Kitabu kipya: Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania

Kitabu kipya: Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania

Mtu dhaifu hupenda kulialia na kutaka huruma za watu.
Waislam acheni lawama fanyeni kazi na acheni chuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Glenn,
Hakuna anaelia.

Imeandikwa historia na Chuo Cha CCM Kivukoni yenye makosa mengi.

Nimenyanyua kalamu kuisahihisha.

Ikiwa wewe unaona huko ni "kulialia," hiyo ni bahati mbaya kwako.

Ukweli ni kuwa kitabu changu kimetia fora kwani kinakwenda toleo la nne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ery...
Haijapatapo chuki kukimbiliwa na kuchapwa katika journals maarufu duniani kama Cambridge Journal of African History na mwandishi kushirikishwa katika miradi ya kuandika historia ya Afrika na kualikwa kuzungumza katika vyuo mbalimbali duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala kwanini vitabu vyako huuzi kwenye maeneo mengineyo tofauti na duka hilo lisambazalo vitabu vya kiislamu na kiirabu?

Au watu wengine sio walengwa!!!
Kitabu chenyewe kinaitwa dola kanisa na tatizo la udini tanzania
 
Kuhusu kuzaliwa katika uislamu hilo halina shaka kwani hata mapapa na viongozi wote wa kikristo na hata kibuda walizaliwa wakiwa waislamu.Ama kuhusu kubadili dini ukawa mkristo naona kama kwamba baada ya kuzaliwa hukulelewa na waislamu au hukuleleka kiislamu kwani hakuna yoyote anayelelewa kiislamu na akauelewa uislamu halafu akaamua kubadili dini na kuwa mkristo.Ikitokea hivyo basi huwa ni njaa na matamanio ya kishetani ndiyo yaliyomvuta huko..Wewe najuwa ni muathirika wa hayo ndipo ukabadili dini.Vinginevyo utakuwa ni muongo ili unogeshe kijeli na kuubeza ukweli kuwa ukristo Tanzania umejaribu sana kujikweza kwa kufuta ukweli wa kihistoria inayowahusisha waislamu.
Upendo na huruma ni moja ya mafunzo muhimu katika uislamu.Iwapo mpaka ulipofikia 24 hukuwahi kulijuwa hili basi shetani alikuzidi maarifa kwa sana na ndio maana mpaka leo unapendelea historia ya uongo iendelee kusomeshwa na kuwadhuru waislamu..Bahati nzuri kazi nzuri ya Mohamed Said na hii ni kwa uongozi wa Mwenyezi Mungu na huruma zake ili ukweli ujulikane na kwa hilo matakwa yako yatakuwa hayana nafasi tena kurudisha nyuma ufahamu wa ukweli uliokuwa umefichwa.
Yote ulioandika kuhusu mimi ni HISIA zako; kwanini uhisi wakati mi mwenyewe nipo hapa? Umeongea UONGO tena kama nilivyo sema mwanzoni kwamba dini yenu huwezi kuineza bila kuongea UONGO. Baba yangu alikua kiongozi mkubwa tu msikitini kwetu, sitaki kumtaja kwa jina kwakua jina langu pamoja na lako humu ni nick names; hivi wewe unataka kunambia yule Salmini Rashidie aliyeandika kile kitabu cha AYA ZA SHETANI hakukulia kwenye uislamu? Sijui una umri gani, but bila shaka either unajua au ulisimuliwa kuhusu lile tukio la uvunjaji wa mabucha ya nyamza za nguruwe mwaka 1992 Dar, vijana waliokua mstari wa mbele kwenye lile tukio walikua wameiva kweli kweli kwenye uislamu ( of course we pia hunijui mi nin nani ) na waliandaliwa hasa, wengi wao walikua watoto wa masheikh na hao vijana walikua ni wasomi wa dini vizuri, tukio lile liliongozwa na sheikh Kasimu kwa msikiti wa kwa Mtoro pamoja na sheikh Yahaya yule mnajimu but you know what? Baadhi ya wale vijana sasa hvi ni wachungaji, walipata misku suko mingi sana baada ya kubadiri dini, walinyang'anywa mali, nyumba nk but wapo hadi leo. Bila uongo, na fitina huwezi sambaza dini yenu. Ukisha nitaleta ushihidi mwingi kuhusu hili
 
Nanren,
Hapana tatizo ikiwa wewe unadhani kitabu nilichoandika ni hadithi za kutunga.

