Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Sio Kila imani ziko sawa,Kuna imani nyingine ni potofu.
Imani ya kweli Ina hoja yenye nguvu na ya wazi iliyojengeka kielimu.
Hao mababu zako walishindwa hoja za kutetea imani zao potofu wakaona wafuate imani ya kweli yenye hoja thabiti.

Wenye imani kama yako ya kutoamini uwepo wa mungu ni wengi na walikuwepo tokea kitambo Ila hoja zao ni dhaifu na ndio maana watu hawafuati.

Hicho kitabu chako utakisoma na wachawi wenzako (washirikina).
Usikute mtu anajifanya haamini uchawi kumbe yeye ndo mchawi mkuu. Anataka awalaze watu kwenye ujinga Ili afanye mashambulizi yake.
 
Uchawi aupo na watu wanaroga na kutumia majini Live bila chenga.
Hadi wanajitangaza Youtube.
 
Sio Kila imani ziko sawa,Kuna imani nyingine ni potofu.
Imani ya kweli Ina hoja yenye nguvu na ya wazi iliyojengeka kielimu.
Hao mababu zako walishindwa hoja za kutetea imani zao potofu wakaona wafuate imani ya kweli yenye hoja thabiti.

Wenye imani kama yako ya kutoamini uwepo wa mungu ni wengi na walikuwepo tokea kitambo Ila hoja zao ni dhaifu na ndio maana watu hawafuati.

Hicho kitabu chako utakisoma na wachawi wenzako (washirikina).
Usikute mtu anajifanya haamini uchawi kumbe yeye ndo mchawi mkuu. Anataka awalaze watu kwenye ujinga Ili afanye mashambulizi yake.
Kabisa
 
Sio Kila imani ziko sawa,Kuna imani nyingine ni potofu.
Imani ya kweli Ina hoja yenye nguvu na ya wazi iliyojengeka kielimu.
Hao mababu zako walishindwa hoja za kutetea imani zao potofu wakaona wafuate imani ya kweli yenye hoja thabiti.

Wenye imani kama yako ya kutoamini uwepo wa mungu ni wengi na walikuwepo tokea kitambo Ila hoja zao ni dhaifu na ndio maana watu hawafuati.

Hicho kitabu chako utakisoma na wachawi wenzako (washirikina).
Usikute mtu anajifanya haamini uchawi kumbe yeye ndo mchawi mkuu. Anataka awalaze watu kwenye ujinga Ili afanye mashambulizi yake.
Yawezekana imani hizo za mababu zetu na imani zetu za sasa ni kitu kimoja ila matoleo tofauti.


kama mababu zetu waliambiwa na wale waliotumwa enzi hizo kuwa hao ndiyo walikuwa miungu wao na wakawategemea kwa kila kitu, je una uhakika gani kama chanzo kilicholeta imani za kisasa ni tofauti? "vicious circle"


tunahitaji kutumia maarifa yaliko dunia kwa sasa kubaini ukweli wa imani hizi na siyo kunukuu tu na ushahidi wetu ni nukuu basi.

lakini nakushauri usikose kusoma kitabu maana kama una uhakika na kile unachokiamini usikimbie hoja ya kuku chalenji, sikiliza na utapata majibu. Ukikosa majibu au kukimbia basi jua unachokiamini huna uhakika nacho
 
Yawezekana imani hizo za mababu zetu na imani zetu za sasa ni kitu kimoja ila matoleo tofauti.


kama mababu zetu waliambiwa na wale waliotumwa enzi hizo kuwa hao ndiyo walikuwa miungu wao na wakawategemea kwa kila kitu, je una uhakika gani kama chanzo kilicholeta imani za kisasa ni tofauti? "vicious circle"


tunahitaji kutumia maarifa yaliko dunia kwa sasa kubaini ukweli wa imani hizi na siyo kunukuu tu na ushahidi wetu ni nukuu basi.

lakini nakushauri usikose kusoma kitabu maana kama una uhakika na kile unachokiamini usikimbie hoja ya kuku chalenji, sikiliza na utapata majibu. Ukikosa majibu au kukimbia basi jua unachokiamini huna uhakika nacho
Sitafuti uthibitisho wa jambo langu Kwa waliokosa mashiko nimetosheka na hoja zilizopo ndani ya dini yangu ninayoifuata juu ya uwepo wa mola wangu mlezi.
Watafute wenzako wenye mashaka Kama wewe.
 
Sitafuti uthibitisho wa jambo langu Kwa waliokosa mashiko nimetosheka na hoja zilizopo ndani ya dini yangu ninayoifuata juu ya uwepo wa mola wangu mlezi.
Watafute wenzako wenye mashaka Kama wewe.
Huwezi kumlazimisha ngombe kunywa maji, ngombe anayeonyeshwa bwawa la maji na bado akawa hataki kunywa maji basi huyo ni kumtakia kila la kheri.

