Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

KITABU CHA ENOCH KINAWATAJA MALAIKA 200 WALIOASI AMBAO NDÎO WALIIBA WALIIBA SIRI NA TEKNOLOJIA ZA MBINGUNI KISHA WAKAMFUNDISHA BINADAMU

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Kwa Wakristo na waumini wa Dini ya kiyahudi jina Enock siô geni Kwao. NI Moja ya binadamu ambao hawakuwahi kupatwa na umauti.

Kwa wale wasiomjua Enoch. Kw kifupi Enoch ni Moja ya Watu WA mwanzoni katika simulizi za Zamani za kiebrania ambao NI uzao wa Nuhu.

Enoch alizaliwa na Yaredi. Enock ni Babu yake Nuhu(Nuhu NI kitukuu cha Enock)

Kwa Mujibu wa simulizi za kiebrania, enock ndiye Mtu pekee aliyeweza kukutana na MALAIKA tofauti tofauti yàani zaidi ya mmoja. Binadamu Wengine waliowahi kukutana na MALAIKA walikutana aidha na Gabriel au Mikael au Rafael

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeweza kuwataja MALAIKA wengi zaidi Kwa majina na Sifa zào za kimaumbile.

Enoch ndiye Mhusika pekee kwèñye Biblia aliyeweza kuelezea Mianga kama Jua na Mwezi na mizunguko yake.
Enock alikuwa MTU wa kusafirishwa na MALAIKA kutoka anga Moja kuelekea ñyiñgine. Ilikuwa kawaidà Kwa Enock kupotea hata miaka 50 bila kujulikana alipo.

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeelezea Kwa majina MALAIKA 200 Walioasi na kuzaliana na WANADAMU.

Kwa jinsi nilivyoielewa simulizi ya Enock ni Kwamba, binadamu ni kama mnyama, tofauti yake ni utashi tuu.
Binadamu Hana uwezo wowote WA kubuni kitu hata Moto, sîjui, urembo, sîjui ndege, sîjui computer, sijui bastola, miongoni mwa TEKNOLOJIA zingine.

Stori ya KITABU cha ENOCH Kwa kifupi Ipo hivi;

1. Kûna mbingu 12 na kîla mbingu kuna MALAIKA wake Mkûu anayoiongoza.

2. Malaika 200 waliasi wakiongozwa na Kiongozi wao aitwaye Samzaiya. Viongozi Wengine ni Azazel

3. Katika hao MALAIKA kîla MALAIKA alikuwa na sîfa, uwezo na Ñguvu zake. Wàpo waliokuwa na mbawa Mbili, wàpo mbawa nne(serafi) wàpo WA mbawa sita (Makerubi) na yupo Malaika mmoja aitwaye Samael mwenye mbawa Kumi na Mbili(huyu role yake ipo kitofauti)

4. Malaika hawa walikuja kuzaa na Wanawake wa WANADAMU. Wakazaa majitu, nephili au miunguwatu (demigods)

5. Azazel Moja ya Malaika alioasi aliwafundisha Wanadamu Teknolojia za silaha, uchawi, unajimu, urembo kama kupaka makeup. Kitabu kinaeleza kuwa MALAIKA walioasi wakawafundisha mambo meñgi sana àmbayo Kwa Sasa ndîo tunaita Teknolojia na utandawazi.

Jambo lililonishangaza NI kuona mpaka masuala ya Teknolojia ya kutumia Dawa Fulani ili Wanawake wasibebe mimba ili kutoharibu urembo wao. Hii ilifanya Baadhi ya Wanawake waliotumia Teknolojia ya Kuzuia mimba baadaye kushindwa kupata Watoto. Enock anaeleza hayo.

6. Demigods yàani wale machotara wa Malaika na binadamu ambao Kwa uelewa wàngu ndîo nahisi wanaitwa Majini. Wakawa wanakula kupita kiasi Jambo ambalo mama zào(Wanawake wa kibinadamu) walishindwa kuwalisha, wale Demigods wakaanza Kunywa damu za watu, kisha nyama zào, kisha wakawa wanakula ndege, wanyama na samaki wa baharini. Kipindi hicho nafikiri wanyama kama Godzilla waliishia kuliwa na hawa demigods.

Urefu wao(hao Demigods) ulikuwa Mita thelasini kwenda juu na walikuwa na uwezo mchangayiko yàani uwezo WA kibinadamu na kimalaika.

7. Wanadamu wakawa wanalia kutokana na kuuawa na hawa Watoto chotara(demigods au wanefili).
Kilio Chao kilitokana na dhulma ya uhai, kuchukuliwa Wake zào, kuteswa n.k.

8. Kilio Kikafika Mbingu ya Tano Huko alikuwepo MALAIKA Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel. Malaika hao nao cheo chao NI kikuu. Wakaweka kikao huku wakilalamika wao Kwa wao Kwa matendo yanayofanywa na kina Samzaiya na Azazel na wenzao.

Mikael akiwa Kiongozi wa Malaika AMBAO hawakuasi akamuita Baba yao(Mungu). Mungu akawauliza kûna nini mbona kuniita. Wanasema(akina Mikael), tazama Samzaiya na Azazel wanachokifanya Huko Duniani. Wameiba Siri za MBINGUNI Ambazo Mwanadamu hakupaswa kuzijua lakini waô wamewapa. Wamewafunisha siri zetu, Kisha wakazaa nao Watoto. Ndio maana unasikia kilio Huko Duniani. Umwagaji WA damu umekuwa Mkubwa.

9. Mungu akatoa Amri akina Samzaiya na wenzake wakamatwe Kisha wafungwe katika maeneo mbalimbali mpaka Siku ya hukumu.

10. Kuhusu Demigods Mungu akawaambia atafutilia mbali Watoto na kizazi cha demigods na Wanadamu walioasi (walioungana na demigods) Kwa kutumia Gharika.

