Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Huwezi kumlazimisha ngombe kunywa maji, ngombe anayeonyeshwa bwawa la maji na bado akawa hataki kunywa maji basi huyo ni kumtakia kila la kheri.

Hivyo hivyo kila binadamu anao uhuru wa kuchagua
Mgonjwa wa ukimwi hawezi kudai eti anatibu ukimwi wakati yeye mwenyewe halitete. Endelea kunywa maji machafu mimi ng'ombe ninayejitambua nimeliona bwawa lenye maji safi vipi unilazimishe ninywe maji taka?
 
Mgonjwa wa ukimwi hawezi kudai eti anatibu ukimwi wakati yeye mwenyewe halitete. Endelea kunywa maji machafu mimi ng'ombe ninayejitambua nimeliona bwawa lenye maji safi vipi unilazimishe ninywe maji taka?
endelea kujitambua
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Unabishana na umma
 
Unabishana na umma
Uma unachokiamini kimetoka wapi? Ni mambo yaliyotoka kale na jamii zimekuja zikirithishana na ni kawaida katika jamii yoyote kwa jamii kuwa na mapokeo ambayo siku moja anaibuka mtu na kusema jamani hiki tulichokifuata siku zote hakiko hivyo kiko hivi.

Jamii za watu wenye elimu bora, mijadala kama hii ni jambo la kawaida kabisa na kila anayekuja na hoja mpya wanamsikiliza.

Hoja wakiisikiliza wanaipima na wakiona yanayozungumzwa yana tija wanafuata, wakiona hayana tija wanaachana nayo.

Lakini katika nchi zenye elimu mbovu, watu wanakalili tu na kile alichokikalili atakibishia mpaka basi na hili ndilo tatizo letu.

Hoja kama hizi ndizo zitatupa heshima mbele ya jamii kwa kuonekana mtu mweusi na mweupe ni sawa. Si kukaa kukalili tu wanayoyaleta na hamtaki kusikia lolote kutoka kwa ndugu zenu ila wakaileta wao mnasikiliza na kufuata.

Huo ni utumwa wa ki fikra
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Napita mimi.
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Hebu rudia
Sijakuelewa
 
Ni vigumu sana kwa mtu ambaye alianza kufundishwa imani tangu mdogo sana hata hajajua kusoma na kuandika, kwamba ulichoelezwa tangu ukiwa mdogo sicho.

Lakini usikimbilie kutoa matamshi makali maana unaweza kukuta imani ni fumbo usilolijua na ukilijua unaweza kuta unayedhani ni kichaa siyo kichaa na usiyemdhani ndiye.

Tunza maneno ili upate kujua kuna nini kwanza
Mimi naaminikitu ninachokijua na wala sobahatishi,SisiWaislamu marammnyingi huwa tunasoma kwa kufahamu si kukariri tuu.Tunaposema kuna MUngu tuna maana Mwenye kumiliki Dunia nia Vilivyomo ndani yake ,Anga na Mbingu na Sayari na vile tusivyowez kuvidiriki.
Hakuna yeyote aliyedai kumiliki vitu hivyoisipokuwa Yeye Mmoja tuu Mungu
 
Mimi naaminikitu ninachokijua na wala sobahatishi,SisiWaislamu marammnyingi huwa tunasoma kwa kufahamu si kukariri tuu.Tunaposema kuna MUngu tuna maana Mwenye kumiliki Dunia nia Vilivyomo ndani yake ,Anga na Mbingu na Sayari na vile tusivyowez kuvidiriki.
Hakuna yeyote aliyedai kumiliki vitu hivyoisipokuwa Yeye Mmoja tuu Mungu
Kuamini ni kuchagua lakini ukitaka kuwa na uhakika na kile unachokiamini msikilize anayejaribu kukuchalenji na upime anatoa sababu zipi.

akikueleza ya kipuuzi mpuuze lakini akikwambia yenye mantiki msikilize
 
We kitoe tu hicho kitabu mbona ni cha kawaida tu na kidogo tu kulingana na vitabu vingine, vilivyobeba mazito.
 
