Kitabu katika kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar sehemu ya kwanza. Pitio la kitabu: Mimi, Umma Party na Mapinduzi ya Zanzibar

Kitabu katika kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar sehemu ya kwanza. Pitio la kitabu: Mimi, Umma Party na Mapinduzi ya Zanzibar

Sheikh kipande uuzaji wa kitabu ni shughuli ya mchapaji na kwa kuwa kwake ni biashara atakipeleka kule kwenye wanunuzi wengi.

Kitabu kikiwa Amazon kiko kwenye soko la dunia nzima.

Mwandishi anaishia kwenye uandishi.

I wish hiki kitabu kingekuwa kinauzwa electronic copies
 
Kuna kitu kimoja nimekipata kutoka kwa Mzee Barwani. Nina uhakika watu wengi hawakifahamu
Neno Hizbu anasema ni Party au chama kwa kiarabu na ililitumika kwa vile hakukuwa na mbadala

Dr Salim Ahmed Salim aliwahi kunyimwa fursa ya kuwa Rais wa JMT kwa vile tu walimtuhumu kuwa ni mwanachama wa Hizbu. Hata leo hii ukisema ni Hizbu ni kama vile unazungumzia ''uhaini'', kumbe sivyo ni neno tu 'chama''

Pili, siasa za Zanzibar zinategemea upande hasa rangi na imani. Huu ni ukweli usiokubalika lakini ni ukweli uliopo.

Ni hadi pale watu watakapokubali kukabiliana na ukweli, tatizo lililopo litakuwa na suluhisho.

Ukimsoma Mohamed Said anasema Historia ya kweli ni hii ya hawa wazee.

Ukimsoma kwa undani anazungumzia Uislam zaidi ya historia, kwa maana kwamba anaiandika au kuielezea katika jicho la Uislam. Hakuna tatio kwani kila mwandishi ana jicho lake na ni ngumu kutenga interest na uandishi

Ni kwa mantiki hiyo MS na hao wazee wa 'Umma, Hizbu' etc wanasema Nyerere alipeleka majeshi kuvamia Zanzibar akimsaidia John Okello. Kutokana na kukosa sababu kuna 'aya moja' nitaionyesha ambayo mwandishi amebabaika bila kujua anaandika nini. Hii maana yake ni kuwa mwandishi wa hiyo 'article' hakuwa na information za kutosha bali alijazwa hisia , jazba na chuki na yeye kunyanyua kalamu.

Tukirudi kwa Mohamed, hili la Zanzibar analizungumzia kwa 'jicho upande''.
Akiwa London , Muscat na kwingine atakueleza Mapinduzi ya Zanzibar ni haramu.
Hapa anasimama na Waislam katika Uislam

Akirudi Tanzania ukamuuliza , je, wanaosherehekea mapinduzi kila January 12 wanafanya haramu?
Wanafanya makosa? Nakuhakikishia Mohamed Said hatakupa jibu, atazunguka zunguka na maneno ya reja reja akitoa picha na rejea zake wakati wa safari uzunguni na uarabuni akitafuna makaimati. Hatukupa jibu.

Kubabaika kwa MS kuna shadidia hoja yangu hapo mwanzo kuwa inategemea upo upande gani.

Mathalani, ukiwa mmatumbi mwenye nywele za kipili pili ukiwa mlinzi wa bawaba, mapinduzi yalikuwa halali 'mapinduzi daima'

Ukiwa mwenye nywele za katani na unasaba wa 'falme' mapinduzi yalikuwa ni ya Nyerere na haramu

MS anajikuta ' between a rock and hard place'.

Atawakataaje Waarabu Waislam bila kuukata Uislam?

Atawaangaliaje Wamatumbi anaofanana bila kuudhi Uislam!

JokaKuu Mag3 tindo
 
Wanajamvi , hapo juu nilisema tutaangalia baadhi ya vifungu kutoka bandikio# 10

Zanzibar was a British protectorate for over 70 years. But in January of 1964 it ceased to exist for 33 days when it was invaded by rebels from mainland Tanganyika (present-day Tanzania), who massacred thousands of innocent people. The rebellion was led by John Okello, a Ugandan, who had the backing of then Tanganiyikan President Julius Nyerere. After a long struggle, Zanzibar eventually gained independence on December 10, 1963, and became a member of the UN.

Kifungu hicho hakieleweki kwa msomaji mgeni atatatizika kujua uhusiano wa mistari.
Wasomaji wa Tanganyika/Zanzibar wataelewa nini mwandishi alikusudia, wanajua mtirirko.

