Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna haja ya serikal kutenga bajeti kwa ajili ya kutafsiri hivi vitabu vya kiingereza just imagine kitabu km rich dad poor dad kingekuwa kimetafsiriwa kiswahili leo hii kingebadilisha maisha ya watu wangapi?
Asante mtoa Uzi
Nilopouona uzi nikachukua diary yangu na pen na kuanza kuandika vitabu ambavyo sijasoma
Nimepata vitabu 45 ambavyosijasoma
Nitadownload na vingine kuvitafuta ubungo, Mwenge na posta, Mlimani City sigusi kwakuwa huuzwa bei kali, huwa napita kuvichungulia tu.
On top of that hili wazo la club ya kusoma vitabu ni zuri nimelipenda hebu fanyia makeke tuwe wamoja tujifunze kwa pamoja
It's so wonderful
Big up for the Uzi
Kiswahili kinakusumbua mkuu,,nakushauri ukasome hiki kitabu 'Soma kwa hatua' kitakusaidia sana.. Mimi nimesema 'kalibu' kila aina ya kitabu...kamba iko wapi hapo
The Master Key Systems. Ila Wabongo hawasomi vitabu. Sijui tatizo ni kiingereza au nini?
Kuna vitabu vitatu ambavyo vimeshangia kubadili maisha yangu kwa kiwango kikubwa sana. Ningependekeza kila mtanzania avisome.
Au unaweza kutembelea AMKA MTANZANIA na ukajifunza mengi pamoja na uchambuzi wa vitabu hivi.
Kuna vitabu vitatu ambavyo vimeshangia kubadili maisha yangu kwa kiwango kikubwa sana. Ningependekeza kila mtanzania avisome.
1. THINK AND GROW RICH
Hiki kimenisaidia kuweza kufikia uwezo mkubwa ulio ndani yangu na kuniwezesha kuona fursa nyingi zinazonizunguka.
2. RICH DAD, POOR DAD
Hiki kimenisaidia kuhusu utofauti kati ya elimu ya darasani na elimu halisi ya mtaani. Kimenisaidia kuona mambo ambayo nilifichwa darasani na ambayo ni ya msingi sana ili kufanikiwa.
3. THE RICHEST MAN IN BABYLON
Hiki kimenisaidia kuhusiana na maswala yote yanayohusuana na fedha kuanzia kuweka akiba mpaka kuwekeza. Kimeniwezesha kuweza kujilipa mimi mwenyewe hata kwa kipato kidogo sana na kuweza kujenga akiba iliyotosha kuanzia biashara.
Hivyo ni vitabu ambavyo natamani kila mtanzania avisome. Kama huna vitabu hivi nitumie email kwenye amakirita@gmail.com na nitakutumia vyote vitatu bure kabisa.
Au unaweza kutembelea AMKA MTANZANIA na ukajifunza mengi pamoja na uchambuzi wa vitabu hivi.