Kwa mujibu wa Biblia QURAN na elimu za uchawi majibu kuhusu hizo sauti za mababu ni michezo ya shetani kuwahadaa watu.
Mtu akishakufa hana tena connection na walio hai. Japo wapo wanaokufa na wanarejea tena duniani lakini sio kwa kifo cha Mungu. Maana zipo aina mbili za vifo.
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.


Mimi nadhani hujatumia akili yako vyema kutafuta je Mungu yupo au hayupo??!!.

Matokeo ya mambo au vitu kuwepo kwavyo na kutenda nidhamu ni ishara ya kuwepo kwa A Supreme conscious being, hii ni upembuzi wa akili ya kawaida tu bila kutumia vitabu au imani za kidini.

Hebu leo chunguza Kompyuta au programmed Robot, Vifaa hivyo vinafanya kazi kwa nidhamu iliyokusudiwa, nidhamu hiyo kaitengeneza mtu/Engineer aliyesanifu vyombo hivyo, katika utendaji kazi wa vifaa hivyo haiwezekani leo mtu azuke tu na adai kwamba kompyuta au Robot kwa utendaji kazi wake zimezuka zenyewe au zimejiunda zenyewe!!!.

Chukua mfano huo huo wa utendaji kazi wa Kompyuta na Robot na geuza huo mfano kwa ajili yako wewe mwenyewe na Mwili wako, Katika mwili wako kuna jinsia, je hiyo jinsia uliiomba wewe, yaani uliomba uzaliwe na jinsia hiyo??, au wazazi wako walitaka wewe uwe na jinsia hiyo??-- je ni nani alipanga uwe na jinsia hiyo??!!, Je, ni nani alipanga wazazi wako wawe ni hao ulionao??!!, kabila lako, race yako nk, ni nani alipanga??!!, katika mwili wako kuna mifumo ifuatayo 1-- mfumo wa upumuaji, 2-- mfumo wa umeng'enyaji, 3-- mfumo wa damu, 4--- mfumo wa fahamu, 5--mfumo kusikia, 6--- mfumo wa uzazi nk, mifumo yote hii inafanya kazi katika nidhamu kusudiwa, je ni nani aliyeweka hii nidhamu kusudiwa katika huo mwili wako na ili iweje??!! au hiyo mifumo ulijiwekea wewe mwenyewe na ukaipatia hizo nidhamu za utendaji kazi??!!--- kama Kompyuta, Robot na Magari na mitambo mbalimbali zimeundwa na Wataalamu na zina mifumo inayofanya kazi katika nidhamu kusudiwa sasa iweje upinge kwamba wewe hujaundwa na ndio maana mwilini mwako kuna mifumo inayofanya kazi kwa nidhamu tena nidhamu kusudiwa na huyo aliyekuunda??!!--- sio katika mwili wako tu bali hata katika viumbe hai wengine unaweza kujifunza kwani na wao wanavyo vitu ambavyokwavyo mtu anaweza kujifunza kwamba na wao wametengenezwa katika nidhamu ili kukidhi haja kusudiwa, haja iliyowekwa na mtengenezaji wao kwani hakuna kiumbe kilichojitengeneza chenyewe.

Kuzaliwa na kuzaana kwa viumbe hai nayo ni nidhamu iliyowekwa na huyo aliyekusudia nidhamu hiyo itende kazi kwa jinsi hiyo.

Pi Kuna mifano mingi hai kutoka katika vitu visivyokuwa hai kuhusu nidhamu ya utendaji kazi wao kiasi kwamba kwa akili ya kawaida tu mtu unajua kwamba vitu hivyo lazima vitakuwa vimetengenezwa na A supreme conscious being kwani haiingii akilini kudhani kwamba kuna kitu kinaweza kuibuka chenyewe na kutenda nidhamu fulani bila ya kuwepo na muanzilishi wa hiyo nidhamu.

