Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

Wajenzi wa babel walitaka wasisambae duniani. Hilo ndo lilikuwa kosa si kujenga babel. Hata wangeachwa wajenge wasingefika mbinguni. Kosa lilikuwa kutokutaka kusambaa na kuijaza dunia, mpango wa MUNGU si watu wakae sehemu moja.
Kwanini aumbe watu ambao hawatafuata matakwa yake?
Na kipindi cha huo uumbaji hakujua kwamba hawa watu wataenda tofauti nayeye?

Mpaka aamue kuja kufanya marekebisho ina maana huyu mungu ana madhaifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakubali kuwa mtu wa kwanza alikuwa Adam,na hata kisayansi inakuwa proved hivyo,
isipokuwa wale wanaoleta theory ya kuw Kima alikuwako mwanzo kabla ya binadamu huyu wa leo pia ni sahihi,lakini stori ya kuwa binadamu katokana na nyani hiyo ni ya kubuni eti binadamu katokana na nyani?, Evolution theory ya Darwin' haina ukweli wowote, hata sayansi haikubalianina hilo.
Kama ingelikuwa kweli,tungeliona manyani zama zetu hizi wakibadilika kuwa binadamu,mbona hakuna hilo?
Hivyo ni Uongo.
Ukweli ni kwamba Mungu aliumba wanyama wote kabla ya Binadamu,ambaye aliumbwa mwisho kabisa.
Hiyo proof iko wapi mkuu
 
Hiyo proof iko wapi mkuu
wewe si ndo Babu zako wale kima wa Mr. Darwin?
Sasa unataka proof gani tena?
Ama mimi Ushahidi wangu ni kuwa Babu zangu wote nawajua kuwa walitokana na Ismail.
Ismail Alitokana na Ibrahim
Ibrahim Alitokana na Noa
Noa Alitokana Na Adam.
Adam Alifinyangwa na Mungu mwenyewe kwa Mkono wake.
Na Adam alipuliziwa roho baada ya Mwili wake kukamilika kufinyangwa kwa Udongo mchanganyiko Mweusi.

Chini ya hapo kulikuwa na Hao kima na wanyama wengine maporini pamoja na Majini.

Kima Ambao labd ni babu za baadhi ya watu wasemao Adam si mtu wa kwanza .
 
wewe si ndo Babu zako wale kima wa Mr. Darwin?
Sasa unataka proof gani tena?
Ama mimi Ushahidi wangu ni kuwa Babu zangu wote nawajua kuwa walitokana na Ismail.
Ismail Alitokana na Ibrahim
Ibrahim Alitokana na Noa
Noa Alitokana Na Adam.
Adam Alifinyangwa na Mungu mwenyewe kwa Mkono wake.
Na Adam alipuliziwa roho baada ya Mwili wake kukamilika kufinyangwa kwa Udongo mchanganyiko Mweusi.

Chini ya hapo kulikuwa na Hao kima na wanyama wengine maporini pamoja na Majini.

Kima Ambao labd ni babu za baadhi ya watu wasemao Adam si mtu wa kwanza .
Kuna sehemu nimekwambia nakubariana na Darwin au wanilisha maneno? Ulishawahi kusoma ugunduzi wa Machu Picchu? Ushawahi kusoma kuhusu baadhi ya vichwa vya mumies wa egypt, ushawahi kusoma kuhusu story za Sumerian text ambayo ni among the earliest civilization
 
ukitumia neno universal maana yake hakuna mungu bali nature
Ulimwengu ulitokeaje?
Yoda Hilo swali ni gumu kwakuwa tayari upo self defence hata ukipewa jibu huwezi kuelewa kwakuwa umeshalishwa uchawi wa Quran na bible

Ili kuweza kuelewa Anza kuondoa chembe chembe zilizofunga akili yako anza kujua ukweli kuhusu Quran na bible je ni kweli mungu aliandika hivyo vitabu

Ukishapata ukweli kuhusu Hilo ndio akili yako itakuwa ipo huru kuelewa mengine lakini kwa sasa hivi nikikuambia lolote utapinga tu kwakuwa ushazibwa husikii wala huoni
 
Mimi nakubali kuwa mtu wa kwanza alikuwa Adam,na hata kisayansi inakuwa proved hivyo,
isipokuwa wale wanaoleta theory ya kuw Kima alikuwako mwanzo kabla ya binadamu huyu wa leo pia ni sahihi,lakini stori ya kuwa binadamu katokana na nyani hiyo ni ya kubuni eti binadamu katokana na nyani?, Evolution theory ya Darwin' haina ukweli wowote, hata sayansi haikubalianina hilo.
Kama ingelikuwa kweli,tungeliona manyani zama zetu hizi wakibadilika kuwa binadamu,mbona hakuna hilo?
Hivyo ni Uongo.
Ukweli ni kwamba Mungu aliumba wanyama wote kabla ya Binadamu,ambaye aliumbwa mwisho kabisa.
Hizo habari za mtu wa kwanza ni Adam umezipata wapi embu tueleze ?
 