11. Basi kulikuwa na vita Kali Baina ya Malaika walioasi na MALAIKA waaminifu. Upande WA waliasi ukiongozwa na Samzaiya na Azazel huku upande WA MALAIKA waaminifu ukiongozwa na Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel.
Mungu akamteua Malaika WA Mbingu ya Tano Aitwaye Samael kuhakikisha Haki inatendeka katika vita hiyo. Samael maana yake sumu y Mûngu, Malaika wa Kifo àmbayo majukumu yake yalikuwa mosi, kuhakikisha Haki inatendeka, pili, kushawishi na kujaribu viumbe Wengine Mpaka Malaika wènyewe,

12. Samael ndiye aliyeuweka MTU WA ujuzi WA Wema na ubaya pale Bustani ya Edeni na kumtumia nyoka kumdanganya Eva.

13. Samael ndiye aliyemtuma Ammado yàani Malaika wa ukahaba kumlaghai Adamu Kisha adamu akalala na Ammado na kuzaa naye Mtoto

14. Samael alikuja kuanguka baàda ya kumchukua Lilith kuwa Mkewe na kwenda naye kwèñye Mbingu ya Tano

15. Samael ndiye aliyepigana na Yakobo usiku ule ambao Yakobo alikuwa anaenda Kwa Labani Mjomba wake.
Samael ndiye prosecutor na ndiye aliyemletea majanga Ayoub katika kupima Haki na ukamilifu wa Ayoub

16. Ingawaje Watu wengi wanamhusisha Lucifer kuwa ndiye aliyemdanganya Eva lakini Samael ndiye aliyefanya Jambo hilo.

17. Nuhu hakuwa Mtoto WA kawaida. Jambo lililopelekea babaake Aitwaye Lameki kutaka kumkana Kwa kuona amebambikiwa, Methuselah babaye Lameki akapeleka habari hizô Kwa Enoch(Babu yake Lameki)
Nuhu tofauti na Watoto Wengine wanapozaliwa kwa Wakati huo. Alikuwa amezaliwa akiwa mweupe kupitiliza mwenye nywele kama za dhahabu. Kwa Sasa ungemuita albino. Lakini kama hiyo haitoshi, macho yake yalikuwa yakiwaka kama taa na kujuza mwanga chumbani
Jambo hilo lilimfanya Baba yake, Lameki kuona huenda Mkewe alilala na demigod au Moja ya wale Malaika walioasi.

18. Enoch ndiye aliyemwambia Methuselah Mwanaye kuwa asihofu kuhusu Mtoto wa Lameck kwani NI wake, na ndiye atakuwa mkombozi wa Wanadamu na amepewa jukumu la kujenga Safina àmbayo Watu nane tuu ndîo watakaookoka Wakati huo ûkifika. Enoch akamuita kitukuu chake hicho jina Nuhu.

19. Samael ndiye aliyemlaghai Eva na kuzaliwa Kaini.

20. Gharika ikaja kufuta na kuangamiza Watu wôte waovu na wale Demigods ingawaje wàpo ambao waliescape

21. Nuhu alipata nafasi ya kuingia na nguo ya Adamu Ile aliyovikwa na Mungu kipindi kile walichoasi.
Baàda ya gharika Hamu Mwanaye Nuhu aliiba Ile Nguo àmbayo ilikuwa na maajabu. Kisha Nimrodi Mjukuu wa Hamu naye akaiiba. Yeye akaweza kûitumia katika shughuli zake za Kúpiga upinde. Baadaye akawa Mfalme.

22. Ibrahim alizaliwa Nuhu bado akiwa hai. Nuhu alikufa Ibrahim akiwa na Miaka 55
Hivyo hadithi zote za tangu Adamu Ibrahim alizipata Kwa Babu yake, Nuhu.

Kwa Leo tuishie Hapa.

Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon WA Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hizi zote ni hadith tu, hakuna ukweli wowote.
 
So hapo unamaanisha time ya raisi ikipeleka matokeo ya utafiti kwa raisi hayawi sawa kwa sababu raisi hajaenda kushuhudia data zikikusanywa?
And Again Tume ya Rais Samia Lets say Ikitumwa kuchunguza utafiti kuhusu Maisha ya Kinjikitile ngwale na ikaja ikasema maisha hayo ndyo maisha halisi ya Kinjikitile hata kama watakusanya Data 100 Lazma kutakuwa na Uongo mwingi sana kwenye Tafiti hizo..

Umewahi kusoma Kuhsu Research Unafahamu Vitu vimavyoharibu Ubora wa Data??
Vipi kuhusu Muda Unfahamu inavyoharibu ubora wa Data??

Kwahyo huwezi kuamini Research itakayofanywa Kwa tukio Lilifanyika Miaka 90 mpaka 100 Iliopita Halafu ukasema Litakuwa Statistical Correct...

kwangu mimi nikiona Unatetea Reseach yakokwa nguvu zote Nitasema wewe Ni unaleta Frauds..
 
And Again Tume ya Rais Samia Lets say Ikitumwa kuchunguza utafiti kuhusu Maisha ya Kinjikitile ngwale na ikaja ikasema maisha hayo ndyo maisha halisi ya Kinjikitile hata kama watakusanya Data 100 Lazma kutakuwa na Uongo mwingi sana kwenye Tafiti hizo..

Umewahi kusoma Kuhsu Research Unafahamu Vitu vimavyoharibu Ubora wa Data??
Vipi kuhusu Muda Unfahamu inavyoharibu ubora wa Data??

