Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #81
Kwahiyo watu wasome na kuamini kuwa Magufuli alimpiga ben Saa nane Risasi ya kichwa ikulu?Utakifungiaje hicho kitabu? Sir John Roberts? Ujuaji mwingi ni kujitia aibu tu. Ni sawa na serikali kupitia BASATA ilipoupiga marufuku wimbo wa Nay wa Mitego wakati tayari mitandaoni umeshapandishwa. Punguza Ujuaji na mihemuko isiyo kuwa ya lazima
Asante kwa kupromote kitabu cha KabenderaHuyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.
Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.
Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji
Nashauri mambo mawili ya kufanya
1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.
2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Endapo kama haya ni ya kweli, hakika jamaa alikuwa ni mtu katili kupindukia, maana watu wenye viherehere kama Ben saa nane ilikuwa ni kuwachapa tu bakora 50-100 ananyooka tu mwenyewe, sasa kwa kufanya ya aina hiyo, na mwandishi kama kabendera kwa vyovyote atakuwa amechimba sana habari hii kwa kina hata uandishi wake ni wa kimtego mtego,, let her evils be known but if it was true!Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.
Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.
Nashauri mambo mawili ya kufanya
1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.
2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Sina sababu ya kupanikiComrade unaonekana umepaniki sana.
Sina timu Mimi ila kumsakama mtu kwa uzushi ambaye hawezi kujitetea ameshakufa naona ni kama ujinga na upuuzi Fulani hivi.
Kaandika upuuzi sana. Hivi kweli rais amuite mtu ikulu halafu ampigie Risasi na kumuua hata kama alikua anataka kumuua Rais ana vyombo vingi hizi Tuhuma ni nzito lazima azithibitishe. Nitashangaa sana kama serikali italifumbia macho suala hili
Nikuthibitishie wewe?Thibitisha
Akili huna bro, kwa uelewa wako, Obama ni Mkenya, na hakustahili kuwa Rais wa, USA!Huyu jamaa achunguzwe hata uraia wake hawa Kina Kabendera wengi wanatokea nchi jirani sitaitaja ila najua mmeshanielewa.
Kama huamini alichoandika hata wewe una haki ya kufungua mashtaka.Sasa kama Hana ushahidi kwanini achapishe Tuhuma nzito namna hiyo? Unajua kitabu kitasomwa na vizazi vingapi vya nchi hii?
Mimi, sisi na mamlaka.Nikuthibitishie wewe?
Kama huamini alichoandika hata wewe una haki ya kufungua mashtaka.
Unadhani anaweza kuandika mazito kama hayo bila ushahidi?
Kwahiyo miaka yote hiyo serikali hawakuwa na pa kuanzia uchunguzi mpaka wapate kitabu?Tayari Wana pakuanzia .huyu Kabendera ameandika kwenye kitabu chake aisaidie Polisi na usalama kuujua ukweli.
Chiba na makengeza ndio nani hao?😁..niko upande wa chiba.
..makengeza amechoka mno.
Task force baadae ya kumteka ilimpeleka Ikulu ili jiwe ammalize Kwa mikono yakeWaongee yaliyo ya kweli siyo uzushi. Magufuli amwite ikulu halafu ampige Risasi unaamini hilo?