Basi huyo Muanzilishi wa hizo nidhamu katika mwili wako ndiye Mwenyezi Mungu mtukufu.
 
Mimi nadhani hujatumia akili yako vyema kutafuta je Mungu yupo au hayupo??!!.

Matokeo ya mambo au vitu kuwepo kwavyo na kutenda nidhamu ni ishara ya kuwepo kwa A Supreme conscious being, hii ni upembuzi wa akili ya kawaida tu bila kutumia vitabu au imani za kidini.

Hebu leo chunguza Kompyuta au programmed Robot, Vifaa hivyo vinafanya kazi kwa nidhamu iliyokusudiwa, nidhamu hiyo kaitengeneza mtu/Engineer aliyesanifu vyombo hivyo, katika utendaji kazi wa vifaa hivyo haiwezekani leo mtu azuke tu na adai kwamba kompyuta au Robot kwa utendaji kazi wake zimezuka zenyewe au zimejiunda zenyewe!!!.

Chukua mfano huo huo wa utendaji kazi wa Kompyuta na Robot na geuza huo mfano kwa ajili yako wewe mwenyewe na Mwili wako, Katika mwili wako kuna jinsia, je hiyo jinsia uliiomba wewe, yaani uliomba uzaliwe na jinsia hiyo??, au wazazi wako walitaka wewe uwe na jinsia hiyo??-- je ni nani alipanga uwe na jinsia hiyo??!!, Je, ni nani alipanga wazazi wako wawe ni hao ulionao??!!, kabila lako, race yako nk, ni nani alipanga??!!, katika mwili wako kuna mifumo ifuatayo 1-- mfumo wa upumuaji, 2-- mfumo wa umeng'enyaji, 3-- mfumo wa damu, 4--- mfumo wa fahamu, 5--mfumo kusikia, 6--- mfumo wa uzazi nk, mifumo yote hii inafanya kazi katika nidhamu kusudiwa, je ni nani aliyeweka hii nidhamu kusudiwa katika huo mwili wako na ili iweje??!! au hiyo mifumo ulijiwekea wewe mwenyewe na ukaipatia hizo nidhamu za utendaji kazi??!!--- kama Kompyuta, Robot na Magari na mitambo mbalimbali zimeundwa na Wataalamu na zina mifumo inayofanya kazi katika nidhamu kusudiwa sasa iweje upinge kwamba wewe hujaundwa na ndio maana mwilini mwako kuna mifumo inayofanya kazi kwa nidhamu tena nidhamu kusudiwa na huyo aliyekuunda??!!--- sio katika mwili wako tu bali hata katika viumbe hai wengine unaweza kujifunza kwani na wao wanavyo vitu ambavyokwavyo mtu anaweza kujifunza kwamba na wao wametengenezwa katika nidhamu ili kukidhi haja kusudiwa, haja iliyowekwa na mtengenezaji wao kwani hakuna kiumbe kilichojitengeneza chenyewe.

Kuzaliwa na kuzaana kwa viumbe hai nayo ni nidhamu iliyowekwa na huyo aliyekusudia nidhamu hiyo itende kazi kwa jinsi hiyo.

Pi Kuna mifano mingi hai kutoka katika vitu visivyokuwa hai kuhusu nidhamu ya utendaji kazi wao kiasi kwamba kwa akili ya kawaida tu mtu unajua kwamba vitu hivyo lazima vitakuwa vimetengenezwa na A supreme conscious being kwani haiingii akilini kudhani kwamba kuna kitu kinaweza kuibuka chenyewe na kutenda nidhamu fulani bila ya kuwepo na muanzilishi wa hiyo nidhamu.