Kwahyo huwezi kuamini Research itakayofanywa Kwa tukio Lilifanyika Miaka 90 mpaka 100 Iliopita Halafu ukasema Litakuwa Statistical Correct...

kwangu mimi nikiona Unatetea Reseach yakokwa nguvu zote Nitasema wewe Ni unaleta Frauds..
Dr mbona unafanya academic intimidation? Kwamba nimewahi kusoma research? Sijui ubora wa data!
Mimi nasimama ktk hoja kuwa Luka aliandika ripoti na tunaona usahihi wa ripoti yake kwa kutumia vyanzo vingine. Hajuwa among the 12. Hata huyo Theofilo alikuwa hai.
Pia, maandishi yake hayajapingwa na watafiti wengine au waandishi wengine waliondika kipindi na baada ya Luka kuandika. Hapa namaanisha mitume na wanafunzi wengine wa Yesu. Je yanarandana na gospel nyingine au yanapingana?
Kuhusu research au usahihi wa data uliougusia. Utafiti hupigwa kwa utafiti. Kauli hii ni maarufu sana katika ulimwengu wa watafiti. Sasa lete maandiko au utafiti wa waliokuwepo pamoja na Luka wakisema Luka alikosea ukoo wa Yesu au mstari huu au andiko hiki au tendo hiki halikutendwa.
Yeye mwenyewe ( Luka) anasema mambo yaliyitendwa katikati Yao yaani pamoja na kiongozi wa kiserikali anayeitwa Theofilo halafu huyu mtawala akubali kama mjinga tuu! Hapana maana yake na yeye alikuwa na vyanzo vya kuprove andikonla Luka.
Leo atokee mtu anayejiita mtafiti wa mambo ya kele sijui biblia aseme kitabubcha Luka kiondolewe nafkiri atakuwa anakosea.
 
Dr mbona unafanya academic intimidation? Kwamba nimewahi kusoma research? Sijui ubora wa data!
Mimi nasimama ktk hoja kuwa Luka aliandika ripoti na tunaona usahihi wa ripoti yake kwa kutumia vyanzo vingine. Hajuwa among the 12. Hata huyo Theofilo alikuwa hai.
Pia, maandishi yake hayajapingwa na watafiti wengine au waandishi wengine waliondika kipindi na baada ya Luka kuandika. Hapa namaanisha mitume na wanafunzi wengine wa Yesu. Je yanarandana na gospel nyingine au yanapingana?
Kuhusu research au usahihi wa data uliougusia. Utafiti hupigwa kwa utafiti. Kauli hii ni maarufu sana katika ulimwengu wa watafiti. Sasa lete maandiko au utafiti wa waliokuwepo pamoja na Luka wakisema Luka alikosea ukoo wa Yesu au mstari huu au andiko hiki au tendo hiki halikutendwa.
Yeye mwenyewe ( Luka) anasema mambo yaliyitendwa katikati Yao yaani pamoja na kiongozi wa kiserikali anayeitwa Theofilo halafu huyu mtawala akubali kama mjinga tuu! Hapana maana yake na yeye alikuwa na vyanzo vya kuprove andikonla Luka.
Leo atokee mtu anayejiita mtafiti wa mambo ya kele sijui biblia aseme kitabubcha Luka kiondolewe nafkiri atakuwa anakosea.
Sorry Kama umehisi Nimefanya Academic Intimidation!..

Sikutaka Nifike Kwenye Kuchambua Context na contents za Kitabu cha Luke lakini kwakuwa UmeInsist ok lets Go to the mission...

SASA KWAKUWA UMETAKA UCHAMBUZI SASA SOMA KWA UMAKINI HAPA CHINI, KABLA YA KUJIBU HOJA


Tuanze Na The adressee Of the Book of Luke..


(Mwandikiwa wa Kitabu cha Luke) ambaye alikuwa Theophilo au Theophilus Mwana wa Ananus Mtukufu...

Kama Unasoma Extra biblical History Utagundua kwamba Theophilus amefariki Mwaka 47 AD (Ambaye alikuwa high priest wa Jerusalem from 37-41 AD, ambaye alikuwa mtoto wa Annas (Anna) na Shemeji yake Caiaphas (Kayapha)..)

Na ikumbukwe amefariki miaka kumi au kumi na kitu Tangu Yesu afariki na Ikumbukwe Kitabu cha Luka kimeandikwa Mwaka 90s AD mpaka 100s AD..
Miaka 40 mpaka 50 baada ga Kufariki kwa Theophilus..

Sasa Kama Kitabu cha Luka Kimeandikwa Miaka 50 Baada ya kufariki kwa Theophilus unahisi Ni theophilus Gani aliyekuwa anaandikiwa Ambaye alikuwa kwenye Position ya Uongozi enzi hizo??
huoni kama Ni fabricated Story???

Japo some Churches Historian wana identifies Theophilus kama later high priest yaani Mattathias ben Theophilus, ambaye yeye alitumikia from 65 to 66.

wakisema kwamba Luka alimtaja priest Joseph ben Caiaphas simply kwa "Caiaphas". yaani Kayapha...Thus, the reasoning goes, Luke used this pattern when addressing Theophilus.

Lakini Bado Huyo Theophilus mwingine na Yeye alifariki miaka ya 73 AD Kabla ya Uandishi wa Kitabu cha Luka..

Umesema Kuhusu Context Za kitabu cha luka Ni sawa na Context Zingine za Vitabu vyenzake Vya Injili (Synoptic Gospel)? Sidhani....Kwakuwa umeenda kwenye Contradictory facts na nilikuwa sitaki tufike huku haya sawa..

Tuangalie Context Moja Pendwa UKOO WA YESU Kwenye Injili mbili LUKE NA MATHAYO.Kila mmoja kaeleza

Baba Yake na Yusuph
(ambaye ni Babu yake na Yesu)..

