Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Become a better you-Joel Osteen. Kwa sasa nasoma soma Biblia, napata mafundisho mazuri.
 
Holy Bible ni namba moja.

"nikurudishie nini BWANA kwa wema wako uliotutendea?"
 
Nami hicho ktb Think Big kimenisaidia sn kubadili maisha.Nimejifunza kutokata tamaa ktk jambo unalofanya la maendeleo.Kuna stori humo jamaa aliuza mgodi wa shahabu akiwa m3 tu kutoka mkondo wa dhahabu alikata tamaa akauza..Jamaa aliyenunua akafanya survey akagundua hilo akala bingo.

mkuu hicho unachokizungumzia ww ni think and grow rich.
 
View attachment 153768
THINK BIG ni miongoni mwa vitabu vilivyowahi kunivutia. Story yake inaonyesha jinsi ambavyo Hakuna Mtu ambaye hana uwezo. Kutoka Kuwa mtu wa mwisho darasani hadi kuwa daktari bingwa duniani mwenye kuheshimiwa. Prinsciples za kawaida tu ambazo zilitumiwa na mama asiyejua elimu. akifanya kazi kama HOUSEGIRL kwenye nyumba za matajiri aliwawezesha vijana wake wawili mmoja kuwa Engineer na mwingine kuwa Daktari bingwa duniani. Aisee! Huyu BEN CARSON kwa ku-duplicate issues anajitahidi kwa kweli mpaka najuta kununua hiki kitabu cha THINK BIG Kwa sababu alichokiandika kwenye kitabu chake cha GIFTED HANDS (mikono itendayo maajabu) hakina tofauti na kilichoandikwa humu kwenye think big ishu ni zilezile labda hizo copy nyingine za BIG PICTURE na TAKE THE RISK
 
BIBLE hasa na HAWA THE BUS DRIVER & MABALA THE FARMER form two hyo vilinifanya nipende kusoma.
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadhalia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu. yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma,kimitazamo, kiimani, kimwili, mausihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia. unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

Mkuu hii mada nzuri sana. Kwa bahati mbaya vitabu vya aina hii vinapatikana dar au arusha pekee. Mikoa mingine ni vigumu sana kuvipata. Mkuu unaweza kutuunganisha na wauzaji ili tuviagize watutumie huku mikoani?
 
ONE HEARTBEAT AWAY; Your journey Into Eternity..(Author Mark Cahill) This book is worth reading and a must have, it is dedicated to the truth, if you search for it, you will find it. One day i was watching basketball at the sametime i was observing the clock as it was ticking down. Five, Four, Three, Two, One, Zero-the Horn sounded and the Game was over...our lives are just like that. our clock is ticking down everyday, and oneday we will die. the clock is always ticking. The one thing we don't know is how much time is left on the clock. but we know onething for sure, the clock continues to tick, tick, tick, tick... what are you going to do with the time you have left? Oprah Winfrey said her favourate question to ask show guests is "what do you know for sure?" well, one thing we all "know for sure" is that we will die, bt the question now is, "where will we go after that? no matter what or whom you have chosen to place your faith in, heaven or hell awaits 4u-stop betting the only life you have..
 
#The Bible IsTheBest-Selling Book Of All Time- Many books have sold million mark, some have sold millions, some have even passed the ten million mark. By comparison, Bible Sales are about 150 million per year, with approximately Four Billion Bibles In Print, In Over 2,000 languages, No Other Book Even Comes Close. There is something about it that draws people all over the world to want to read it. Now The Fact That There Are Billions Of Copies Around Doesn't mean that the bible is true, but because it is the best selling book in history, shouldn't you take a look at it? You Don't Want To Be one of those people who feel free to critique or claim to "know" the bible without actuall having read it.
 
Mkuu hii mada nzuri sana. Kwa bahati mbaya vitabu vya aina hii vinapatikana dar au arusha pekee. Mikoa mingine ni vigumu sana kuvipata. Mkuu unaweza kutuunganisha na wauzaji ili tuviagize watutumie huku mikoani?

pouwa mkuu, lkn kuna link humu jamiiforum jamaa amelink softcopy za kutosha. msaada kwa mtu mwenye taarifa kumsaidia huyu mwenzetu.
 
The Secret..... ImageUploadedByJamiiForums1418521846.235044.jpgImageUploadedByJamiiForums1418521855.845700.jpgImageUploadedByJamiiForums1418521868.264198.jpg
 
Back
Top Bottom