Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,124
- 1,384
Kwanini aumbe watu ambao hawatafuata matakwa yake?Wajenzi wa babel walitaka wasisambae duniani. Hilo ndo lilikuwa kosa si kujenga babel. Hata wangeachwa wajenge wasingefika mbinguni. Kosa lilikuwa kutokutaka kusambaa na kuijaza dunia, mpango wa MUNGU si watu wakae sehemu moja.
Hiyo proof iko wapi mkuuMimi nakubali kuwa mtu wa kwanza alikuwa Adam,na hata kisayansi inakuwa proved hivyo,
isipokuwa wale wanaoleta theory ya kuw Kima alikuwako mwanzo kabla ya binadamu huyu wa leo pia ni sahihi,lakini stori ya kuwa binadamu katokana na nyani hiyo ni ya kubuni eti binadamu katokana na nyani?, Evolution theory ya Darwin' haina ukweli wowote, hata sayansi haikubalianina hilo.
Kama ingelikuwa kweli,tungeliona manyani zama zetu hizi wakibadilika kuwa binadamu,mbona hakuna hilo?
Hivyo ni Uongo.
Ukweli ni kwamba Mungu aliumba wanyama wote kabla ya Binadamu,ambaye aliumbwa mwisho kabisa.
wewe si ndo Babu zako wale kima wa Mr. Darwin?Hiyo proof iko wapi mkuu
Kuna sehemu nimekwambia nakubariana na Darwin au wanilisha maneno? Ulishawahi kusoma ugunduzi wa Machu Picchu? Ushawahi kusoma kuhusu baadhi ya vichwa vya mumies wa egypt, ushawahi kusoma kuhusu story za Sumerian text ambayo ni among the earliest civilizationwewe si ndo Babu zako wale kima wa Mr. Darwin?
Sasa unataka proof gani tena?
Ama mimi Ushahidi wangu ni kuwa Babu zangu wote nawajua kuwa walitokana na Ismail.
Ismail Alitokana na Ibrahim
Ibrahim Alitokana na Noa
Noa Alitokana Na Adam.
Adam Alifinyangwa na Mungu mwenyewe kwa Mkono wake.
Na Adam alipuliziwa roho baada ya Mwili wake kukamilika kufinyangwa kwa Udongo mchanganyiko Mweusi.
Chini ya hapo kulikuwa na Hao kima na wanyama wengine maporini pamoja na Majini.
Kima Ambao labd ni babu za baadhi ya watu wasemao Adam si mtu wa kwanza .
ukitumia neno universal maana yake hakuna mungu bali nature
Yoda Hilo swali ni gumu kwakuwa tayari upo self defence hata ukipewa jibu huwezi kuelewa kwakuwa umeshalishwa uchawi wa Quran na bibleUlimwengu ulitokeaje?
Hizo habari za mtu wa kwanza ni Adam umezipata wapi embu tueleze ?Mimi nakubali kuwa mtu wa kwanza alikuwa Adam,na hata kisayansi inakuwa proved hivyo,
isipokuwa wale wanaoleta theory ya kuw Kima alikuwako mwanzo kabla ya binadamu huyu wa leo pia ni sahihi,lakini stori ya kuwa binadamu katokana na nyani hiyo ni ya kubuni eti binadamu katokana na nyani?, Evolution theory ya Darwin' haina ukweli wowote, hata sayansi haikubalianina hilo.
Kama ingelikuwa kweli,tungeliona manyani zama zetu hizi wakibadilika kuwa binadamu,mbona hakuna hilo?
Hivyo ni Uongo.
Ukweli ni kwamba Mungu aliumba wanyama wote kabla ya Binadamu,ambaye aliumbwa mwisho kabisa.
Wewe unajuwa kuwa mimi nitatumia Qur-an au some times Bible.Hizo habari za mtu wa kwanza ni Adam umezipata wapi embu tueleze ?
Unahabari imani hazitaki logics?
Ukiuliza maswali yenye complication utajibiwa hilo ni fumbo la imani!!
Biblia imeonyesha vitu kadhaa mwanzo lkn haijulikani viliumbwa au lah! Mfano maji na giza! Maana picha linaanza roho ya Mungu ati ilikuwa juu ya vilindi vya maji! So yalitokeaje? Giza liliumbwa vipi.
Vitabu vya dini viliandikwa kwa upeo wa mwanadamu na si kama tunavyoaminishwa.. Mungu huenda yupo lkn si vile azaniwavyo! It can be a kind of power na Kuna sheria za ulimwengu ambazo bado hatujazijua.
Samahani kwa kutoka nje ya mada.
Kwa mujibu wa maelezo yako kuwa mtu wa kwanza Adam umezipata katika Quran au bibleWewe unajuwa kuwa mimi nitatumia Qur-an au some times Bible.
Lakini nataka kujuwa wewe je unatumia reference gani kututhibitishia kuwa kulikiwa na Binadamu wenginekabla ya Adam babu yangu mimi?
Ili huye awe ndo babu yako wewe?
pasi na Huyu Adam tuliyemtambua kwa chronology za koo zetu
View attachment 1445891
Yoda Hilo swali ni gumu kwakuwa tayari upo self defence hata ukipewa jibu huwezi kuelewa kwakuwa umeshalishwa uchawi wa Quran na bible
Ili kuweza kuelewa Anza kuondoa chembe chembe zilizofunga akili yako anza kujua ukweli kuhusu Quran na bible je ni kweli mungu aliandika hivyo vitabu
Ukishapata ukweli kuhusu Hilo ndio akili yako itakuwa ipo huru kuelewa mengine lakini kwa sasa hivi nikikuambia lolote utapinga tu kwakuwa ushazibwa husikii wala huoni
Labda utusaidie kwa kweli hizi habari za mtu wa kwanza ni Adam nyie mnatumia ushahidi upi kujuaWe shusha mzigo waswasi wako nn
Basi angetumba mzezeta Basi,Maamuzi ya mungu hayahitaji kuhojiwa na sisi, na hata ukihoji kazi bure maana yeye hakuna wa kumzuia kutenda atakalo
Mm najua mtu was Kwanza sio adamLabda utusaidie kwa kweli hizi habari za mtu wa kwanza ni Adam nyie mnatumia ushahidi upi kujua
Yaan nataka kujua mnatumia formula gani kujua mtu wa kwanza ni huyu
Kama roho hatuna mbona bado tunaishi
Sasa si ukaulize darasani wakati unasoma?Basi angetumba mzezeta Basi,
Yeye anasema tuishike elimu, hiyo elimu utaishikaje bila kuliza maswali ili ujifunze??
Sent using Jamii Forums mobile app
Proof ni uwepo wako wewe,si babu zako unawajuwa,Hiyo proof iko wapi mkuu
Hicho Kiswahili je kwa kingereza tunaitwaje, na je kwa ki Yoruba tunaitwaje? So point yako haiwezi kuwa proofProof ni uwepo wako wewe,si babu zako unawajuwa,
Tuna itwa Bin adamu - kwaiarabu, kwa kiswahili ni watoto wa Adamu.
Sasa nioneshe watoto wa mwengine asiyekuwa Adamu?