Kwa ufupi kifungu ni disorganized and disjointed. Uandishi haphazardly ni matokeo ya chuki tu, kwamba, mwandishi alitaka kuleta jina la Nyerere na Okello katika picha mbaya akichanganya uhuru na mapinduzi, ili mradi tu.

Kitu kimoja kizuri mwandishi aliyeshiriki harakati anathibitisha baba wa Taifa la Zanzibar ni John Okello.
Hata hivyo jina hilo linaingia hapo si kwa umuhimu huo, hapana! sababu kubwa ni kujenga hoja kuwa Nyerere na Ukristo ndio waliopeleka mapinduzi dhidi ya serikali ya Waislam.
 
At the time of the so-called revolution-
Barwani na wenzake akiwemo MS hawaamini katika mapinduzi ndio msingi wa kutumia neno ' the so called''

Al Barwani, a Zanzibari of Omani descent, was a respected leader of the Zanzibar Nationalist Party, ZNP, whose aim from the outset was to achieve independence as quickly as possible.
Kwamba, huyu descendant wa Sultan alikuwa na hamasa ya uhuru ili amuondoe Sultan! Phwee

The Afro Shirazi Party was formed by the British to oppose the ZNP and further British interests in Zanzibar.The Shirazi association was an indigenous organisation of Muslim Zanzibaris.
Soma kwa makini hapo, kwamba, Washirazi walikuwa ndio Wazawa.

Members of the African association hailed from the mainland of Tanganyika and were mostly Christian. Soma kwa makini kwamba African Association walitoka Bara kwa maana hawa si Wazawa. Endelea kusoma kwamba wengi walikuwa Wakristo! Tunajua ASP ndiyo iliyounda baraza la kwanza la mapinduzi, Mohamed Said waeleze wanajamvi ni wakristo wangapi walikuwa katika baraza la Mapinduzi la kwanza lililoundwa na ASP yenye Washirazi Waislam na Waafrika Wakristo wengi.

Kwa wanajamvi, kama mtakumbuka miaka ya karibuni kulitokea maandamano Zanzibar ya wana CCM waliobeba mabango ya '' Hii ni nchi ya Waafrika Machotara rudini kwenu''. Kauli ile ililaaniwa sana na watu bila kujua msingi wake. Ni kauli ya kibaguzi lakini haitoshi kusema ni ya kibaguzi bila kujua kwanini imetolewa

Ukisoma maneno ya Barwani hapo juu utaelewa kuwa Wazanzibar ni Washiriza na watu wa aina nyingine, hawa wenye nywele nyeusi na rangi nyeusi ni wa Bara.

Kwamba Waafrika si Wazawa wa Zanzibar, lakini Wa Oman, Washirazi ni wazawa.
Kauli hizo ndizo zilipelekea Maskani ya kisonge ya Mapinduzi daima kujibu kwa neno Machotara.

Ubaguzi huu wa rangi haukukoma na hawa wazee wanaosema Wazawa ni wale isipokuwa weusi.

Miaka ya karibu kulikuwa na kauli za '' huyo si Mzanzibar kazaliwa Morogoro, Mkurunga, Rufiji n.k.''
Kauli hizo nazo zimechagiza sana upande wa pili ukomae na kusema Mapinduzi daima .

Tunayoyaona Zanzibar yana misingi mizito hasa ya urangi, ahsante MS kwa kutuletea haya kwa uwazi zaidi

Wazanzibar watasoma na kuelewa chanzo cha matatizo na migawanyiko waliyo nayo.
 
Usisahau kumuandika JOHN OKELO kwamba ndio alimng'oa Sultan hapo Zenji na sio KARUME
 
Usisahau kumuandika JOHN OKELO kwamba ndio alimng'oa Sultan hapo Zenji na sio KARUME
Einstein,
Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar 1964 ina mengi inaelekea huyafahamu.

John Okello ni sehemu ndogo sana ya kisa hicho.
Kama ni kutaja majina kuna majina makubwa hujayasikia.

Ushasikia Kipumbwi na Sakura Tanga?

Hapo ndipo ilipokuwa kambi ya mafunzo ya Wamakonde wakata mkonge kutoka shamba la Sakura waliovushwa kwenda Zanzibar kusaidia mapinduzi.

Wahusika wakuu wa kambi hii walikuwa watendaji wa serikali ya Tanganyika, Regional na Area Commissioner wa Tanga - Jumanne Abdallah na Ali Mwinyi Tambwe.

