Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Maneno yenye nguvu ya umeme ambacho ni Bible
 
Thank you
 
Juzuu
 
I , Unfeighned adore you Paula [emoji8] you're very smart upstairs.

Much love!
 
Habarini za Muda wana Jamvii hili. Samahani nilikuwa naulizia vitabu vya Nyerere yoyote mwenye kitabu chochote cha Raisi huyu mstaafu
 

One minute manager.

Kilinisaidia kutunza mda katika usimamizi na kujali muda kiujumla.

Inakusaidia kuweka malengo,
Kupangilia kazi,
Na kufuatilia kwa haraka na urahisi, hivyo haupotezi muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…