Wala mimi sikulaumu ila nitakueleza jambo.

Kitabu kilishtua wasomi wengi wa African History kiasi nikatiwa kwenye miradi miwili mikubwa ya Oxford University Press Nairobi na New York mmoja ukihusisha Havard.

Kitabu changu kimesababisha pia kuanzishwa mradi chini ya Prof. Issa Shivji wa kutafiti na kuandika upya historia ya TANU na historia ya Mwalimu Nyerere.

Kitabu kimependwa sana na kimechapwa mara tatu toka 1998 na mimi nimeandika vitabu saba tokea hapo.
Kwanini unapenda sana kujifagilia wewe mzee msomi uchwara? Kama ni kweli hayo usemayo, tuwekee independent, critical reviews za kisomi za hivyo vitabu vyako unavyojisifia sana kila kukicha. Siyo wewe utuambie kwa majigambo. Weka hapa uchambuzi huru kutoka Wasomi wa Harvard, Oxford, North Western na kwingineko wa hivyo vitabu vyako vyote. Weka hata scans za reviews ya vitabu vyako tujisomee wenyewe usomi wako uliotukuka.
 
Congrats.
Achievements zako kwenye uandishi haziondoi ukweli kuwa, msingi wa simulizi zako ni hisia zako binafsi.
Mfano ni hapo ulipoandika "...Nyerere alipata hofu..."
Hizo ni hisia zako tu
Huo ni mfano mzuri wa level of objectivity kwenye maandishi/simulizi zake.
 
Kwanini unapenda sana kujifagilia wewe mzee msomi uchwara? Kama ni kweli hayo usemayo, tuwekee independent, critical reviews za kisomi za hivyo vitabu vyako unavyojisifia sana kila kukicha. Siyo wewe utuambie kwa majigambo. Weka hapa uchambuzi huru kutoka Wasomi wa Harvard, Oxford, North Western na kwingineko wa hivyo vitabu vyako vyote. Weka hata scans za reviews ya vitabu vyako tujisomee wenyewe usomi wako uliotukuka.
Ndjabu...
Reviews za kitabu ziko CambridgeJournal of African History zimeandikwa na John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan.


Bahati mbaya wewe huzijui.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli shekh kazi ulioifanya imeleta athari kubwa sana na tunategemea faida zaid katika maandiko yako,
Maana sioni kwa kuyapata kwa sasa km si kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndjabu...
Reviews za kitabu ziko CambridgeJournal of African History zimeandikwa na John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan.


Bahati mbaya wewe huzijui.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuzijui hizo reviews, ndiyo! Ziweke hapa tuzisome, pamoja na hivyo vitabu vingine vyote unavyodai vimekubalika hadi Oxford na Harvard . Navyokujua hata chupa za Coca Cola zenye majina yako hukawii kupiga picha na kubandika humu sembuse scans za own book reviews?
 
Hatuzijui hizo reviews, ndiyo! Ziweke hapa tuzisome, pamoja na hivyo vitabu vingine vyote unavyodai vimekubalika hadi Oxford na Harvard . Navyokujua hata chupa za Coca Cola zenye majina yako hukawii kupiga picha na kubandika humu sembuse scans za own book reviews?
Ni bora kuamini Mungu yupo uende umkose kuliko kuamini hayupo uende umkute.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuzijui hizo reviews, ndiyo! Ziweke hapa tuzisome, pamoja na hivyo vitabu vingine vyote unavyodai vimekubalika hadi Oxford na Harvard . Navyokujua hata chupa za Coca Cola zenye majina yako hukawii kupiga picha na kubandika humu sembuse scans za own book reviews?
Ndjabu...
Kama unadhani kuwa hayo ni mambo makubwa sana sina uwezonayo usijihangaishe bakia ukiamini kuwa mimi sijaandika chochote.

Hivyo utakuwa umenusurika na kuitabisha nafsi yako na hata mie utakuwa umenipumzisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndjabu...
Kama unadhani kuwa hayo ni mambo makubwa sana sina uwezonayo usijihangaishe bakia ukiamini kuwa mimi sijaandika chochote.