Wasimamizi wa kambi - Victor Mkello na Mohamed Omari Mkwawa.

Lakini mipango kama hii katika ardhi ya Tanganyika inahitaji mkono wa serikali na wasimamizi kutoka sehemu zote mbili - Zanzibar na Tanganyika.

Alikuwapo Oscar Kambona na Abdallah Kassim Hanga.

Kulikuwa na Wayahudi na Waalgeria.

Okello alisikika siku ya pili kufuatia mapinduzi usiku.

Soma kitabu cha Dr. Harith Ghassany "Kwaheri Uhuru Kwaheri Ukoloni," utaujua ukweli kuwa Okello hakuwa chochote katika mipango ya mapinduzi ila "mascot," iliyonogesha mkasa mzima.
 
Einstein,
Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar 1964 ina mengi inaelekea huyafahamu.

John Okello ni sehemu ndogo sana ya kisa hicho.
Kama ni kutaja majina kuna majina makubwa hujayasikia.

Ushasikia Kipumbwi na Sakura Tanga?

Hapo ndipo ilipokuwa kambi ya mafunzo ya Wamakonde wakata mkonge kutoka shamba la Sakura waliovushwa kwenda Zanzibar kusaidia mapinduzi.

Wahusika wakuu wa kambi hii walikuwa watendaji wa serikali ya Tanganyika, Regional na Area Commissioner wa Tanga - Jumanne Abdallah na Ali Mwinyi Tambwe.

Wasimamizi wa kambi - Victor Mkello na Mohamed Omari Mkwawa.

Lakini mipango kama hii katika ardhi ya Tanganyika inahitaji mkono wa serikali na wasimamizi kutoka sehemu zote mbili - Zanzibar na Tanganyika.

Alikuwapo Oscar Kambona na Abdallah Kassim Hanga.

Kulikuwa na Wayahudi na Waalgeria.

Okello alisikika siku ya pili kufuatia mapinduzi usiku.

Soma kitabu cha Dr. Harith Ghassany "Kwaheri Uhuru Kwaheri Ukoloni," utaujua ukweli kuwa Okello hakuwa chochote katika mipango ya mapinduzi ila "mascot," iliyonogesha mkasa mzima.
Mkuu achana na majina.mengi JOHN OKELO ndio mwanamapinduzi halisi na ndiye aliemfukuza sultani.ila.alipinduliwa na Nyerere alipokuja bara. Soon ntakupa kisa chake kilichopinduliwa
 
Nitumie stamped self-addressed A4 manila envelope nitakutumia, nadhani wanauza duka moja pale Faya.

Unfortunately sina box address.
Can you inbox me please tuwasiliane?
Shukran
 
ZNP pia alikuwepo Salim A Salim..
Ni sawa??

ZNP ndiyo Hizbu l’watan.
Baadhi ya vijana wa ZNP wakiongozwa na Babu walitofautiana sera na chama chao, ndiyo walijitenga na kuunda Umma Party.

Umma Party ilibeba vijana wengi kutoka Hizbu. Iliongozwa na Babu na sera za kikomunisti enzi zile.

Salim Ahmed, Ali Sultan, Kadiria Mnyeji na vijana wengine walikuwa members wa hicho chama kipya.
 
Mkuu achana na majina.mengi JOHN OKELO ndio mwanamapinduzi halisi na ndiye aliemfukuza sultani.ila.alipinduliwa na Nyerere alipokuja bara. Soon ntakupa kisa chake kilichopinduliwa
Einstein,
Vipi niachane na haya majina ilahali baadhi yao nimewaona kwa macho yangu wakifanyiwa mahojiano na Dr. Harith Ghassany mimi nikiwapo kama Mtafiti Msaidizi wake wakati anatafiti historia hii?

Nilikuwa msaidizi wake kuanzia 2003 had 2010 kitabu kilipochapwa Marekani.

Ikiwa una taarifa zinazotofautiana na historia katika kitabu cha Dr. Ghassany nitafurahi kusoma.

Angalia picha hiyo hapo chini: kushoto ni Mohamed Omari Mkwawa (Tindo) jina alilopewa na Mzee Karume wakati wa kupigania uhuru wa Zanzibar, Maulidi Shein na mimi.

Dr. Ghassany ndiye aliyepiga picha hii.

Haya yalikuwa mahojinao ya mwisho Dar es Salaam kabla ya kukamilisha utafiti.