Basi huyo Muanzilishi wa hizo nidhamu katika mwili wako ndiye Mwenyezi Mungu mtukufu.
ndugu yangu, unachojaribu kufanya ni kutumia "logic"

swala la hili linaweza kuwa tofauti na logic unazojaribu kutumia hivyo jiandae kusikiliza mawazo mapya unaweza kubadiri mtizamo
 
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtanzania na ninapenda kuwafahamisha kuwa ninaandika kitabu chenye kutoa ushahidi juu ya kutokuwepo mungu wala uchawi katika dunia hii.

Najua wengi wenu mkisia mada kama hii mnapuuza na kucheka. Yawezeka vicheko vinatokana na kuelewa sana juu ya chimbuko la dhana hii ya Mungu na uchawi au kutokuelewa kabisa.

Kuelewa chimbuko ni heri lakini kutokuelewa ina maana mimi na wewe tumekalilishwa mambo tusiyojua chimbuko lake.

kwa kifupi, hakuna binadamu anayeweza kufurahia kutokuwepo kwa Mungu lakini kujiaminisha juu ya uwepo wake kama ukweli ni hayupo basi kuamini yupo hakutusaidii na kule kusema hayupo kama yupo hakutusaidii.

Zipo faida za kujua ukweli na zipo hasara za kujua ukweli lakini daima tunaimba ukweli ndiyo utatuweka huru.

Mijadala kama hii ya Uwepo au Kutokuwepo kwa Mungu imekuwepo dunia tangu kale enzi za plato lakini kiukweli ni lazima tutambue kuwa ukweli juu ya jambo hili siyo rahisi kuupata kwa kufanya malumbano ya hoja au "debate".

Ukweli juu ya jambo umekaa katika ugunzi wa siri iliyojificha nyuma ya pazia la imani ni nini?

Kosa kubwa walilolifanya mababu zetu na wanaloendelea kulifanya mpaka leo katika mambo ya imani ni kuamini sauti wasizozitambua. Kwamba anatokea binadamu mmoja anasikia sauti ikimwambia mimi ni babu yako nenda kafanye moja mbili tatu, basi binadamu huyu kuamini kuwa kweli nilikuwa nikizungumza na babu yangu na kufuata maelekezo aliyopewa ndilo kosa la kwanza.

Je kama huyu tunayesema kusikia sauti ikisema mimi ni babu yako kapewa maelekezo akafuata ni kosa, je yule anayesikia sauti ikimwambia mimi ni mtakatifu fulani au ni jina fulani lolote kubwa la kiimani nakuwa sahihi?

hapa kuna mtego ambao ni kujua je ni kitu gani kiliwasiliana na hawa na kutambua kama kweli ni hicho hicho kilichojitangaza kuwa ndicho na hiyo ndiyo siri ya ugunduzi nyuma yaimani.

yeyote asiyejua siri hiyo atabaki kutumia mambo yaleyale aliyoelezwa mtu mwingine kutetea maagizo bila kuwa na ushahidi wa kujua ni kitu gani.

Kaa Tayari kujua nyuma ya mapazia ya imani kuna nini?

lakini shaka yangu ni juu ya mitizamo ya jamii juu ya imani kwa maana hawaruhusu mtu yeyote ku challenge imani zilizopo.

Kama Diamond alifungiwa mziki wake kwa kupokea simu kanisani basi mimi najiuliza hivi kitabu changu hiki kitaruhusiwa?

Neno moja niwakumbushe watanzania ni kuwa zamani zilikuwepo imani za jadi, mababu zetu walitetea na kuzilinda imani hizo kuliko sisi tunavyofanya leo lakini leo hii imani hizo tunaziona za kipuuzi na kuziita za kishetani. Hii inatufundisha kuwa upo uwezekano wa imani tulizo nazo leo na kuziona za maana huko mbeleni kuonekana za kipuuzi hivyo tumsimpuuze yeyote mwenye kutaka kusema jambo juu ya imani zetu.
Utakumbana na upinzani mzito lakini nimesoma bandiko lako nikaona UNA HOJA. Kitabu kikikamilika tuuzie hata softcopy tupate maarifa mapya.
 
Back
Top Bottom