Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Ile kauli ya magu kuwa kikwete ni mvumilivu yeye angewatwanga risasi ilionyesha tabia yake.
Very savage behaviour, We had very stupid and imbecile president, just like one we have now. Both are triggers' happy. Watekaji na wauaji. walijifanya miungu mtu. SHAME ON THEM
 
Why This is a free country .call this freedom of expression achana na mambo ya Emanuely makaid na Nyerere .let him speak .
 
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi chombo nyeti cha usalama nchini nao waliniambia suala alilosema Kabendera kwenye kitabu chake. Tena mimi niliambiwa since 2020 Magufuli akiwa hai.

So aliyosema Kabendera sio chuki ndo ukweli wenyewe
Wewe huna unachojua .

Endelea kudanganya watu hapo Brelleer.
 
Kosa lake nini kaflag kama kasema ukweli uliofichwa kwa miaka mingi sana, uzuri kasema amejua kupitia watu wa serikalini na kutoka upinzani
 
Appearance As karl max as Isaac Newton .The man is total genius .but with much looks kama jamaa wa hekaya za mlevi na unaambiwa genius yoyote n lazima awe rough
 
Hakujawahi kuwa na jambo kama hilo.

Haka kajamaa ni kaongo kama nini.

Fucked up.
 
Siwezi kushangaa Magu kutaka kumbaka makamu. Maana tayari alikuwa anatembea na mawaziri kadhaaa na wengine kawazalisha kama Angela Kairuki
Angela kairuki hakuwahi kuwa na Magufuli kwa ajili ya habari hiyo.


Kairuki kuna jambo alifanya ndio lilimuweka chatini.

Sio huo ujinga wa kuzushwa na watu.
 
Mi nilijua tuu, damu ile (Ya kijana yule) itakuja kuruka tuu na kuchafua wahusika na shati zao nyeupe.
Nilijua ni suala la muda tuu, damu ile itakuja juu ya ardhi na itaonyesha nini kilitokea.
Mwisho damu ile haijakwenda bure.
 
Huenda kandika kiwepesi kama unavyodhani lakini yeye kamanisha na hilo kaliweka kimtego ili apelekwe mahakani akaseme ukweli wote na atoe ushahidi uliokamilika
Na anajua kile alichokiandika kina uzito gani hivyo hahitaji ushauri wako kuna watu wazito ambao kawapa wamesoma wakamwambia andelea
 
Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.
Eeh, hii sawa..
Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.
Hee heeπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”, hii mbona kali na mpya zaidi..!!

Honestly, nimecheka utadhani ni mazuri na mpaka usingizi umekata...

By the way hadi inatokea walikuwa wapi kwani? Na VP na Rais huwa wanaishi nyumba moja kwani? Au walikuwa hotelini Madagascar kufuata dawa ya corona..?

Hii kashfa ni kali sana, inahitaji iandikiwe kitabu...
Wamshitaki Kabendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.
Eeh, hii pia ni sawaπŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»

Kina Stroke, Tlaatlaah , Lucas Mwashambwa wanajipanga kuja kushambulia, kaa mkao wa kula matusi
 
Hivi katika karne hii ya maendeleo ya teknolojia ya habari, utaweza vipi kukifungia kitabu wakati wewe mwenyewe umeshakisoma na tayari unakisambaza hapa...

Ushahidi wa tuhuma kama hizi hauwezi kuandikwa kwenye kitabu...

Kwa sasa ni kuwa, hoja imetolewa na iko mezani. Acha ijadiliwe...

By the way, huyu mtu hawezi kuwa mjinga kiasi hiki hata aandike jambo hili kwenye kitabu halafu asiwe na ushahidi..

Idea nzuri umetoa:

Kuwa, kama mnadhani ana fabricate issues, ashitakiwe ili akathibitishe mahakamani kama mnaweza...

Otherwise, kitabu hiki kitauza sana duniani kote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…