Kitakachotokea Jumamosi baada ya gemu ya Yanga vs Al Hilal kuisha

Hayo kamwambie mkeo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dah!..wajukuu wa sheikh Yahaya mmeshaanza tabiri.
 
Taahira katika ubora wa lenyewe! Mbumbumbu FC!
 
Ibenge ameahatua..amevaa kapelo ya kijeshi..kazi kazi
 
Tutawafunga na kuwatoa huko huko kwao kwani hapa wameshindaje
 
Kutishia kuchoma moto nyumba ya mtu, ni uhalifu huo! Hata kama walikuwa ni mashabiki/wanachama! Hicho kitendo ni jinai, kama zilivyo jinai nyingine.
Ndiyo nilikushangaa kuwaona mashabiki wa Yanga ni malaika,rejea post #23
 
Hoja zote ni nzito umetisha sana.

6 na 9 nimezielewa zaidi ya sana.
 
Ongeza na.

Israel mwenda anapiga back pass tu.

Inonga anacheza na jukwaa.

Sakho hamna kitu.

Marefa wanazingua tu.

Okwa mfupi sana tatizo.
Timu haina management nzuri, wachezaji hawana hamasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…