1612184615643.png
 
Kuna kitu kimoja nimekipata kutoka kwa Mzee Barwani. Nina uhakika watu wengi hawakifahamu
Neno Hizbu anasema ni Party au chama kwa kiarabu na ililitumika kwa vile hakukuwa na mbadala

Dr Salim Ahmed Salim aliwahi kunyimwa fursa ya kuwa Rais wa JMT kwa vile tu walimtuhumu kuwa ni mwanachama wa Hizbu. Hata leo hii ukisema ni Hizbu ni kama vile unazungumzia ''uhaini'', kumbe sivyo ni neno tu 'chama''

Pili, siasa za Zanzibar zinategemea upande hasa rangi na imani. Huu ni ukweli usiokubalika lakini ni ukweli uliopo.

Ni hadi pale watu watakapokubali kukabiliana na ukweli, tatizo lililopo litakuwa na suluhisho.

Ukimsoma Mohamed Said anasema Historia ya kweli ni hii ya hawa wazee.

Ukimsoma kwa undani anazungumzia Uislam zaidi ya historia, kwa maana kwamba anaiandika au kuielezea katika jicho la Uislam. Hakuna tatio kwani kila mwandishi ana jicho lake na ni ngumu kutenga interest na uandishi

Ni kwa mantiki hiyo MS na hao wazee wa 'Umma, Hizbu' etc wanasema Nyerere alipeleka majeshi kuvamia Zanzibar akimsaidia John Okello. Kutokana na kukosa sababu kuna 'aya moja' nitaionyesha ambayo mwandishi amebabaika bila kujua anaandika nini. Hii maana yake ni kuwa mwandishi wa hiyo 'article' hakuwa na information za kutosha bali alijazwa hisia , jazba na chuki na yeye kunyanyua kalamu.

Tukirudi kwa Mohamed, hili la Zanzibar analizungumzia kwa 'jicho upande''.
Akiwa London , Muscat na kwingine atakueleza Mapinduzi ya Zanzibar ni haramu.
Hapa anasimama na Waislam katika Uislam

Akirudi Tanzania ukamuuliza , je, wanaosherehekea mapinduzi kila January 12 wanafanya haramu?
Wanafanya makosa? Nakuhakikishia Mohamed Said hatakupa jibu, atazunguka zunguka na maneno ya reja reja akitoa picha na rejea zake wakati wa safari uzunguni na uarabuni akitafuna makaimati. Hatukupa jibu.

Kubabaika kwa MS kuna shadidia hoja yangu hapo mwanzo kuwa inategemea upo upande gani.

Mathalani, ukiwa mmatumbi mwenye nywele za kipili pili ukiwa mlinzi wa bawaba, mapinduzi yalikuwa halali 'mapinduzi daima'

Ukiwa mwenye nywele za katani na unasaba wa 'falme' mapinduzi yalikuwa ni ya Nyerere na haramu

MS anajikuta ' between a rock and hard place'.

Atawakataaje Waarabu Waislam bila kuukata Uislam?

Atawaangaliaje Wamatumbi anaofanana bila kuudhi Uislam!

JokaKuu Mag3 tindo

..nadhani ndugu zetu walikuwa na tatizo la Uafrika vs Uarabu.

..tatizo hilo pia likahamia ktk vyama vyao vya siasa vilivyokuwepo kabla ya Mapinduzi.

..pia chaguzi zao wakati wote zimekuwa za ushindani mkubwa na washindi wamekuwa wakipata ushindi "mwembaamba."

..Mapinduzi pamoja na mambo mengine yalichochewa na figisu na rafu walizokuwa wakifanyiana Waznz wakati wa uchaguzi.

..Malengo ya Mapinduzi yanaweza kuwa mazuri kabisa, ila tatizo ni mauaji na ukatili uliofanyika wakati na baada ya Mapinduzi.

..mimi naamini Mohamed Said ameungana na upande ambao uliathiriwa vibaya na mambo ya kikatili yaliyofanywa na wanamapinduzi.

..vilevile naamini figisu zinazoendelea ktk kila uchaguzi wa Znz zinatokana na nia ya wahusika kuficha na kulinda maovu yaliyofanywa baada ya Mapinduzi.

NB:

..Sultani wa Zanzibar alikuwa ni ceremonial figure kwa muda mrefu tangu wakati wa Muingereza. Wanaodai kwamba Mapinduzi yalikuwa ni kumpindua Sultani naamini hawako sahihi.
 
..nadhani ndugu zetu walikuwa na tatizo la Uafrika vs Uarabu.

