoyachukulia serious sana.

Miaka 2000 linaweza kutokea janga ambalo hakuna historia yoyote itakayobakizwa.

NI hekima kusema, ngoja tuone. Kwa maana Sisi tumejikuta katikati. Hatukuwepo mwanzoni na bila Shaka mwishi hatutakuwepo.
Hivyo hatujui yaliyotukia na hatutajua yajayo
 
Kama kitabu gani?
Kabla sijakujibu Mkuu!
Unafahamu Kuhusu Sheria 20 za Bible Canonisation??
Unafahamu kuhusu Sheria za Grapha "Consideration of Authentification of Write"?
Unafahamu nini kuhusu Pseudepigrapha??
Unafahamu kuhusu Apokripha ambavyo Roman catholic na Eastern Orthodox wanaita Deuterocanonical books yaani The Seconds Canonical books Which are left preserves??

Unafahamu nini kuhusu the agenda in 21 ecumenical councils of the churches?


Ukiweza kujua Hivi vitu then Tutakuwa na Mjadala mzuri sana wa kuelimishana ila kama bado hujui hivyo vitu Inabdi tuanzie kwenye Basic kabisa na tutachukua Muda mrefu kuelekezana..
 
Back
Top Bottom