Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da Vinci,Mzee ni muda wa kustafu sasa... Waachie ambao kidogo umri unaruhusu
Sajasojo,Lengo La kitabu chako hicho ni nini? Ni faida gani msomaji wako anaipata kwa kukisoma hicho kitabu
Kama wewe huzijui dhuluma zilizoratibiwa kitaasisi zilizokuwa zinafanywa dhidi ya wakristo wakati wa JK, basi unapoteza mamlaka ya kuzungumzia malalamiko dhidi ya waislamu.Sooth,
Kitabu changu kinaeleza changamoto za uhuru na miaka 25 baada yake.
Ikiwa kuna dhulma kazifanya Rais Kikwete tafadhali zieleze hapa tuzifahamu.
Sooth,Hiki kitabu kina tofauti gani na cha Prof. Njozi "Mwembechai Killings"? Mada zile zile, vyanzo vilevile, ila majina tofauti.
Shekh wangu @Mohaded SaidDa Vinci,
Napenda kusoma na kuandika toka udogo wangu.
Kazi nimestaafu napumzika lakini siwezi kustaafu kusoma, kuandika na kufikiri.
Hivi hutumii misuli.
Ingekuwa ni kazi ya misuli nadhani siku nyingi ningekuwa nje ya ulingo.
Au unakereka na kalamu yangu?
Kama hata wewe mwandishi hujui tafasiri ya kava la kitabu hiki basi ni hatari zaidi yaliyoandikwa humo!Rusumo,
Kuna mtu kaniuliza tafsiri ya hiyo cover.
Mimi sijui kwani usanifu wa cover kafanya publisher.
Nitamuuliza In Shaa Allah.
Kitabu hiki muombe mtu akununulie hapa Dar es Salaam.
Unaishi maeneo yapi?Naomba nikipate hiki kitabu kesho,
Sina nafasi ya kufika huko mtaa wa manyema vipi uwezekano upo ?
Mhadzabe,Kama hata wewe mwandishi hujui tafasiri ya kava la kitabu hiki basi ni hatari zaidi yaliyoandikwa humo!
Naomba uninunulie unitumie nipe mawasiliano yako nikurudishie hela utakayotumia!
Hahahaha hahahaaMhadzabe,
Kweli cover sijui mimi najua kutafiti na kuandika lakini usanifu wa cover sina utaalamu.