Kitabu gani bora cha kimataifa/kitaifa unachosoma kwa sasa au ulichowahi kusoma?

Kitabu gani bora cha kimataifa/kitaifa unachosoma kwa sasa au ulichowahi kusoma?

Mi nipo napiga,Why nations fails,humu unapata ukweli kuhusu taasisi za kisiasa na kiuchumi zinavyochangia ukwasi na umaskini wa jamii.
Kingine ni the looting machine,humu utaonyeshwa jinsi ufisadi unavyofanyika kwenye ngazi za maamuzi huko serikalini.ni hatari tupu.
Hicho Cha kwanza,utajua kwmaba mfumo wa kisiasa ndio unaamua nchi iwe na taasisi zipi za kiuchumi,na ushirikiano wa hizi taasisi mbili,Siasa na uchumi,ndio huamua hatima ya nchi,ukwasi(Mfa USA)au umaskini(mfano TZ),kwenye kutengeneza taasisi za kiuchumi,ama wenye madaraka watataka wanufaike wao binafsi au wataweka mifumo ya kunufaisha umma,na kama jamiii haiwezi kuwa control wenye mamlaka,sahau kabisa nchi hiyo kutajirika.
Wanasiasa inabidi waogope na waheshimu wananchi,maana wanaweza kutolewa Madarakani kwa kura,bila hivyo,watawaswaga kama ngombe,maana hawawategemei raia kuwa Madarakani(ccm na serikali yao).
Mimi sasa ivi bado nasoma hicho kuhusu mtaalamu Deng Xiaoping alivyoibafilisha china kiuchumi na kisiasa aisee hiki Ni kitabu kizuri sana
 
1.Collapse: How Societies Choose to Fail or Succeed- Jared Diamond

2.Dead Aid- Dambisa Moyo

3.The Bottom Billion- Paul Collier

4.Guns, Germs and Steel- Jared Diamond.

5. A History of modern Europe- John M. Merriman.
- Kwangu mimi kitabu Cha kimataifa ninachosoma kwa Sasa kinahusu MAGEUZI YA KISIASA NA KIUCHUMI CHINA CHINI YA DENG XIAOPING. “CHINA UNDER DENG XIAOPING POLITICAL AND ECONOMIC REFORM”.picha[emoji116]

View attachment 2229807

- Je wewe unasoma kitabu gani kwa Sasa au ushawahi kusoma kitabu gani.andika hapa chini pia ambatanisha pamoja na picha ya kitabu tafadhari Kama ikiwezekana[emoji116]
 
Namba 1 na namba 5 vinaonekana ni bora zaidi 👍 kwa sisi tunahitaji kuona Modern Tanzania inatokea/inaundwa
1.Collapse: How Societies Choose to Fail or Succeed- Jared Diamond

2.Dead Aid- Dambisa Moyo

3.The Bottom Billion- Paul Collier

4.Guns, Germs and Steel- Jared Diamond.

5. A History of modern Europe- John M. Merriman.
 
Vitabu ni vingi nilivyosoma, ila hivi ni bora,1. Introduction to sociology by Landis Landis, aisee hiki kitabu ukisoma kinahusu amerika miaka hiyo ya 1950, ila mazingira hayo ni mazingira yetu ya sasa Tanzania 2. Art of war tsun 3. The monk who sold ferrar hhivi Nina soft copy
Art of war nawez pata soft copy boss
 
Screenshot_20221007-083559.png
 
Back
Top Bottom