..tatizo hilo pia likahamia ktk vyama vyao vya siasa vilivyokuwepo kabla ya Mapinduzi.

..pia chaguzi zao wakati wote zimekuwa za ushindani mkubwa na washindi wamekuwa wakipata ushindi "mwembaamba."

..Mapinduzi pamoja na mambo mengine yalichochewa na figisu na rafu walizokuwa wakifanyiana Waznz wakati wa uchaguzi.

..Malengo ya Mapinduzi yanaweza kuwa mazuri kabisa, ila tatizo ni mauaji na ukatili uliofanyika wakati na baada ya Mapinduzi.

..mimi naamini Mohamed Said ameungana na upande ambao uliathiriwa vibaya na mambo ya kikatili yaliyofanywa na wanamapinduzi.

..vilevile naamini figisu zinazoendelea ktk kila uchaguzi wa Znz zinatokana na nia ya wahusika kuficha na kulinda maovu yaliyofanywa baada ya Mapinduzi.

NB:

..Sultani wa Zanzibar alikuwa ni ceremonial figure kwa muda mrefu tangu wakati wa Muingereza. Wanaodai kwamba Mapinduzi yalikuwa ni kumpindua Sultani naamini hawako sahihi.

Naona kama sasa wameamua kuzika yale yaliyopita. Wakiamua hivyo na kuanza kuendeleza pemba kama Unguja, Zanzibar itakuwa nchi ya neema kweli kweli. Mtaji wa kuzima kila linaloendelea wanaoutoa ni wao wenyewe wazenj, maana bado wana roho ya kulipizana visasi
 
Naona kama sasa wameamua kuzika yale yaliyopita. Wakiamua hivyo na kuanza kuendeleza pemba kama Unguja, Zanzibar itakuwa nchi ya neema kweli kweli. Mtaji wa kuzima kila linaloendelea wanaoutoa ni wao wenyewe wazenj, maana bado wana roho ya kulipizana visasi

..Tatizo wanaonekana wamepatana sasa hivi lakini ikifika wakati wa uchaguzi wanarudi kwenye uhasama.

..Zanzibar inahitaji Tume ya Maridhiano na Ukweli, vinginevyo CCM wataendelea kurithishana mzigo wa kuficha ukatili uliofanywa na wanamapinduzi.
 
Einstein,
Vipi niachane na haya majina ilahali baadhi yao nimewaona kwa macho yangu wakifanyiwa mahojiano na Dr. Harith Ghassany mimi nikiwapo kama Mtafiti Msaidizi wake wakati anatafiti historia hii?

Nilikuwa msaidizi wake kuanzia 2003 had 2010 kitabu kilipochapwa Marekani.

Ikiwa una taarifa zinazotofautiana na historia katika kitabu cha Dr. Ghassany nitafurahi kusoma.

Angalia picha hiyo hapo chini: kushoto ni Mohamed Omari Mkwawa (Tindo) jina alilopewa na Mzee Karume wakati wa kupigania uhuru wa Zanzibar, Maulidi Shein na mimi.

Dr. Ghassany ndiye aliyepiga picha hii.

Haya yalikuwa mahojinao ya mwisho Dar es Salaam kabla ya kukamilisha utafiti.

View attachment 1691694
Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar mnaibumbabumba kumuondoa Okelo ila inafahamika kuwa ndio.aliongoza mapinduzi na kujitangaza rais wa Zanzibar baadae akaja bara, mwalimu Nyerere akafanya mpango, wa kumpindua, wakati anarudi zenji, kwa ndege, wakawashusa delegates wake na yeye akabaki kwenye ndege akapelekwa Kenya na hakurusiwa kurudi tena Zenji.

Ziko articles zinazozungumzia hii
 
Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar mnaibumbabumba kumuondoa Okelo ila inafahamika kuwa ndio.aliongoza mapinduzi na kujitangaza rais wa Zanzibar baadae akaja bara, mwalimu Nyerere akafanya mpango, wa kumpindua, wakati anarudi zenji, kwa ndege, wakawashusa delegates wake na yeye akabaki kwenye ndege akapelekwa Kenya na hakurusiwa kurudi tena Zenji.

Ziko articles zinazozungumzia hii
Einstein,
Historia ya mapinduzi ya Zanzibar inataka utafiti ndipo unaweza kuandika.

Okello hajaondolewa katika historia ya mapinduzi.

Okello yuko sana.

Soma kitabu cha Dr. Ghassany na angalia faharasha jina la Okello lipo na mchango wake upo.