Ukisoma kwenye Mathayo Alikuwa anaitwa Yakobo (Mathayo 1:16) na ukisoma kwa Luka aliitwa ni Eli (Luka 3:23)..
From There the whole Clan ikapotea kabisa..
From eli to Zerubabeli.. Yaani namaanisha Ukoo wote wa Mathayo na ukoo wa Yesu wa Luka uko tofauti mpaka Kwa Zerubabeli....

Na hata Tukianza Kumchambua Ukoo Huo nataka Uwe makini Hapa uweke Akili zako zote hapa..(Si Unamtetea Luka?)..


Hakuna Doubt kwamba Zerubabeli Baba yake Alikuwa Sheatiel (Luka 3:27)..
Screenshot_20240717_191515_Biblia.jpg


Lakini Nasikitika kukwambia Kwamba Zerubabeli (Zorobabel) hakuwahi kuwa na Mtoto anaitwa Rhesa wakati wowote ule kama Alivyotuambia Luka..

Soma (1 Mambo ya Nyakati 3:19-20.) Unakuta kwamba Zerubabel alikuwa na watoto watano ila Rhesa sio Miongoni mwa wanae..
Kulikuwa na Meshulamu,Hanania,Shelomithi,Hashuba,oheli,berekia,hasadia,Yushab-Hesedi...
Screenshot_20240717_191829_Biblia.jpg


Ambapo kama Msomi mzuri wa Luka 3:27 Utagundua Kwamba Rhesa hakuwa miongoni mwa watoto wa Zerubabeli sasa Luka alimtoa wapi????

Na utagundua kwamba hata Baba yake na Sheatiel kama alivyotajwa kwenye Luka 3:27 Kuwa ni Neri kitu ambacho sio kweli Tukirudi Agano la kale 1 Mambo ya nyakati 3 Na hata kwenye Mathayo 1..

Kwa Mujibu wa Mathayo 1:12 Baba yake na Sheatiel alikuwa anaitwa Yekonia..
Screenshot_20240717_192923_Biblia Takatifu.jpg


Na hata kwenye 1 Mambo ya Nyakati 3:17..
Baba yake na sheatiel alikuwa yekonia Na sio Neri kama Luka alivyosema..

Screenshot_20240717_193133_Biblia Takatifu.jpg


Sasa Jiulize kuwa Huyo Neri Luka alimpata wapi..

Hata hivyo tukienda kuhusu Mwana wa Daudi wote wanafahamu kuwa Yesu Ni Mwana wa Daudi ils swali ni kwamba kwa Mwana yupi wa Daudi ukoo wa Yesu unaandikwa???


Ukisoma kwa Luka 3:31 Atakuwambia Nathan (Kitu ambacho Sio Cha kweli) Ndyo Mtoto wa Daudi Ukoo wa Yesu Ulipotokea..
Screenshot_20240717_194158_Biblia.jpg


Ukoo wa Yesu Unatoka kwa Suleiman Mtoto wa Daudi kama Alivyotabiriwa..na kama Alivyosema Mathayo 1:6-7
Screenshot_20240717_194316_Biblia Takatifu.jpg


Sasa sijui kama umeweza Kusoma na Kuchunguza Context ya Hivyo vitu..

Na ukaona kuwa Luka ni just Fabricated story ilichukua Maarifa yake kutoka Q Sources na Mark sources na Kuongeza Maarifa yske yake yasiyo ya Kweli ...

Nakukaribisha kwa Hoja Yakinifu Mkuu..
Kama utahitaji hoja Zaidi Niambie..

Ila tambua Kwamba Luka Ni kitabu Kinachopotosha na hakikustahili kuwa kwenye Biblia
 
Sorry Kama umehisi Nimefanya Academic Intimidation!..

Sikutaka Nifike Kwenye Kuchambua Context na contents za Kitabu cha Luke lakini kwakuwa UmeInsist ok lets Go to the mission...

SASA KWAKUWA UMETAKA UCHAMBUZI SASA SOMA KWA UMAKINI HAPA CHINI, KABLA YA KUJIBU HOJA


Tuanze Na The adressee Of the Book of Luke..


(Mwandikiwa wa Kitabu cha Luke) ambaye alikuwa Theophilo au Theophilus Mwana wa Ananus Mtukufu...

Kama Unasoma Extra biblical History Utagundua kwamba Theophilus amefariki Mwaka 47 AD (Ambaye alikuwa high priest wa Jerusalem from 37-41 AD, ambaye alikuwa mtoto wa Annas (Anna) na Shemeji yake Caiaphas (Kayapha)..)

Na ikumbukwe amefariki miaka kumi au kumi na kitu Tangu Yesu afariki na Ikumbukwe Kitabu cha Luka kimeandikwa Mwaka 90s AD mpaka 100s AD..
Miaka 40 mpaka 50 baada ga Kufariki kwa Theophilus..

Sasa Kama Kitabu cha Luka Kimeandikwa Miaka 50 Baada ya kufariki kwa Theophilus unahisi Ni theophilus Gani aliyekuwa anaandikiwa Ambaye alikuwa kwenye Position ya Uongozi enzi hizo??
huoni kama Ni fabricated Story???

Japo some Churches Historian wana identifies Theophilus kama later high priest yaani Mattathias ben Theophilus, ambaye yeye alitumikia from 65 to 66.

wakisema kwamba Luka alimtaja priest Joseph ben Caiaphas simply kwa "Caiaphas". yaani Kayapha...Thus, the reasoning goes, Luke used this pattern when addressing Theophilus.

Lakini Bado Huyo Theophilus mwingine na Yeye alifariki miaka ya 73 AD Kabla ya Uandishi wa Kitabu cha Luka..

Umesema Kuhusu Context Za kitabu cha luka Ni sawa na Context Zingine za Vitabu vyenzake Vya Injili (Synoptic Gospel)? Sidhani....Kwakuwa umeenda kwenye Contradictory facts na nilikuwa sitaki tufike huku haya sawa..

