fenestra rotunda
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 608
- 614
Ni wazi sasa kuwa nguvu kubwa imewekwa kwenye Urais huku Ubunge na Udiwani ukiwekwa pembeni. Hili linadhihirishwa kwa jinsi matatizo ya kuenguliwa wagombea yalivyoshughulikiwa mpaka dakika ya mwisho, na vile muda wa kukata rufaa umeshaisha tayari.
Bila kuwapa support hao wagombea waliopata matatizo ni Serikali gani unaenda kuiunda? Hata ukishinda si wabunge wa chama tawala kwa idadi yao wanaweza kukupigia kura ya kutokuwa na imani na wewe na wakakutoa mapema chomboni na hivyo kukuharibia.
Kwa Uchaguzi ulivyo ni kama vile tume wanamjua mshindi, kama tuu wagombea kuenguliwa imeisha kimyakimya hivyo basi tutegemee hata kwenye matokeo ya urais mambo watakuwa hivyo hivyo na hata hiyo nguvu ya kuwekeza kwenye taasisi ya urais ikawa effortless na mkajikuta mnapoteza kotekote.
Pia, hiyo nguvu ya umma inayotegemewa kuleta haki kwenye kutangaza matokeo ya urais sio kitu cha kutegemewa saaana maana watz ni waoga ingawa hawatabiriki,kwa hiyo ni 50/50. Hii ni kwa sababu kama nguvu hii ingekuwa vivid basi walioenguliwa wote wangerudishwa.
Ni bora upinzani ungekomaa na ubunge na udiwani kwa kuwa hawa wakipita kwa wingi wanaweza leta mabadiliko hasa ya kutafuta katiba mpya na tume huru. Urais pia wangeweka nguvu ila sio kuhamisha nguvu zote huko kana kwamba tume ipo huru na italeta ushindi mezani.
Bila kuwapa support hao wagombea waliopata matatizo ni Serikali gani unaenda kuiunda? Hata ukishinda si wabunge wa chama tawala kwa idadi yao wanaweza kukupigia kura ya kutokuwa na imani na wewe na wakakutoa mapema chomboni na hivyo kukuharibia.
Kwa Uchaguzi ulivyo ni kama vile tume wanamjua mshindi, kama tuu wagombea kuenguliwa imeisha kimyakimya hivyo basi tutegemee hata kwenye matokeo ya urais mambo watakuwa hivyo hivyo na hata hiyo nguvu ya kuwekeza kwenye taasisi ya urais ikawa effortless na mkajikuta mnapoteza kotekote.
Pia, hiyo nguvu ya umma inayotegemewa kuleta haki kwenye kutangaza matokeo ya urais sio kitu cha kutegemewa saaana maana watz ni waoga ingawa hawatabiriki,kwa hiyo ni 50/50. Hii ni kwa sababu kama nguvu hii ingekuwa vivid basi walioenguliwa wote wangerudishwa.
Ni bora upinzani ungekomaa na ubunge na udiwani kwa kuwa hawa wakipita kwa wingi wanaweza leta mabadiliko hasa ya kutafuta katiba mpya na tume huru. Urais pia wangeweka nguvu ila sio kuhamisha nguvu zote huko kana kwamba tume ipo huru na italeta ushindi mezani.