Ila Okello si aliyepanga mapinduzi wala hakujua kama kulikuwa na kambi Kipumbwi iliyotayarishwa kwa kazi ya kusadia mapigano.

Waliopanga mapinduzi walikuwa kimya wakamwachia Okello abebe.mzigo wa damu ya Wazanzibari waliouawa.

Laiti mapinduzi yale yasingelifanikiwa Okello angesimama mahakamani kwa mauaji yale.

Nimemuona Victor Mkello alivyokuwa anataabika katika mazungumzo na Dr. Ghassani kuhusu kambi ya Kipumbwi.

Yeye ilimchukua muda kuamini kuwa kuwepo sisi nyumbani kwake hakuwa anatafutwa kwa mauaji yale akiwa mmoja wa viongozi waliofanikisha kuvushwa kwa Wamakonde wakata mkonge kuingia Zanzibar kuua na kupindua serikali ya Sheikh Mohamed Shamte.

Nilidhani utakuja na utafiti mpya wenye ithibati wa nyaraka kuhusu mapinduzi.

Katika utafiti wa Dr. Ghassany kitu kilichoshtua wanafunzi wa historia ya mapinduzi ya Zanzibar ni hii kambi ya Kipumbwi katika ardhi ya Tanganyika na ule ukweli kuwa Waarabu wengi waliuawa mashamba na hawa Wamakonde kutoka mashamba ya mkonge ya Sakura waliokuwa wakivushwa kwa majahazi na Mohamed Omari Mkwawa.
 
..nadhani ndugu zetu walikuwa na tatizo la Uafrika vs Uarabu.

..tatizo hilo pia likahamia ktk vyama vyao vya siasa vilivyokuwepo kabla ya Mapinduzi.

..pia chaguzi zao wakati wote zimekuwa za ushindani mkubwa na washindi wamekuwa wakipata ushindi "mwembaamba."

..Mapinduzi pamoja na mambo mengine yalichochewa na figisu na rafu walizokuwa wakifanyiana Waznz wakati wa uchaguzi.

..Malengo ya Mapinduzi yanaweza kuwa mazuri kabisa, ila tatizo ni mauaji na ukatili uliofanyika wakati na baada ya Mapinduzi.

..mimi naamini Mohamed Said ameungana na upande ambao uliathiriwa vibaya na mambo ya kikatili yaliyofanywa na wanamapinduzi.

..vilevile naamini figisu zinazoendelea ktk kila uchaguzi wa Znz zinatokana na nia ya wahusika kuficha na kulinda maovu yaliyofanywa baada ya Mapinduzi.

NB:

..Sultani wa Zanzibar alikuwa ni ceremonial figure kwa muda mrefu tangu wakati wa Muingereza. Wanaodai kwamba Mapinduzi yalikuwa ni kumpindua Sultani naamini hawako sahihi.
JK,
Nguruvi anataabishwa na safari zangu na "kaimati."

Haya ndiyo anayoyajua kuhusu mimi kuwa ni mtu wa kula maraha ndani ya madege na ma 5 Star Hotel.

Ule ujuzi wangu katika historia ya Tanzania na niliyoandika hayataki.

Mimi nakua baba yangu mwana TANU na rafiki zake wakubwa wawili Abdulaziz Twala na Jaha Ubwa ni wana ASP kindakindaki.

Huu ndiyo ulikuwa msimamo wa wazee wetu wote wakitaka ASP itawale Zanzibar na waliyaunga mkono mapinduzi.

Lakini...

Walipokuja kujua ukweli na walipodhihirikiwa na unyama uliopitika katika mapinduzi na jela za mateso na mauaji zilipoanzishwa waliyachukia mapinduzi na wakayapa mgongo.

Baba yangu hakuacha kuugulia kifo cha Twala na Jaha Ubwa akiwakumbuka mara nyingi tu.

Haya ndiyo maisha yangu nimeishi ndani ya historia hizi.

Ama kuhusu Uislam naam sisi ni Waislam na hawa Wazanzibari ni Waislam na Twala, Karume na Jaha Ubwa ni Waislam.

Kwangu ni shida kuishi nje ya ukweli huu.

Ndiyo maana leo unaona CCM Zanzibar haiwezi kushinda uchaguzi huru na wa haki visiwani lazima msaada wa ushindi utoke Tanganyika.

Hii ndiyo historia ya mapinduzi na ukijua historia hii itakufungulia kuyaelewa yote yaliyopo Zanzibar hii leo.
 
Back
Top Bottom