Ukisoma nyuzi zake za zamani alikuwa akijibu comments, walotuharibia walikuwa wale warusha mitusi ndomana Akawa anakausha.Kinafurahisha zaid ni kwamba Tumiaakili analost na wala harudi kwenye koment yan anatuchek tu tunavyohangaika na code bora hata Yoga
Una maanisha nini!!?Ripiiìiiiismìii
Huyu jamaa hutoa ujumbe na kutembea.Na yakitimia haji kujidai.Hii Id imejiunga Jf 2013 lakini mpk leo haijafikia kuwa Jf Expert Member
Ilikua ni balaa.Awali watu walilewa kwa furaha na kujiachia, mpaka alipokuja mwenye pombe mwenyewe na kuwalewesha watu kupitiliza. Hali hii imepelekea mamlaka kuhitaji kuchakata mambo kabla ya kuruhusu matumizi.
Uwepo wake umeleta maarifa mengine ambayo muasisi wa taifa alisema akipata mleweshaji mzuri kwa muongozo wa kitabu wanywaji watapata pombe itakayozidi ukali.
Ahsante kwa uwepo wa pombe imefanya matakwa ya wanywaji yafanyiwe kazi kabla pombe kali zaidi yakutokea na kuwazidi wanywaji.
Mkipanga mmepanga.safi sanaWakuu
'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu.
Recrato ulitolewa kule na umekidhi vigezo. Utashughulika na upatikanaji wa watu. (Upatikanaji ulipokuwa mgumu kwasababu alikuwa nje ya stronghold ikabidi arudishwe tena kuwa namba mbili).
Baadae sana alipewa sifa ya juu kabisa ingawa hakushika nafasi ya juu. Aliendelea na kazi 'on the ground' mpaka alipomkabidhi 'Recrato II' miaka kadhaa kabla hajatangulia.
Logasto, ulifanikisha kazi mbalimbali siku zilizopita. Sasa utashughulikia kuwaunganisha wanaoletwa na Recrato kwa mafunzo. Utahakikisha wanafika kwenye handling ya Financo.
Baadae majukumu yake yalichukuliwa na 'Logasto II'. Hakufanikiwa kuaminika juu ya mawasiliano fulani. Ingawa alinyoosha mikono, lakini vyuma vilipenya.
Financo, wewe ni mkubwa kwa kukaimu, ninataka nikupeleke mbali. Nenda kajifunze namna ya kutunza mfuko wa ogani ili uendelee kukua. Pia utasimamia mafunzo mbali huko.
Aliendelea kufanya kazi mpaka alipokabidhi majukumu kwa 'Financo II'. Alirudi, akaongoza tena muunganiko wa nje. Akapelekwa kwingine na akatangulia akiwa huko.
Baadae ilibidi apatikane atakayeongoza wote. Recrato akafanya kazi hatimaye akapatikana mwanzoni mwa muongo mpya. Akapata mafunzo hapa na huko. In his early 30s akakabidhiwa.
Wanataka sasa kile kitabu cha zamani kiachwe. Kipya kiwe kile kilicholetwa mwanzo lakini kifanyiwe badiliko dogo ndipo kithibitishwe. Idadi zibakie mbili kama zilivyo. Wote kuanzia AIC, SIN na 6IM wamefanya utafiti.
Siku tisini halafu siku nyingine mia themanini tayari. Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu. Next stage (ambayo ilishaandikwa) itakuwa tayari kuanza wakati hapatakuwa na kuendelea kwa haya baada ya hiyo ishara na hiyo hesabu.
Wakati boss anatoka akasema hii imekamilika. Aga kabisa maana hautarudi. Nilishtuka sana maana namfahamu vizuri. Basi hivyo ndio ninafanya. Ninaaga.
Bado naitafakari hii ndoto tangu nilipoamka. Ngoja tuendelee kusubiri.
theState.
Habari za kikao Cha Dodoma ndugu, mlifunga ofisi kuhudhuria kikao.Juzi tuu huyo mstaafu alikuwa mgeni rasmi kwenye tukio fulani la Bank ya serikali na akatoa with..
