Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Mkuu idea Nzuri. Mods wanatakiwa wawe waelewa wanaweza kuachana thread yako ijitegemee na kuweka links kwenye ya related threads ndani ya thread kama further JF references.
Hivi vitu useful vinatakiwa kuachwa viwe vingi mbona thread za siasa Sijui tundu lissu huwa hata kumi. Otherwise create title unique kidogo uwe kama unaadress issue mpya. Hicho kitabu nitakipitia
 
Uko Sawa kuna ceo wa private company hapa jijini wadau wangu walikuwa wanafanya kazi kwake aliwapa kila mmoja wakiwa kama young ambitious graduates folder lenye vitabu zaidi ya 200 na kuwahimiza wawe wanasoma hata muda aliwapa.

Mmiliki wa kampuni kubwa duniani ya uwekezaji Berkshire Hathaway Inc na miongoni mwa matajiri watatu wakubwa duniani Wallen buffet anauwezo wa kusoma hadi vitabu zaidi ya 100 kwa siku. Anasema I read everyday so that I may not make a silly investment decisions
 
BIBLIA ndiyo kitabu pekee kilichobadili maisha yangu ambacho natamani kila mtu akisome, kabla ya hapo nilikuwa na maisha ya mashaka mashaka sana;mfano mke wangu alikuwa kila mimba anayopata mtoto anazaliwa akiwa mfu, watu walianza kutucheka na kutusema vibaya, lakini kitabu hiki { BIBLIA } NILIPOANZA KUKISOMA kilinionyesha chanzo cha tatizo,namna ya kutatua pia ninajua upendo mkuu wa MUNGU kwangu hata akaamua kumtoa mwanae wa pekee ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele Yohana 3:16 tena YESU ANAITA ''AKISEMA NJOONI KWANGU NYINYI NYOTE MSUMBUKAO NA WENYE KULEMEWA NA MIZIGO NAMI NITAWAPUMZISHA''MATHAYO 11:28
 
Biblia takatifu ya Mungu, Ina mafungu katika nyakati zooote za maisha hasa zile za kukatisha tamaa na kuvunja moyo ambazo binadamu yoyote hazifurahii..
I read it everyday,inanipa moyo kuendelea mbele
 
Bible ndio kila kitu , ndani kuna kila hitaji la mwanadamu, science, leadership, economics, struggles, comfort, happiness, it's mystery book
 
BIBLIA
Ina kila kitu, ina elimu yote, imekamilika. maandishi na maudhui yake hayachakai vizazi na vizazi. ki ukweli menibadikisha sana.
 
QUR AN

QUR-AN ni kitabu chenye sifa ambazo vitabu vingine vyote duniani havina.
ni ktabu kidogo chenye maandishi machache na chenye maana pana kuliko kitabu chochote ulimwenguni.
yeyote atakaye jifunza QUR-AN na akaifuata ataishi vizuri hapa duniani na kesho akhera
SIFA ZA QUR-AN
1. Ni kitabu peke ambacho hakibadilishwi wala hakibadilishiki
2. Ni kitabu pekee ambacho kinasomeka kwa lugha moja tu.
3. Ni kitabu pekee ambacho kinahifadhiwa kichwani na watu.
4. Ni kitabu kepee ambacho kimefafanua kwa ufasaha maisha yaliyopita na ya sasa na yajayo.
5. Ni kitabu pekee chenye sura inayomzungumzia maisha ya mwanamke anavyotakiwa kuishi.
Yapo mengi tosheka na hayo

1. Nimejifunza kupitia QUR-AN kwamba chimbuko la Sayansi ni QUR-AN.
QUR-AN imezungumzia uumbwaji wa dunia karne ya saba, katafute kwenye vitabu vyako vyote ma prophesa waligundua sayansi mwaka gani? utapata jibu.
2. Nime jifunza kupitia QUR-AN kwamba sisi wanaadamu ndio viongozi wa hii dunia, uwezo tuliokuanao wanaadabu majinni hawaufikii hata robo.
Tosheka na hayo ukitaka kujua zaidi kuhusu QUR-AN tafuta waalimu wakufundishe.
 
Why Men Don't Listen and Women Can't Read Maps - Allan & Barbara Pease.
 
god bless you kujisomea vitabu ndo njia pekee ya kubadili maisha yako na kuhisi bado una nafasi katika hii dunia thanks......
 

UNAWEZA PIA SOMA "Purpose driven life" UNAWEZA DOWNLOAD KWENYE SEARCH ENGINE YOYOTE ILE, KITABU HIKI KIMEBADILISHA MTAZAMO NA MFUMO WA MAISHA YANGU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…