Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiari mkuuKuna kete ngumu sana zinasogezwa yeye mwenyewe kwa kujua na kuna kete ngumu zaidi zinasogezwa bila kujua nani anasogeza.
Baada ya watoto pendwa kutenguliwa mwezi uliopita wiki moja baadae makamu wake kichama akajivua wadhifa, from there ni mipango after mipango na kete zinasogezwa pole pole tu, nani atamuwahi mwenzake?? Nani atawahi kufika kingi??
Yale yote aliyoyapinga aliposhika hatamu, ndio yale yote aliyoyakataza late CEO na ndio anayafanya yeye pia sasa hivi. Yeyote atakayempinga ama zake ama za mpingaji. Tengua tengua hizi ni maandalizi ya kukabiliana na 2025,
Alikuwa chini ya uongozi inayoongoza nchi nje ya kitabu, kama binadamu wengine uvumilivu ukifika mwisho hakuna wa kuzuia shari ya mtu huyu kirahisi hasa akiwa na mamlaka makubwa au mwenye pesa nyingi.
Wale wafugaji walioandamana masikuu huko nyuma (Kete Ngumu)
Utekaji wa watu mashuuri na vifo vyao (Kete Ngumu)
Changamoto za SGR (Kete Ngumu)
Waropokoji kuhusu hali ya october, 2022, ukianza na Pena kabla ya kutenguliwa kuhusu namna chaguzi zinavyofanyika (Kete Ngumu), mkuu wa wilaya yule wanapotoka wafugaji (Kete Ngumu)
Ni mambo yanatokea kwa mfumo wa bahati mbaya ila behind the scene hakuna bahati mbaya.
Ukitazama matukio haya hajitokezi hadhari kuzungumzia, Kwa nini?? Alijifunza kwa late CEO, haina haja ya kunufaisha maadui hata kama wanakuumiza dawa na kulilia chumbani, ili wasione kama wamekugusa.
Kete zinasogezwa kwa pande zote mbili, NANI ATAWAHI KUINGIA KINGI”,.
Naona Bibie anasubiris kuapishwa October tenaAliwah kusema kuwa mama ni mpitaji tu yupo atakae kuja kuishika vema nchi.
Ni mwaka 2020 tena may kbla ya uchaguzi kabla ya kifo cha CHUMA kabla ya mpango kuwa namba 2. Kabla ya kila kitu alijua haya
View attachment 3094165
Aisee!ndio FDR atakuja na miaka 12. Au raisi ambaye hajawah kugombea umakamu na uraisi neema inamwangukia kuwa raisi..??