Kitabu gani bora cha kimataifa/kitaifa unachosoma kwa sasa au ulichowahi kusoma?

Kitabu gani bora cha kimataifa/kitaifa unachosoma kwa sasa au ulichowahi kusoma?

Halafu hio 13 hours in Benghazi nimewahi kuiona movie yake ni Kali Sana👍
Eh sasa ukisoma icho kitabu chake mkuu ndio utapata utamu zaidi na kuelewa reality na utatoka na conclusion nzuri.maana ktk.movie ile kuna vingine havikuwekwa.

Na kama uliwahi kutazama movie ya zero dark.thirty basi icho kitabu cha No easy day na chenyewe ni cinema yake
 
Vitabu ni vingi nilivyosoma, ila hivi ni bora,1. Introduction to sociology by Landis Landis, aisee hiki kitabu ukisoma kinahusu amerika miaka hiyo ya 1950, ila mazingira hayo ni mazingira yetu ya sasa Tanzania 2. Art of war tsun 3. The monk who sold ferrar hhivi Nina soft copy
 
Eh sasa ukisoma icho kitabu chake mkuu ndio utapata utamu zaidi na kuelewa reality na utatoka na conclusion nzuri.maana ktk.movie ile kuna vingine havikuwekwa.

Na kama uliwahi kutazama movie ya zero dark.thirty basi icho kitabu cha No easy day na chenyewe ni cinema yake
Anhaa poa nitavichimba hivyo vitabu nikimaliza hiki Cha saa izi nachsoma👍
 
N
Vitabu ni vingi nilivyosoma, ila hivi ni bora,1. Introduction to sociology by Landis Landis, aisee hiki kitabu ukisoma kinahusu amerika miaka hiyo ya 1950, ila mazingira hayo ni mazingira yetu ya sasa Tanzania 2. Art of war tsun 3. The monk who sold ferrar hhivi Nina soft copy
Naomba softcopy yake Kama unayo? Mkuu
 
THINGS FALL APART by CHINUA ACHEBE.

Kipengele cha NWOYE kubadili dini kutoka kuabudu mizimu na kuwa Mkristo kilikuwa bomba sana.
 
Nasoma How i found Livingstone. Kitabu bora sana. Safari ya HM Stanley kutoka Zanzibar kwenda Ujiji kumtafuta Dr Livingstone.
Screenshot_20220422-161245.png
 
- Kwangu mimi kitabu Cha kimataifa ninachosoma kwa Sasa kinahusu MAGEUZI YA KISIASA NA KIUCHUMI CHINA CHINI YA DENG XIAOPING. “CHINA UNDER DENG XIAOPING POLITICAL AND ECONOMIC REFORM”.picha[emoji116]

View attachment 2229807

- Je wewe unasoma kitabu gani kwa Sasa au ushawahi kusoma kitabu gani.andika hapa chini pia ambatanisha pamoja na picha ya kitabu tafadhari Kama ikiwezekana[emoji116]
Mi nipo napiga,Why nations fails,humu unapata ukweli kuhusu taasisi za kisiasa na kiuchumi zinavyochangia ukwasi na umaskini wa jamii.
Kingine ni the looting machine,humu utaonyeshwa jinsi ufisadi unavyofanyika kwenye ngazi za maamuzi huko serikalini.ni hatari tupu.
Hicho Cha kwanza,utajua kwmaba mfumo wa kisiasa ndio unaamua nchi iwe na taasisi zipi za kiuchumi,na ushirikiano wa hizi taasisi mbili,Siasa na uchumi,ndio huamua hatima ya nchi,ukwasi(Mfa USA)au umaskini(mfano TZ),kwenye kutengeneza taasisi za kiuchumi,ama wenye madaraka watataka wanufaike wao binafsi au wataweka mifumo ya kunufaisha umma,na kama jamiii haiwezi kuwa control wenye mamlaka,sahau kabisa nchi hiyo kutajirika.
Wanasiasa inabidi waogope na waheshimu wananchi,maana wanaweza kutolewa Madarakani kwa kura,bila hivyo,watawaswaga kama ngombe,maana hawawategemei raia kuwa Madarakani(ccm na serikali yao).
 
Mi nipo napiga,Why nations fails,humu unapata ukweli kuhusu taasisi za kisiasa na kiuchumi zinavyochangia ukwasi na umaskini wa jamii.
Kingine ni the looting machine,humu utaonyeshwa jinsi ufisadi unavyofanyika kwenye ngazi za maamuzi huko serikalini.ni hatari tupu.
Hicho Cha kwanza,utajua kwmaba mfumo wa kisiasa ndio unaamua nchi iwe na taasisi zipi za kiuchumi,na ushirikiano wa hizi taasisi mbili,Siasa na uchumi,ndio huamua hatima ya nchi,ukwasi(Mfa USA)au umaskini(mfano TZ),kwenye kutengeneza taasisi za kiuchumi,ama wenye madaraka watataka wanufaike wao binafsi au wataweka mifumo ya kunufaisha umma,na kama jamiii haiwezi kuwa control wenye mamlaka,sahau kabisa nchi hiyo kutajirika.
Wanasiasa inabidi waogope na waheshimu wananchi,maana wanaweza kutolewa Madarakani kwa kura,bila hivyo,watawaswaga kama ngombe,maana hawawategemei raia kuwa Madarakani(ccm na serikali yao).
Daah hivi vitabu inaonekana konki tuma na picha za cover zake Kama itawezekana
 
Back
Top Bottom