Tuangalie Context Moja Pendwa UKOO WA YESU Kwenye Injili mbili LUKE NA MATHAYO.Kila mmoja kaeleza

Baba Yake na Yusuph
(ambaye ni Babu yake na Yesu)..

Ukisoma kwenye Mathayo Alikuwa anaitwa Yakobo (Mathayo 1:16) na ukisoma kwa Luka aliitwa ni Eli (Luka 3:23)..
From There the whole Clan ikapotea kabisa..
From eli to Zerubabeli.. Yaani namaanisha Ukoo wote wa Mathayo na ukoo wa Yesu wa Luka uko tofauti mpaka Kwa Zerubabeli....

Na hata Tukianza Kumchambua Ukoo Huo nataka Uwe makini Hapa uweke Akili zako zote hapa..(Si Unamtetea Luka?)..


Hakuna Doubt kwamba Zerubabeli Baba yake Alikuwa Sheatiel (Luka 3:27)..
View attachment 3044958

Lakini Nasikitika kukwambia Kwamba Zerubabeli (Zorobabel) hakuwahi kuwa na Mtoto anaitwa Rhesa wakati wowote ule kama Alivyotuambia Luka..

Soma (1 Mambo ya Nyakati 3:19-20.) Unakuta kwamba Zerubabel alikuwa na watoto watano ila Rhesa sio Miongoni mwa wanae..
Kulikuwa na Meshulamu,Hanania,Shelomithi,Hashuba,oheli,berekia,hasadia,Yushab-Hesedi...
View attachment 3044963

Ambapo kama Msomi mzuri wa Luka 3:27 Utagundua Kwamba Rhesa hakuwa miongoni mwa watoto wa Zerubabeli sasa Luka alimtoa wapi????

Na utagundua kwamba hata Baba yake na Sheatiel kama alivyotajwa kwenye Luka 3:27 Kuwa ni Neri kitu ambacho sio kweli Tukirudi Agano la kale 1 Mambo ya nyakati 3 Na hata kwenye Mathayo 1..

Kwa Mujibu wa Mathayo 1:12 Baba yake na Sheatiel alikuwa anaitwa Yekonia..
View attachment 3044967

Na hata kwenye 1 Mambo ya Nyakati 3:17..
Baba yake na sheatiel alikuwa yekonia Na sio Neri kama Luka alivyosema..

View attachment 3044971

Sasa Jiulize kuwa Huyo Neri Luka alimpata wapi..

Hata hivyo tukienda kuhusu Mwana wa Daudi wote wanafahamu kuwa Yesu Ni Mwana wa Daudi ils swali ni kwamba kwa Mwana yupi wa Daudi ukoo wa Yesu unaandikwa???


Ukisoma kwa Luka 3:31 Atakuwambia Nathan (Kitu ambacho Sio Cha kweli) Ndyo Mtoto wa Daudi Ukoo wa Yesu Ulipotokea..
View attachment 3044975

Ukoo wa Yesu Unatoka kwa Suleiman Mtoto wa Daudi kama Alivyotabiriwa..na kama Alivyosema Mathayo 1:6-7
View attachment 3044976

Sasa sijui kama umeweza Kusoma na Kuchunguza Context ya Hivyo vitu..

Na ukaona kuwa Luka ni just Fabricated story ilichukua Maarifa yake kutoka Q Sources na Mark sources na Kuongeza Maarifa yske yake yasiyo ya Kweli ...

Nakukaribisha kwa Hoja Yakinifu Mkuu..
Kama utahitaji hoja Zaidi Niambie..

Ila tambua Kwamba Luka Ni kitabu Kinachopotosha na hakikustahili kuwa kwenye Biblia
Sasa hapa umekuja na hoja ambayo kwangu Sasa ni assignment ya kufanyika kazi. Hii ndo hoja ambayo Ina mashiko kabisaa na nakubali kuwa hii kitu siwezi kukataa walankukubali maana Sina taarifa ya awali. Naifanya kama assignment ni consult madesa niifatile hii issue.
With thanks
 
Sorry Kama umehisi Nimefanya Academic Intimidation!..

Sikutaka Nifike Kwenye Kuchambua Context na contents za Kitabu cha Luke lakini kwakuwa UmeInsist ok lets Go to the mission...

SASA KWAKUWA UMETAKA UCHAMBUZI SASA SOMA KWA UMAKINI HAPA CHINI, KABLA YA KUJIBU HOJA


Tuanze Na The adressee Of the Book of Luke..


(Mwandikiwa wa Kitabu cha Luke) ambaye alikuwa Theophilo au Theophilus Mwana wa Ananus Mtukufu...

Kama Unasoma Extra biblical History Utagundua kwamba Theophilus amefariki Mwaka 47 AD (Ambaye alikuwa high priest wa Jerusalem from 37-41 AD, ambaye alikuwa mtoto wa Annas (Anna) na Shemeji yake Caiaphas (Kayapha)..)

Na ikumbukwe amefariki miaka kumi au kumi na kitu Tangu Yesu afariki na Ikumbukwe Kitabu cha Luka kimeandikwa Mwaka 90s AD mpaka 100s AD..
Miaka 40 mpaka 50 baada ga Kufariki kwa Theophilus..

Sasa Kama Kitabu cha Luka Kimeandikwa Miaka 50 Baada ya kufariki kwa Theophilus unahisi Ni theophilus Gani aliyekuwa anaandikiwa Ambaye alikuwa kwenye Position ya Uongozi enzi hizo??
huoni kama Ni fabricated Story???

Japo some Churches Historian wana identifies Theophilus kama later high priest yaani Mattathias ben Theophilus, ambaye yeye alitumikia from 65 to 66.

wakisema kwamba Luka alimtaja priest Joseph ben Caiaphas simply kwa "Caiaphas". yaani Kayapha...Thus, the reasoning goes, Luke used this pattern when addressing Theophilus.