Hivyo utakuwa umenusurika na kuitabisha nafsi yako na hata mie utakuwa umenipumzisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Reviews huru za vitabu vyako vyote tuwekee wazi tuzisome maana umezoea kujinadi umekubalika na Wasomi wa vyuo vya hadhi kubwa duniani. Nitakushangaa ukishindwa kufanya hili, mtu ambaye newspaper clips za miaka ya 1950s unazo kwenye makabrasha yako ya ki-elektroniki.
 
Reviews huru za vitabu vyako vyote tuwekee wazi tuzisome maana umezoea kujinadi umekubalika na Wasomi wa vyuo vya hadhi kubwa duniani. Nitakushangaa ukishindwa kufanya hili, mtu ambaye newspaper clips za miaka ya 1950s unazo kwenye makabrasha yako ya ki-elektroniki.
Ndjabu,
Siwezi kukosa review zangu.
Ila mimi ningependa wewe uamini kuwa sijaandika kitabu hata kimoja.
Ningependa uamini kuwa yote ninayosema ni uongo.

Ikiwa sijaandika chochote sasa reviews nitazitoa wapi?
Nakutamania haya ili nafsi yako ipate utulivu.
 
Yote ulioandika kuhusu mimi ni HISIA zako; kwanini uhisi wakati mi mwenyewe nipo hapa? Umeongea UONGO tena kama nilivyo sema mwanzoni kwamba dini yenu huwezi kuineza bila kuongea UONGO. Baba yangu alikua kiongozi mkubwa tu msikitini kwetu, sitaki kumtaja kwa jina kwakua jina langu pamoja na lako humu ni nick names; hivi wewe unataka kunambia yule Salmini Rashidie aliyeandika kile kitabu cha AYA ZA SHETANI hakukulia kwenye uislamu? Sijui una umri gani, but bila shaka either unajua au ulisimuliwa kuhusu lile tukio la uvunjaji wa mabucha ya nyamza za nguruwe mwaka 1992 Dar, vijana waliokua mstari wa mbele kwenye lile tukio walikua wameiva kweli kweli kwenye uislamu ( of course we pia hunijui mi nin nani ) na waliandaliwa hasa, wengi wao walikua watoto wa masheikh na hao vijana walikua ni wasomi wa dini vizuri, tukio lile liliongozwa na sheikh Kasimu kwa msikiti wa kwa Mtoro pamoja na sheikh Yahaya yule mnajimu but you know what? Baadhi ya wale vijana sasa hvi ni wachungaji, walipata misku suko mingi sana baada ya kubadiri dini, walinyang'anywa mali, nyumba nk but wapo hadi leo. Bila uongo, na fitina huwezi sambaza dini yenu. Ukisha nitaleta ushihidi mwingi kuhusu hili
Niliandika tangu mwanzo.kama hukuona angalia tena.Kwamba hakuna mtu mwenye kuujuwa uislamu kweli akabadili dini kuwa mkristo.Na anayefanya hivyo akijinasibu kuwa alikuwa muislamu basi huwa ni mwenye njaa,mroho na mlafi.Yule aliyekulia uisaslmu kweli kama mimi huwa tunakufa njaa lakini hatuji kwenye dini yenu kwani hakuna cha maana cha kutuweka huko na kuna masuala yenye mkanganyiko sana kuliko yenye kuleta matumaini.
Kuhusu Suleiman Rushdie kama alikuwa muislamu sana halafu akaandika kitabu chake lete ushahidi.Pia huna uhakika na nani waliovunja mabucha na kwamba walikuwa ni watoto wa masheikh halafu wakabadili dini wakawa wachungaji.Tukio zima la uvunjaji wa mabucha ya nguruwe ni wa uchochezi na kujaribu kutafuta visingizio kwa viongozi wa imani yako kuwaponda ponda waislamu baada ya kushindwa hoja kutetea imani ya kikristo.Ukisikia kulikuwa na watoto wa masheikh huwa ni watoto wenu wenyewe mliowatayarisha kwa kazi maalum.
 
