Kitakachoibeba Yanga tarehe 16 OKtoba ni uzoefu na kujiamini

Nilivyoanza kusoma nilijua uliwahi kuwatoa Al ahly kumbe ulitolewa wewe mara mbili kwa taarifa yako Sasa Ile timu ya Cairo haijawah kutumia nguvu kubwa kwenye hatua Kama hizi ndo maana unaona weekend iliyoisha alishinda goli moja tu ugenini huku mamelod sundowns akiwapiga watu goli 7 kwa zero yule akifika robo ndo huwa Hana masihara Ila huku unaweza ukampga lkn kumtoa huwezi.

Kwa taarifa yako hapo unapoenda keshokutwa kupindua meza hata Al ahly mwenyewe ushindi Wake pale huwa Ni sare hata mwaka Jana aliambulia sare wewe nenda Na historia yako
 
Ahmed ally alisema hapa ligi iliyoisha ni dhaifu na hatimae tukaona bingwa dhaifu huko caf champions league
 
Unaongelea 2014 njoo tuwafundishe mpira umebadilika
 
Sasa kama chama lenu la ushindi mbona hofu zimewajaa sana kuelekea jumapili? Maana mmevurugana huku mitani sio kipole pole
 
Tatizo lenu mnaiwaza sana Simba SC alafu huku wao hawana mda na hao utopolo
 
Ahmed ally alisema hapa ligi iliyoisha ni dhaifu na hatimae tukaona bingwa dhaifu huko caf champions league
sasa kama bigwa ni dhaifu hao walobaki si ndo mi fo fo fo kabisa
 
Al Ahly katoa sare kwa sababu hana Mayele, wala Fei toto, wala Morrison wala Aziz k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