Lakini Bado Huyo Theophilus mwingine na Yeye alifariki miaka ya 73 AD Kabla ya Uandishi wa Kitabu cha Luka..

Umesema Kuhusu Context Za kitabu cha luka Ni sawa na Context Zingine za Vitabu vyenzake Vya Injili (Synoptic Gospel)? Sidhani....Kwakuwa umeenda kwenye Contradictory facts na nilikuwa sitaki tufike huku haya sawa..

Tuangalie Context Moja Pendwa UKOO WA YESU Kwenye Injili mbili LUKE NA MATHAYO.Kila mmoja kaeleza

Baba Yake na Yusuph
(ambaye ni Babu yake na Yesu)..

Ukisoma kwenye Mathayo Alikuwa anaitwa Yakobo (Mathayo 1:16) na ukisoma kwa Luka aliitwa ni Eli (Luka 3:23)..
From There the whole Clan ikapotea kabisa..
From eli to Zerubabeli.. Yaani namaanisha Ukoo wote wa Mathayo na ukoo wa Yesu wa Luka uko tofauti mpaka Kwa Zerubabeli....

Na hata Tukianza Kumchambua Ukoo Huo nataka Uwe makini Hapa uweke Akili zako zote hapa..(Si Unamtetea Luka?)..


Hakuna Doubt kwamba Zerubabeli Baba yake Alikuwa Sheatiel (Luka 3:27)..
View attachment 3044958

Lakini Nasikitika kukwambia Kwamba Zerubabeli (Zorobabel) hakuwahi kuwa na Mtoto anaitwa Rhesa wakati wowote ule kama Alivyotuambia Luka..

Soma (1 Mambo ya Nyakati 3:19-20.) Unakuta kwamba Zerubabel alikuwa na watoto watano ila Rhesa sio Miongoni mwa wanae..
Kulikuwa na Meshulamu,Hanania,Shelomithi,Hashuba,oheli,berekia,hasadia,Yushab-Hesedi...
View attachment 3044963

Ambapo kama Msomi mzuri wa Luka 3:27 Utagundua Kwamba Rhesa hakuwa miongoni mwa watoto wa Zerubabeli sasa Luka alimtoa wapi????

Na utagundua kwamba hata Baba yake na Sheatiel kama alivyotajwa kwenye Luka 3:27 Kuwa ni Neri kitu ambacho sio kweli Tukirudi Agano la kale 1 Mambo ya nyakati 3 Na hata kwenye Mathayo 1..

Kwa Mujibu wa Mathayo 1:12 Baba yake na Sheatiel alikuwa anaitwa Yekonia..
View attachment 3044967

Na hata kwenye 1 Mambo ya Nyakati 3:17..
Baba yake na sheatiel alikuwa yekonia Na sio Neri kama Luka alivyosema..

View attachment 3044971

Sasa Jiulize kuwa Huyo Neri Luka alimpata wapi..

Hata hivyo tukienda kuhusu Mwana wa Daudi wote wanafahamu kuwa Yesu Ni Mwana wa Daudi ils swali ni kwamba kwa Mwana yupi wa Daudi ukoo wa Yesu unaandikwa???


Ukisoma kwa Luka 3:31 Atakuwambia Nathan (Kitu ambacho Sio Cha kweli) Ndyo Mtoto wa Daudi Ukoo wa Yesu Ulipotokea..
View attachment 3044975

Ukoo wa Yesu Unatoka kwa Suleiman Mtoto wa Daudi kama Alivyotabiriwa..na kama Alivyosema Mathayo 1:6-7
View attachment 3044976

Sasa sijui kama umeweza Kusoma na Kuchunguza Context ya Hivyo vitu..

Na ukaona kuwa Luka ni just Fabricated story ilichukua Maarifa yake kutoka Q Sources na Mark sources na Kuongeza Maarifa yske yake yasiyo ya Kweli ...

Nakukaribisha kwa Hoja Yakinifu Mkuu..
Kama utahitaji hoja Zaidi Niambie..

Ila tambua Kwamba Luka Ni kitabu Kinachopotosha na hakikustahili kuwa kwenye Biblia
Tukipata mijadala kama hii Hapa JF kila wiki nitatamba kitaa
 
Kitabu cha Henoko kina uongo hatari usipoteze muda mfano Biblia inasema Malaika walioasi mbinguni walikuwa wengi mno theluthi ya malaika wote Biblia inatamka wazi kuwa idadi ya malaika huwezi hata kuwahesabu ni innumerable sasa one third ya malaika wasiohesabika haiwezi kuwa 200

Pili kitabu cha henoko kinasema katika hao malaika 200 wawili walirudi tena kibabe mbinguni kwenda kuiba siri kuwa walibadili majina wakapita getini huko mbinguni wakaenda kuiba siri wakaja nazo duniani

Lingine Yesu mwenyewe alisema malaika hawaoi ,hawaolewi wala kuzaliana na kiumbe chochote kitabu cha Henoko kinasema malaika wana uwezo wa kumwingilia mwanamke akabeba mimba na akazaa mtoto binadamu wa kawaida kabisa unayekutana naye barabarani. Huyo binadamu uzao wa malaika na binadamu anaitwa mnefili

Yesu ni mkuu kuliko huyo Henoko alichosema Yesu ndio sahihi .Henoko matapeli walitumia jina lake tu


Hicho kitabu cha Henoko ni hadithi za vijiweni za wahuni hakitambuliwi kwenye Biblia ya wayahudi ni hadithi za vijiwe vya kahawa
Lakini kitabu cha mwanzo kinaeleza tulio la MALAIKA kuzaa na Wana WA binadamu wakazaliwa wanefili ingawaje Biblia imefupisha Sana
Ni kweli kabisa Kuna malaika walifanya uasi kuingiliana na binadamu wakazaliwa hao wanefili wenye maumbo makubwa mwanzo 6 malaika hao wametajwa kama Wana wa Mungu