Waelimishe waislamu wafanyeje ili kujikwamua hapa sasa hivi walipo, sio kuwajaza chuki kwa mambo yaliyopita ambayo hayarekebishiki, wewe ni mchochezi mkubwa wa chuki, kwa iyo unataka waislamu wabebe mapanga wawakate waliowadhulumu, kuwa na busara hata kidogo
uko sahihi kitabu hicho kinawafanya waislamu kuwa watumwa wa historia badala ya kuwaelekeza wafanyaje kujitoa,,mfano mwamko wa elimu maeneo ya waislamu uko chini ,mno ukilinganisha na maeneo ya wakristo.Waislamu wengi majority elimu yao ya msingi wengi mwisho wao form four.FORM six ni wa kuhesabu .VYUONI NDIO KABISA waweza wakariri hadi majina wachache mno .ukiona wapo basi walau huwa ni wapemba ndio angalau kidogo kwa waislamu ndio hupenda shule japo nao wa kuhesabu
 
Niliandika tangu mwanzo.kama hukuona angalia tena.Kwamba hakuna mtu mwenye kuujuwa uislamu kweli akabadili dini kuwa mkristo.Na anayefanya hivyo akijinasibu kuwa alikuwa muislamu basi huwa ni mwenye njaa,mroho na mlafi.Yule aliyekulia uisaslmu kweli kama mimi huwa tunakufa njaa lakini hatuji kwenye dini yenu kwani hakuna cha maana cha kutuweka huko na kuna masuala yenye mkanganyiko sana kuliko yenye kuleta matumaini.
Kuhusu Suleiman Rushdie kama alikuwa muislamu sana halafu akaandika kitabu chake lete ushahidi.Pia huna uhakika na nani waliovunja mabucha na kwamba walikuwa ni watoto wa masheikh halafu wakabadili dini wakawa wachungaji.Tukio zima la uvunjaji wa mabucha ya nguruwe ni wa uchochezi na kujaribu kutafuta visingizio kwa viongozi wa imani yako kuwaponda ponda waislamu baada ya kushindwa hoja kutetea imani ya kikristo.Ukisikia kulikuwa na watoto wa masheikh huwa ni watoto wenu wenyewe mliowatayarisha kwa kazi maalum.
Sibuni mkuu, ninajua ninacho kisema, nawajua hadi majina yao hao walivunja mabucha ya nyama za nguruwe, namfahamu hadi WAKILI Msomi aliyekua anawatetea kwenye ile kesi pale Kisutu miaka 90 mwanzoni. Hivi unamjua kijana aliye anzisha kile kikundi cha mahubiri ya "YESU NI MUNGU" ni nani? na alikua na elimu gani ya dini na alikua mtoto wa nani? Na hapo Dar alikua kijana wa sheikh nani? Hujui kitu, hujakutana na Yesu bado; kwa ufupi nayajua mengi sana kuhusu Uislamu, sipendi kuyaandika hapa maanake nyie huaga mna hasira sana akitwaja marehemu Mudi. Ngoja niishie hapa kwanza
 
Hatuzijui hizo reviews, ndiyo! Ziweke hapa tuzisome, pamoja na hivyo vitabu vingine vyote unavyodai vimekubalika hadi Oxford na Harvard . Navyokujua hata chupa za Coca Cola zenye majina yako hukawii kupiga picha na kubandika humu sembuse scans za own book reviews?
Mkuu, nimecheka sana, imebidi niende kwenye uzi wake nione hiyo picha ya avator yake, kweli kaweka picha ya Coca Cola. Haa ha haha, halafu anashindwa kutuwekea hayo majarida yalionukuu HOJA zke huko kwenye vyuo "bora". Anyway, back to the topic; kujua kama Nyerere ndiye aliyewadidimiza Waislamu au la ni hivi, kwanini majarida yake huyu mzee anayapeleka kwenye vyuo vya nchi ambazo waislamu wengi wanadai ni za Kikristo badala ya kupeleka kwenye vyuo vya nchi za Kiislamu? Jibu lake ni rahisi tu, huko Uislamuni hawaheshimu elimu na ndicho walicho kiambukiza hadi huku kwa wamatumbi, na wenyewe hawapendi elimu halafu wanakuja kuilamu serikali kwa uzembe wao wenyewe. Gadafi pamoja na kutoa elimu bure kwa Walibya, je ni Walibywa wangapi walioamua kwa moyo mmoja kuwapeleka watoto wao shule? Juzi kati hapa nimeona kwenye taarifa ya habari ITV kwamba wanafunzi 17000 kule Lindi (Lindi ni miongoni mwa mikoa yenye waislamu wengi) wamegoma kuripoti shule/sekondari. Hapa na penyewe tuilamu serikali? Huwezi kuusambaza uislamu bila kueneza CHUKI, huwezi. Uislamu na chuki pamoja na fitina ni mapacha.
 
Back
Top Bottom