Hivyo hivyo kila binadamu anao uhuru wa kuchagua
 
Ajabu kewli !
unatka kutunga kitabu cha kusema
Eti Mama yako mzazi na Mwanamme aliyefanya naye ngoo hawakuwepo, wewe umezuka tuu?
Nakingoja kwa hamu sana.
Maana Mungu alipoamua kukupa mikono miwili na si mmoja wala mitatau ,bado hujajua uwepo wake.
Andika ili tuone Kama Idadi ya vichaa imeongezeka kiasi gani hapa ulimwenguni.
Kwa vile siku hizi makopo yapo mengi sana kuliko zamani,utatusaidia kukusanya Chupa za maji na Chupa za Pombe.
Nasubiri kwa hamu hicho KITABU
 
Ajabu kewli !
unatka kutunga kitabu cha kusema
Eti Mama yako mzazi na Mwanamme aliyefanya naye ngoo hawakuwepo, wewe umezuka tuu?
Nakingoja kwa hamu sana.
Maana Mungu alipoamua kukupa mikono miwili na si mmoja wala mitatau ,bado hujajua uwepo wake.
Andika ili tuone Kama Idadi ya vichaa imeongezeka kiasi gani hapa ulimwenguni.
Kwa vile siku hizi makopo yapo mengi sana kuliko zamani,utatusaidia kukusanya Chupa za maji na Chupa za Pombe.
Nasubiri kwa hamu hicho KITABU
Ni vigumu sana kwa mtu ambaye alianza kufundishwa imani tangu mdogo sana hata hajajua kusoma na kuandika, kwamba ulichoelezwa tangu ukiwa mdogo sicho.

Lakini usikimbilie kutoa matamshi makali maana unaweza kukuta imani ni fumbo usilolijua na ukilijua unaweza kuta unayedhani ni kichaa siyo kichaa na usiyemdhani ndiye.

Tunza maneno ili upate kujua kuna nini kwanza
 
Wrong Market...

Kama unataka kuuza wape kile kitu watu wanapenda..., Sio bahati Mbaya Biashara kubwa sasa hivi ni Imani na mambo kama hayo...

Kama ni biashara wewe wauzie watu HOPE na sio kuwanyanganya kitu walichozoea...
 
Wrong Market...

Kama unataka kuuza wape kile kitu watu wanapenda..., Sio bahati Mbaya Biashara kubwa sasa hivi ni Imani na mambo kama hayo...

Kama ni biashara wewe wauzie watu HOPE na sio kuwanyanganya kitu walichozoea...
Hizo unazosema ni hulka za biashara.

nimekwambia hiki ni kitabu cha ugunduzi kinacholenga kuleta ukweli juu ya imani.

siyo swala la kuwadanganya watu ili uuze, ukijiona unajua kila kitu katika imani "well and good" lakini ukihisi kuna kitu ungependa kukijua zaidi kitafute ukijue.
 
Uchawi aupo na watu wanaroga na kutumia majini Live bila chenga.
Hadi wanajitangaza Youtube.
Ndugu yangu hapa hakuna ushahidi wa uchawi wowote isipokuwa kusikiliza hayo anayoyaongea huyo na kuamini kweli yanatendeka kichawi.

Nimekwambia kuna siri ambayo ukiijua hutadanganywa tena.

Sijasema uchawi ni uongo bali ukitaka kujua kwa nini nimesema hutadanganywa tena tafuta kitabu ukisome kikitoka
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Hakunabuchawi eh?subiri nitakachokufanya nakubadilishia milango ya haja !mdogo utajisaidia nyuma na kubwa utajisaidia mbele
 
Uchawi aupo na watu wanaroga na kutumia majini Live bila chenga.
Hadi wanajitangaza Youtube.
Hizo ni tricks wanafanya kina dynamo, shim lin na sio uchawi

Hayo mambo yanafundishwa na kuna hadi vifaa vya kiusaidizi vinauzwa kwa ajili ya kufanikisha hilo zoezi
 
Hizo ni tricks wanafanya kina dynamo, shim lin na sio uchawi

Hayo mambo yanafundishwa na kuna hadi vifaa vya kiusaidizi vinauzwa kwa ajili ya kufanikisha hilo zoezi
huo sio uchawi ila uchawi upo au haupo?
 
Ndugu yangu hapa hakuna ushahidi wa uchawi wowote isipokuwa kusikiliza hayo anayoyaongea huyo na kuamini kweli yanatendeka kichawi.

Nimekwambia kuna siri ambayo ukiijua hutadanganywa tena.

Sijasema uchawi ni uongo bali ukitaka kujua kwa nini nimesema hutadanganywa tena tafuta kitabu ukisome kikitoka
sina muda mchafu wa kusoma mawazo ya mwanadamu, aliyekula ugali akashiba kupitiliza na kujisemea Moyoni hakuna Mungu, mwanadamu aliyejawa na kiburi na kusema sita ondoshwa na huku haijui kesho yake.
 
Back
Top Bottom