Majibu utayapata ukisoma 2 Petro 2:4 adhabu waliyoipata Hawa malaika waasi
 
Ni kweli kabisa Kuna malaika walifanya uasi kuingiliana na binadamu wakazaliwa hao wanefili wenye maumbo makubwa mwanzo 6 malaika hao wametajwa kama Wana wa Mungu

Majibu utayapata ukisoma 2 Petro 2:4 adhabu waliyoipata Hawa malaika waasi

Sahihi Kwa Mujibu wa Biblia
 
Ni kweli kabisa Kuna malaika walifanya uasi kuingiliana na binadamu wakazaliwa hao wanefili wenye maumbo makubwa mwanzo 6 malaika hao wametajwa kama Wana wa Mungu

Majibu utayapata ukisoma 2 Petro 2:4 adhabu waliyoipata Hawa malaika waasi
Kwahyo malaika wanazaa na kuoa na kufanya mapenzi???

Ukipata Muda Nijibu tafadhali
 
Sasa kwaniniMkuu Mimi sijui
Lakini Lucifer Baadhi ya simulizi zinaeleza kuwa yeye hahusiki na mambo ya ushawishi na kudanganya.
Ila Samael aliumbwa Kwa Kazi hiyo.

Kilichomuangusha Lusifa ni majivuno na kiburi
Ila aliyemdanganya Eva ni Samael
Sasa kwanini huyo malaika amefanya tuje kuishi maisha magumu kiasi hichi duniani, nilidhani shetani ndiye aliye fanya eva na Adam wale tunda,kumbe ni malaika wa Mwenyezi Mungu.
Au nime elewa vibaya
 
KITABU CHA ENOCH KINAWATAJA MALAIKA 200 WALIOASI AMBAO NDÎO WALIIBA WALIIBA SIRI NA TEKNOLOJIA ZA MBINGUNI KISHA WAKAMFUNDISHA BINADAMU

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Kwa Wakristo na waumini wa Dini ya kiyahudi jina Enock siô geni Kwao. NI Moja ya binadamu ambao hawakuwahi kupatwa na umauti.

Kwa wale wasiomjua Enoch. Kw kifupi Enoch ni Moja ya Watu WA mwanzoni katika simulizi za Zamani za kiebrania ambao NI uzao wa Nuhu.

Enoch alizaliwa na Yaredi. Enock ni Babu yake Nuhu(Nuhu NI kitukuu cha Enock)

Kwa Mujibu wa simulizi za kiebrania, enock ndiye Mtu pekee aliyeweza kukutana na MALAIKA tofauti tofauti yàani zaidi ya mmoja. Binadamu Wengine waliowahi kukutana na MALAIKA walikutana aidha na Gabriel au Mikael au Rafael

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeweza kuwataja MALAIKA wengi zaidi Kwa majina na Sifa zào za kimaumbile.

Enoch ndiye Mhusika pekee kwèñye Biblia aliyeweza kuelezea Mianga kama Jua na Mwezi na mizunguko yake.
Enock alikuwa MTU wa kusafirishwa na MALAIKA kutoka anga Moja kuelekea ñyiñgine. Ilikuwa kawaidà Kwa Enock kupotea hata miaka 50 bila kujulikana alipo.

Enock ndiye Mhusika pekee aliyeelezea Kwa majina MALAIKA 200 Walioasi na kuzaliana na WANADAMU.

Kwa jinsi nilivyoielewa simulizi ya Enock ni Kwamba, binadamu ni kama mnyama, tofauti yake ni utashi tuu.
Binadamu Hana uwezo wowote WA kubuni kitu hata Moto, sîjui, urembo, sîjui ndege, sîjui computer, sijui bastola, miongoni mwa TEKNOLOJIA zingine.

Stori ya KITABU cha ENOCH Kwa kifupi Ipo hivi;

1. Kûna mbingu 12 na kîla mbingu kuna MALAIKA wake Mkûu anayoiongoza.

2. Malaika 200 waliasi wakiongozwa na Kiongozi wao aitwaye Samzaiya. Viongozi Wengine ni Azazel

3. Katika hao MALAIKA kîla MALAIKA alikuwa na sîfa, uwezo na Ñguvu zake. Wàpo waliokuwa na mbawa Mbili, wàpo mbawa nne(serafi) wàpo WA mbawa sita (Makerubi) na yupo Malaika mmoja aitwaye Samael mwenye mbawa Kumi na Mbili(huyu role yake ipo kitofauti)

4. Malaika hawa walikuja kuzaa na Wanawake wa WANADAMU. Wakazaa majitu, nephili au miunguwatu (demigods)

5. Azazel Moja ya Malaika alioasi aliwafundisha Wanadamu Teknolojia za silaha, uchawi, unajimu, urembo kama kupaka makeup. Kitabu kinaeleza kuwa MALAIKA walioasi wakawafundisha mambo meñgi sana àmbayo Kwa Sasa ndîo tunaita Teknolojia na utandawazi.

Jambo lililonishangaza NI kuona mpaka masuala ya Teknolojia ya kutumia Dawa Fulani ili Wanawake wasibebe mimba ili kutoharibu urembo wao. Hii ilifanya Baadhi ya Wanawake waliotumia Teknolojia ya Kuzuia mimba baadaye kushindwa kupata Watoto. Enock anaeleza hayo.

6. Demigods yàani wale machotara wa Malaika na binadamu ambao Kwa uelewa wàngu ndîo nahisi wanaitwa Majini. Wakawa wanakula kupita kiasi Jambo ambalo mama zào(Wanawake wa kibinadamu) walishindwa kuwalisha, wale Demigods wakaanza Kunywa damu za watu, kisha nyama zào, kisha wakawa wanakula ndege, wanyama na samaki wa baharini. Kipindi hicho nafikiri wanyama kama Godzilla waliishia kuliwa na hawa demigods.

