Kitakachotokea Jumamosi baada ya gemu ya Yanga vs Al Hilal kuisha

Kitakachotokea Jumamosi baada ya gemu ya Yanga vs Al Hilal kuisha

Gemu ikiisha, yafuatayo yataibuka.

  1. Kocha Nabi hana uwezo.
  2. Morriso tumepigwa.
  3. Aziz Ki hamna kitu.
  4. Yannick Bangala ashakuwa mzee.
  5. Hamasa nyingi timu haina kitu.
  6. Marefa wa kibongo wametulemaza.
  7. Tumeshatolewa mapema kwenye makundi.
  8. GSM tuachie timu yetu.
  9. Hasira zetu tutamalizia kwa Simba oktoba 23.
  10. Tuisila Kisinda amebaki kukimbia tu, hamna kitu.
Hayo kamwambie mkeo
 
Gemu ikiisha, yafuatayo yataibuka.

  1. Kocha Nabi hana uwezo.
  2. Morriso tumepigwa.
  3. Aziz Ki hamna kitu.
  4. Yannick Bangala ashakuwa mzee.
  5. Hamasa nyingi timu haina kitu.
  6. Marefa wa kibongo wametulemaza.
  7. Tumeshatolewa mapema kwenye makundi.
  8. GSM tuachie timu yetu.
  9. Hasira zetu tutamalizia kwa Simba oktoba 23.
  10. Tuisila Kisinda amebaki kukimbia tu, hamna kitu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Gemu ikiisha, yafuatayo yataibuka.

  1. Kocha Nabi hana uwezo.
  2. Morriso tumepigwa.
  3. Aziz Ki hamna kitu.
  4. Yannick Bangala ashakuwa mzee.
  5. Hamasa nyingi timu haina kitu.
  6. Marefa wa kibongo wametulemaza.
  7. Tumeshatolewa mapema kwenye makundi.
  8. GSM tuachie timu yetu.
  9. Hasira zetu tutamalizia kwa Simba oktoba 23.
  10. Tuisila Kisinda amebaki kukimbia tu, hamna kitu.
Dah!..wajukuu wa sheikh Yahaya mmeshaanza tabiri.
 
Gemu ikiisha, yafuatayo yataibuka.

  1. Kocha Nabi hana uwezo.
  2. Morriso tumepigwa.
  3. Aziz Ki hamna kitu.
  4. Yannick Bangala ashakuwa mzee.
  5. Hamasa nyingi timu haina kitu.
  6. Marefa wa kibongo wametulemaza.
  7. Tumeshatolewa mapema kwenye makundi.
  8. GSM tuachie timu yetu.
  9. Hasira zetu tutamalizia kwa Simba oktoba 23.
  10. Tuisila Kisinda amebaki kukimbia tu, hamna kitu.
Taahira katika ubora wa lenyewe! Mbumbumbu FC!
 
Ibenge ameahatua..amevaa kapelo ya kijeshi..kazi kazi
 
Tutawafunga na kuwatoa huko huko kwao kwani hapa wameshindaje
 
Kutishia kuchoma moto nyumba ya mtu, ni uhalifu huo! Hata kama walikuwa ni mashabiki/wanachama! Hicho kitendo ni jinai, kama zilivyo jinai nyingine.
Ndiyo nilikushangaa kuwaona mashabiki wa Yanga ni malaika,rejea post #23
 
Gemu ikiisha, yafuatayo yataibuka.

  1. Kocha Nabi hana uwezo.
  2. Morriso tumepigwa.
  3. Aziz Ki hamna kitu.
  4. Yannick Bangala ashakuwa mzee.
  5. Hamasa nyingi timu haina kitu.
  6. Marefa wa kibongo wametulemaza.
  7. Tumeshatolewa mapema kwenye makundi.
  8. GSM tuachie timu yetu.
  9. Hasira zetu tutamalizia kwa Simba oktoba 23.
  10. Tuisila Kisinda amebaki kukimbia tu, hamna kitu.
Hoja zote ni nzito umetisha sana.

6 na 9 nimezielewa zaidi ya sana.
 
Ongeza na.

Israel mwenda anapiga back pass tu.

Inonga anacheza na jukwaa.

Sakho hamna kitu.

Marefa wanazingua tu.

Okwa mfupi sana tatizo.
Timu haina management nzuri, wachezaji hawana hamasa
 
Back
Top Bottom