Hizo habari za mtu wa kwanza ni Adam umezipata wapi embu tueleze ?
Wewe unajuwa kuwa mimi nitatumia Qur-an au some times Bible.
Lakini nataka kujuwa wewe je unatumia reference gani kututhibitishia kuwa kulikiwa na Binadamu wenginekabla ya Adam babu yangu mimi?
Ili huye awe ndo babu yako wewe?
pasi na Huyu Adam tuliyemtambua kwa chronology za koo zetu

1589116961327.png
 
Homo sapiens
1589117188093.png

ndio unao wataka wewe sio

Sasa tuthibitishie kuwa huyu alikuwepo wapi na imeishia wapi race yake
Maana Qur-an inatuufunza kuwa Allah alimuumba binadamu katika umbile zuri
nhuyo anafananje na Sokwe mtu.
Ila kuna watu waliigeuzagwa Manyani kipindi fulani hapo mitaa ya kati kati kwa sababu ya uasi wao,
isije kuwa wewe ndio hao unaozungumzia?
 
Maji na Giza vilikuwepo katika uumbaji mwingime, kabla ya huu uumbaji tulioandikiwa kwenye biblia, viumbe Vingi vilikuwepo kabla ya huu uumbaji.

Mfano Malaika wote tayari walikuwepo, nk. Wote waliumbwa na Mungu ikiwemo Dunia na maji na Giza vyote viliumbwa katika uumbaji mwingine ambao haujazungumzwa

Hata shetani alikuwa ameshaumbwa, enzi hizo akiitwa Malaika Mkuu
Unahabari imani hazitaki logics?
Ukiuliza maswali yenye complication utajibiwa hilo ni fumbo la imani!!

Biblia imeonyesha vitu kadhaa mwanzo lkn haijulikani viliumbwa au lah! Mfano maji na giza! Maana picha linaanza roho ya Mungu ati ilikuwa juu ya vilindi vya maji! So yalitokeaje? Giza liliumbwa vipi.

Vitabu vya dini viliandikwa kwa upeo wa mwanadamu na si kama tunavyoaminishwa.. Mungu huenda yupo lkn si vile azaniwavyo! It can be a kind of power na Kuna sheria za ulimwengu ambazo bado hatujazijua.

Samahani kwa kutoka nje ya mada.

Section 20
 
Wewe unajuwa kuwa mimi nitatumia Qur-an au some times Bible.
Lakini nataka kujuwa wewe je unatumia reference gani kututhibitishia kuwa kulikiwa na Binadamu wenginekabla ya Adam babu yangu mimi?
Ili huye awe ndo babu yako wewe?
pasi na Huyu Adam tuliyemtambua kwa chronology za koo zetu

View attachment 1445891
Kwa mujibu wa maelezo yako kuwa mtu wa kwanza Adam umezipata katika Quran au bible
 
We shusha mzigo waswasi wako nn
Yoda Hilo swali ni gumu kwakuwa tayari upo self defence hata ukipewa jibu huwezi kuelewa kwakuwa umeshalishwa uchawi wa Quran na bible

Ili kuweza kuelewa Anza kuondoa chembe chembe zilizofunga akili yako anza kujua ukweli kuhusu Quran na bible je ni kweli mungu aliandika hivyo vitabu

Ukishapata ukweli kuhusu Hilo ndio akili yako itakuwa ipo huru kuelewa mengine lakini kwa sasa hivi nikikuambia lolote utapinga tu kwakuwa ushazibwa husikii wala huoni
 
Basi angetumba mzezeta Basi,

Yeye anasema tuishike elimu, hiyo elimu utaishikaje bila kuliza maswali ili ujifunze??

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si ukaulize darasani wakati unasoma?
kama kuna kitu kinakukwaza ,wakati uko na mwalimu muulize.Na kama mwalimu kakufungia mlango ruka dirishani katafute mwalimu mwingine.
Kama Ukiristo unakuzuia kuuliza maswalai ,jaribu kwenye Uislamu, sisi huku huwaga hatuachagi kutowa majibu hata yaweje na utata kiasi gani.
kuran inasema
''Waulize wenye kujua ikiwa kuna kitu hukijuwi''
lizaga tuu
 
Hiyo proof iko wapi mkuu
Proof ni uwepo wako wewe,si babu zako unawajuwa,

Tuna itwa Bin adamu - kwaiarabu, kwa kiswahili ni watoto wa Adamu.

Sasa nioneshe watoto wa mwengine asiyekuwa Adamu?
 
Proof ni uwepo wako wewe,si babu zako unawajuwa,

Tuna itwa Bin adamu - kwaiarabu, kwa kiswahili ni watoto wa Adamu.

Sasa nioneshe watoto wa mwengine asiyekuwa Adamu?
Hicho Kiswahili je kwa kingereza tunaitwaje, na je kwa ki Yoruba tunaitwaje? So point yako haiwezi kuwa proof
 
Back
Top Bottom