MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
- Thread starter
-
- #261
Kweli ulimwengu wa sasa upo kwenye vitabu na sio muvie na miziki hilu ni jambo jema sana kwe kila mtu kusoma kitabu utashangaa unapata ubunifu wa kujuingizia kipato na kuwasiliana na watu ili upate fursa na kibali machobi pao mwenyewe nineanza kusoma
Yaani hiki Kitabu ni mwisho wa maneno. Hakuna kitabu kingine chochote duniani kilicho kikongwe ambacho kina uwezo mkubwa wa kubadilisha maisha ya watu, kiroho na kimwili kuzidi Biblia . Mimi binafsi kimebadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa kwa kupitia jina lipitalo majina yote... YESU KRISTO, mwokozi wa Ulimwengu. Kila mtu asikose kukisoma kitabu hiki kila siku.
Mkuu unaweza kunipatia vitabu vya Joel Osteen
Kweli ulimwengu wa sasa upo kwenye vitabu na sio muvie na miziki hilu ni jambo jema sana kwe kila mtu kusoma kitabu utashangaa unapata ubunifu wa kujuingizia kipato na kuwasiliana na watu ili upate fursa na kibali machobi pao mwenyewe nineanza kusoma
DANIEL 9:2 "Katika Mwaka wa kumiliki kwake, Mimi Daniel Kwa kuvisoma vitabu, nilifahamu hesabu ya miaka...... "
imekuwa ni desturi ya waandishi na manabii kusoma vitabu,
si kila kitu kiliandikwa kweye bibilia ndio maana yesu alisema kama ingekuwa hivyo basi dunia nzima ingekuwa karatasi na miti kalamu ili yote yatoshe.
tuamini bado kuna maarifa nje ya bibilia, kiuchumi, kijasilamali, kisiasa kimatibabu japokuwa havibadilishi ukweli kuwa bibilia imesheheni vitu vya pekee.
tusome vitabu
Kuna vitabu vitatu ambavyo vimeshangia kubadili maisha yangu kwa kiwango kikubwa sana. Ningependekeza kila mtanzania avisome.
1. THINK AND GROW RICH
Hiki kimenisaidia kuweza kufikia uwezo mkubwa ulio ndani yangu na kuniwezesha kuona fursa nyingi zinazonizunguka.
2. RICH DAD, POOR DAD
Hiki kimenisaidia kuhusu utofauti kati ya elimu ya darasani na elimu halisi ya mtaani. Kimenisaidia kuona mambo ambayo nilifichwa darasani na ambayo ni ya msingi sana ili kufanikiwa.
3. THE RICHEST MAN IN BABYLON
Hiki kimenisaidia kuhusiana na maswala yote yanayohusuana na fedha kuanzia kuweka akiba mpaka kuwekeza. Kimeniwezesha kuweza kujilipa mimi mwenyewe hata kwa kipato kidogo sana na kuweza kujenga akiba iliyotosha kuanzia biashara.
Hivyo ni vitabu ambavyo natamani kila mtanzania avisome. Kama huna vitabu hivi nitumie email kwenye amakirita@gmail.com na nitakutumia vyote vitatu bure kabisa.
Au unaweza kutembelea AMKA MTANZANIA na ukajifunza mengi pamoja na uchambuzi wa vitabu hivi.
Hata Ben Carson anajitahidi sana,ile Think Big na Gifted Hand inanipatia mzuka
Aisee huyu ni noma nimekisoma kurasa kama 30 tu nimekipenda
Safiiiii..wewe ni mwanazuoni nguli..shkamoo bwana
Safiiiii..wewe ni mwanazuoni nguli..shkamoo bwana
Hata Ben Carson anajitahidi sana,ile Think Big na Gifted Hand inanipatia mzuka
Aisee huyu ni noma nimekisoma kurasa kama 30 tu nimekipenda
Kwa wale walionitumia email nimewatumia hivyo vitabu. Tafadhali usitume PM au kuweka email yako kwenye hii thread sitaiona na pia itaniwia vigumu. Unaponitumia email inakuwa rahisi kureply kwa sababu vitabu tayari nimeshaviapload kwenye email yangu ni kucleack send tu. Karibuni sana mnaotaka vitabu hivi, ni bure kabisa.