Urefu wao(hao Demigods) ulikuwa Mita thelasini kwenda juu na walikuwa na uwezo mchangayiko yàani uwezo WA kibinadamu na kimalaika.

7. Wanadamu wakawa wanalia kutokana na kuuawa na hawa Watoto chotara(demigods au wanefili).
Kilio Chao kilitokana na dhulma ya uhai, kuchukuliwa Wake zào, kuteswa n.k.

8. Kilio Kikafika Mbingu ya Tano Huko alikuwepo MALAIKA Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel. Malaika hao nao cheo chao NI kikuu. Wakaweka kikao huku wakilalamika wao Kwa wao Kwa matendo yanayofanywa na kina Samzaiya na Azazel na wenzao.

Mikael akiwa Kiongozi wa Malaika AMBAO hawakuasi akamuita Baba yao(Mungu). Mungu akawauliza kûna nini mbona kuniita. Wanasema(akina Mikael), tazama Samzaiya na Azazel wanachokifanya Huko Duniani. Wameiba Siri za MBINGUNI Ambazo Mwanadamu hakupaswa kuzijua lakini waô wamewapa. Wamewafunisha siri zetu, Kisha wakazaa nao Watoto. Ndio maana unasikia kilio Huko Duniani. Umwagaji WA damu umekuwa Mkubwa.

9. Mungu akatoa Amri akina Samzaiya na wenzake wakamatwe Kisha wafungwe katika maeneo mbalimbali mpaka Siku ya hukumu.

10. Kuhusu Demigods Mungu akawaambia atafutilia mbali Watoto na kizazi cha demigods na Wanadamu walioasi (walioungana na demigods) Kwa kutumia Gharika.

11. Basi kulikuwa na vita Kali Baina ya Malaika walioasi na MALAIKA waaminifu. Upande WA waliasi ukiongozwa na Samzaiya na Azazel huku upande WA MALAIKA waaminifu ukiongozwa na Mikael, Gabriel, Rafael na Uriel.
Mungu akamteua Malaika WA Mbingu ya Tano Aitwaye Samael kuhakikisha Haki inatendeka katika vita hiyo. Samael maana yake sumu y Mûngu, Malaika wa Kifo àmbayo majukumu yake yalikuwa mosi, kuhakikisha Haki inatendeka, pili, kushawishi na kujaribu viumbe Wengine Mpaka Malaika wènyewe,

12. Samael ndiye aliyeuweka MTU WA ujuzi WA Wema na ubaya pale Bustani ya Edeni na kumtumia nyoka kumdanganya Eva.

13. Samael ndiye aliyemtuma Ammado yàani Malaika wa ukahaba kumlaghai Adamu Kisha adamu akalala na Ammado na kuzaa naye Mtoto

14. Samael alikuja kuanguka baàda ya kumchukua Lilith kuwa Mkewe na kwenda naye kwèñye Mbingu ya Tano

15. Samael ndiye aliyepigana na Yakobo usiku ule ambao Yakobo alikuwa anaenda Kwa Labani Mjomba wake.
Samael ndiye prosecutor na ndiye aliyemletea majanga Ayoub katika kupima Haki na ukamilifu wa Ayoub

16. Ingawaje Watu wengi wanamhusisha Lucifer kuwa ndiye aliyemdanganya Eva lakini Samael ndiye aliyefanya Jambo hilo.

17. Nuhu hakuwa Mtoto WA kawaida. Jambo lililopelekea babaake Aitwaye Lameki kutaka kumkana Kwa kuona amebambikiwa, Methuselah babaye Lameki akapeleka habari hizô Kwa Enoch(Babu yake Lameki)
Nuhu tofauti na Watoto Wengine wanapozaliwa kwa Wakati huo. Alikuwa amezaliwa akiwa mweupe kupitiliza mwenye nywele kama za dhahabu. Kwa Sasa ungemuita albino. Lakini kama hiyo haitoshi, macho yake yalikuwa yakiwaka kama taa na kujuza mwanga chumbani
Jambo hilo lilimfanya Baba yake, Lameki kuona huenda Mkewe alilala na demigod au Moja ya wale Malaika walioasi.

18. Enoch ndiye aliyemwambia Methuselah Mwanaye kuwa asihofu kuhusu Mtoto wa Lameck kwani NI wake, na ndiye atakuwa mkombozi wa Wanadamu na amepewa jukumu la kujenga Safina àmbayo Watu nane tuu ndîo watakaookoka Wakati huo ûkifika. Enoch akamuita kitukuu chake hicho jina Nuhu.

19. Samael ndiye aliyemlaghai Eva na kuzaliwa Kaini.

20. Gharika ikaja kufuta na kuangamiza Watu wôte waovu na wale Demigods ingawaje wàpo ambao waliescape

21. Nuhu alipata nafasi ya kuingia na nguo ya Adamu Ile aliyovikwa na Mungu kipindi kile walichoasi.
Baàda ya gharika Hamu Mwanaye Nuhu aliiba Ile Nguo àmbayo ilikuwa na maajabu. Kisha Nimrodi Mjukuu wa Hamu naye akaiiba. Yeye akaweza kûitumia katika shughuli zake za Kúpiga upinde. Baadaye akawa Mfalme.

22. Ibrahim alizaliwa Nuhu bado akiwa hai. Nuhu alikufa Ibrahim akiwa na Miaka 55
Hivyo hadithi zote za tangu Adamu Ibrahim alizipata Kwa Babu yake, Nuhu.

Kwa Leo tuishie Hapa.

Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon WA Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hiko kitabu.nakipataje mkuu
 
Back
Top Bottom