Uchaguzi 2020 Kitakachombeba Tundu Lissu uchaguzi 2020

Uchaguzi 2020 Kitakachombeba Tundu Lissu uchaguzi 2020

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Hamna mtu atachagua dhalimu muuaji.
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Mitano tena mi shida[emoji16]
 
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka

Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
mzembe ni anaekula kwa kusifia
 
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka

Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kipenzi cha watanzania wepi? Wale waliomuacha solemba pale Mkapa?
Hebu acheni kujivika upofu kama mazuzu vile!
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Lissu ameweza kuwin support ya umma wa watanzania kwa 80%
Ila anachokosa Lissu ni support ya vyombo vya dola
Tiss
Jwtz
Police force
Prison service.

Akiweza kupata support pande hizo, Magufuli imekula kwake mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu ameweza kuwin support ya umma wa watanzania kwa 80%
Ila anachokosa Lissu ni support ya vyombo vya dola
Tiss
Jwtz
Police force
Prison service.

Akiweza kupata support pande hizo, Magufuli imekula kwake mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
Wa chini wanaunga mabadiliko coz sio wanufaika Kama mabosi zao.Kuwategemea hao awatabiliki
 
Kwa heshima ya ndungulile upinzani wamwachie Jimbo la kigamboni Kama zawadi ya kuwafurahisha watz kwa kumkata mkia nyoka, kichwa kitapondwa October. Mkia is a source of evil ukiungana na kichwa
 
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka

Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Hivi unaweza kuniambia usaliti wa Lisu ni upi? Jaribu kunishawishi labda naweza kubadili mawazo kwa kumpigia kura Magufuli.
 
Waziri mtarajiwa wa UFIPA keshafuzu chuo sasa yupo anafanyia majaribio kwangu -/+.

KARIBU SANA KIJANA.
Maskini Madam polepole ameumbuka leo kule twitter
EkDk8YLXcAIvtwa.jpeg.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
WE BINTI JPM NI WA MOTO KWA MAISHA YA MMOJAMOJA.

Ila TUNDU LISSU ni kifo kwa TAIFA akili anayo ila BUSARA NA HEKIMA 0.1℅
Maji ,Umeme ,babaraba,mahospitali na elimu haya ni mahitaji ya lazima ya wananchi na ni kila serikali lazima iyafanye. ndiyo maana inakusanya kodi na infact hizo ni huduma tunazijenga kwa kodi zetu.

So MaCCM mfundisheni MEko fool kuwa hizo siyo agenda za kuja kutuhubiria kwenye mikutano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Kitambeba wapi mkuu?
 
Maji ,Umeme ,babaraba,mahospitali na elimu haya ni mahitaji ya lazima ya wananchi na ni kila serikali lazima iyafanye. ndiyo maana inakusanya kodi na infact hizo ni huduma tunazijenga kwa kodi zetu.

So MaCCM mfundisheni MEko fool kuwa hizo siyo agenda za kuja kutuhubiria kwenye mikutano

Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi uliopo ni kuwa hata LISSU anahubiri alichofanya JPM KIMAENDELEO.

Kwa njia HASI na inadhiirisha alicho nacho Moyoni mwake ni chuki tu.

Kitu kizuri hawezi ificha hiyo chuki.
 
Upuuzi uliopo ni kuwa hata LISSU anahubiri alichofanya JPM KIMAENDELEO.

Kwa njia HASI na inadhiirisha alicho nacho Moyoni mwake ni chuki tu.

Kitu kizuri hawezi ificha hiyo chuki.
MaCCM maguvu yote mliyonayo mwaka huu kampeni zimewashinda!
Si mlisema mwaka huu uchaguzi ni rahisi mno yaani hakuna haja ya kumpigia kamleni Meko! Imekuwaja sasa? Mgombea wenu yule Meko fool kapata pancha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom