Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Binadamu na Maendeleo, Ujamaa ni Imani; How to win Friends and Influence people, My Heart will not be banned, the lonely heart kwa Uchache.
 
Kwa vitabu vya inspiration, Robin Sharma ni mzuri sana. Tafuta Vitabu vinaitwa
  1. Family wisdom from the monk who sold his Ferrari
  2. The leader who had no title
  3. Who will cry when you die?
  4. The Secret letters from the Monk who sold his Ferrari

Vile vile kuna vitabu vya Joel Osteen ambavyo ukisoma, anakutoa toka level moja ya kufikiri na kutenda na kukupeleka a higher leve. Soma
  1. Your best life now
  2. Become a better you
  3. Everyday a Friday
  4. Break out
  5. It's your time
You will never regret knowing Joel Osteen
 
you have a point!
kivyako amenena kitu cha msingi sana, tatizo siku hizi wanaangalia kufaulu ndio msingi mkuu, I remember those days 90s nilikuwa najiuliza ina maana sie tulikuwa vilaza maana siku hizi ukikatiza kitaa unamwona dogo anakuambia ana "A" lakini ukipiga nae story kuhusu hilo somo kama imepita miezi 6 tangu amalize hana chochote anachojua, pamoja na kwamba those days kuna watu walikuwa wana marks za kawaida lakini uelewa wao wa mambo ni mkubwa aisee tofauti na sasa (nilishangaa dogo mmoja na degree yake amepewa kufundisha Civics ananiambia hawezi ila mwalimu anamng'ang'aniza na huyu alisoma HGL kabla ya kuingia chuo sasa ndio nimegundua effect za madesa ya Nyambari maana Civics bila kujali umesoma course gani ni kitu ambacho kila mtu anakijua bora hata angekuwa amesoma science maana mijitu ya science hudharau masomo ya aina ya civics tangu mwanzo)
 
Kwa vitabu vya inspiration, Robin Sharma ni mzuri sana. Tafuta Vitabu vinaitwa
  1. Family wisdom from the monk who sold his Ferrari
  2. The leader who had no title
  3. Who will cry when you die?
  4. The Secret letters from the Monk who sold his Ferrari

Vile vile kuna vitabu vya Joel Osteen ambavyo ukisoma, anakutoa toka level moja ya kufikiri na kutenda na kukupeleka a higher leve. Soma
  1. Your best life now
  2. Become a better you
  3. Everyday a Friday
  4. Break out
  5. It's your time
You will never regret knowing Joel Osteen
You will never regret knowing CLEMENCY as well
 
Last edited by a moderator:
1. Saikolojia na Utafiti-II cha Dismass Lyassa
2. The River Between
3. Hawa the Bus Driver
4. Things Falll Apart
5. Songs of Lawino
6. Poor Dad Rich Dad
7. The Richest Man in Babillon
8. 200 Secretes of Successful People
9. Increase Your Financial IQ
10. No Longer at Easy

Kati ya hivyo, vi 5 nilivipata hapa JF. Pia kuna wadau wamesema hapo juu tuanzishe uchambuzi wa vitabu hapa JF, napendekeza tuanze na Biblia ili tuondoe malumbano, neno 1 baada ya lingine!
 
"Playboy na Penthouse Magazines". Hivi kwangu ni vitabu tosha juu ya mademu na maumbile yao.
 
Kwa vitabu vya inspiration, Robin Sharma ni mzuri sana. Tafuta Vitabu vinaitwa
  1. Family wisdom from the monk who sold his Ferrari
  2. The leader who had no title
  3. Who will cry when you die?
  4. The Secret letters from the Monk who sold his Ferrari

Vile vile kuna vitabu vya Joel Osteen ambavyo ukisoma, anakutoa toka level moja ya kufikiri na kutenda na kukupeleka a higher leve. Soma
  1. Your best life now
  2. Become a better you
  3. Everyday a Friday
  4. Break out
  5. It's your time
You will never regret knowing Joel Osteen

Mkuu unaweza kunipatia vitabu vya Joel Osteen
 
was the best

IMG-20140413-WA0010.jpg
 
Power of self confidence, na vingine vingi tembelea blog ya AMKA MTANZANIA
 
Huu uzi poa sana
natamani uwe stiky sehemu niwe naupitia kila mara!
shikamoo mleta uzi

Umenena ndugu yangu ni kweli kabisa kafanya jambo la Muhimu sana. Mimi mambo ya Vitabu simo kabisa lkn kuanzia sasa nimevutiwa kuanza kuvisoma kutokana na maelezo ya watu wavielezeavyo. Nawashkuru wote mchangiao kwani mwazidi nifungua zaidi nianze na kipi. Aksanteni.
 

Yaani hiki Kitabu ni mwisho wa maneno. Hakuna kitabu kingine chochote duniani kilicho kikongwe ambacho kina uwezo mkubwa wa kubadilisha maisha ya watu, kiroho na kimwili kuzidi Biblia . Mimi binafsi kimebadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa kwa kupitia jina lipitalo majina yote... YESU KRISTO, mwokozi wa Ulimwengu. Kila mtu asikose kukisoma kitabu hiki kila siku.
 
Kweli ulimwengu wa sasa upo kwenye vitabu na sio muvie na miziki hilu ni jambo jema sana kwe kila mtu kusoma kitabu utashangaa unapata ubunifu wa kujuingizia kipato na kuwasiliana na watu ili upate fursa na kibali machobi pao mwenyewe nineanza kusoma
 
Back
Top Bottom