Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Seeds of conflicts
Deep thinking
For man of understanding
Qabasat
Changing is you(me)
Lengo la kuumbwa mwanadamu
 
Tafuteni hicho..kipo kwenye net...
Nimekisoma
Ni kizuri, kulingana na maisha tuliyo nayo kwa sasa...kwa wale wadadisi maisha yao yatabadilika..mkishindwa ku download mnieleke namna ya ku attach i book kwenye hii forum.

bd2bc543e7c6073be01dd33996a582ea.jpg


a1e303c01186352e94670fd3e894bfd1.jpg
 
13 business ideas generating machines, Rich dad poor dad, The 4-Hour Workweek, millionaires fastlane,

Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Rich dad poor dad
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
 
Pinnochio [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
il kuna watu wanaakili ndogo sana ..!!mimi naimani mto mada alimaanisja nje ya vitabu vya dini..!! kwa maana ya kwamba kila mtu anaimani yake lakini ..!!tafsiri ilikuwa kwa vitabu tuvyo weza kuingiliana bila itikadi..!!
 
The psychology of intelligence analysis, by Richard Heure.
 
asante sana kwa alieanzisha hii thread, imenisaidia, nimpepata kitabu kimoja cha the rich man from babylon, kikubwa nilichosoma ni kuweza 1/10 ya mapato yote unayopata, NATAFUTA KITBU CHOCHOTE CHA STRTEGIES OF WAR, THANK U
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
BIBLIA TAKATIFU ndo kitabu pekee kilichoweza kuyabadili maisha yangu na bila Biblia cjui maisha yangu yangekuwa ya ajabu namna gani Ahsante MUNGU
 
Back
Top Bottom