Huyo huyo mstaafu yuko kwenye platform moja na Rais ya wajumbe wa Taasisi ya maji Kusini Mwa Afrika,sasa nyie mumekataje wakati na mwanae ni DM?
Mkuu Tumia Akili kile kitabu sasa tunaenda kukimalizia. Ni kitbu Almaarufu kama Cha Sinde WariobaWakuu
'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu.
Recrato ulitolewa kule na umekidhi vigezo. Utashughulika na upatikanaji wa watu. (Upatikanaji ulipokuwa mgumu kwasababu alikuwa nje ya stronghold ikabidi arudishwe tena kuwa namba mbili).
Baadae sana alipewa sifa ya juu kabisa ingawa hakushika nafasi ya juu. Aliendelea na kazi 'on the ground' mpaka alipomkabidhi 'Recrato II' miaka kadhaa kabla hajatangulia.
Logasto, ulifanikisha kazi mbalimbali siku zilizopita. Sasa utashughulikia kuwaunganisha wanaoletwa na Recrato kwa mafunzo. Utahakikisha wanafika kwenye handling ya Financo.
Baadae majukumu yake yalichukuliwa na 'Logasto II'. Hakufanikiwa kuaminika juu ya mawasiliano fulani. Ingawa alinyoosha mikono, lakini vyuma vilipenya.
Financo, wewe ni mkubwa kwa kukaimu, ninataka nikupeleke mbali. Nenda kajifunze namna ya kutunza mfuko wa ogani ili uendelee kukua. Pia utasimamia mafunzo mbali huko.
Aliendelea kufanya kazi mpaka alipokabidhi majukumu kwa 'Financo II'. Alirudi, akaongoza tena muunganiko wa nje. Akapelekwa kwingine na akatangulia akiwa huko.
Baadae ilibidi apatikane atakayeongoza wote. Recrato akafanya kazi hatimaye akapatikana mwanzoni mwa muongo mpya. Akapata mafunzo hapa na huko. In his early 30s akakabidhiwa.
Wanataka sasa kile kitabu cha zamani kiachwe. Kipya kiwe kile kilicholetwa mwanzo lakini kifanyiwe badiliko dogo ndipo kithibitishwe. Idadi zibakie mbili kama zilivyo. Wote kuanzia AIC, SIN na 6IM wamefanya utafiti.
Siku tisini halafu siku nyingine mia themanini tayari. Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu. Next stage (ambayo ilishaandikwa) itakuwa tayari kuanza wakati hapatakuwa na kuendelea kwa haya baada ya hiyo ishara na hiyo hesabu.
Wakati boss anatoka akasema hii imekamilika. Aga kabisa maana hautarudi. Nilishtuka sana maana namfahamu vizuri. Basi hivyo ndio ninafanya. Ninaaga.
Bado naitafakari hii ndoto tangu nilipoamka. Ngoja tuendelee kusubiri.
theState.
Kwa hili Ccm ya kina Kinana imeonesha ukomavu.Habari za kikao Cha Dodoma ndugu, mlifungua ofisi kuhudhuria kikao.
Asante I sana kukubali KWELI tunayohubiri humu.
Tunapata KATIBA mpya nw. Amen
katika bandiko lake, mkuchika yupo.Tusioweza ku decode hii kitu ni tuliozaliwa miaka ya 90s na 2000s. Wa nyuma kidogo ndio wana mwanga.
Someni vitabu ndugu zetu.Tusioweza ku decode hii kitu ni tuliozaliwa miaka ya 90s na 2000s. Wa nyuma kidogo ndio wana mwanga.
Huyu ni tai mweupe akitokea JWkatika bandiko lake, mkuchika yupo.
mkuchika inaonekana ana potential kubwa sana katika Taifa
Na HUYO Ndio director mkuu!!inawezekana kijana wake ambaye ndio kachero mwandishi wa hizi makala JAMVINI!!katika bandiko lake, mkuchika yupo.
mkuchika inaonekana ana potential kubwa sana katika Taifa