Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Sinza ipo nchini Palestina na Vatican haino worry ni Mori.sinza ni wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinza ipo nchini Palestina na Vatican haino worry ni Mori.sinza ni wapi
You must accept the uniqueness of individuals
Kama hizo hela zipo tafuta wachugaji ukawape sadaka, wewe hauzihitaji kwani bado kijana.hela ziko nakuja na 1million tzs
[emoji1]
😁😁Akawahadithie wana lupaso kuwa alivokuja dar alikula pisi kaLi kishenziiiiUkinunua vinywaji vya Tsh.970,000/= unabaki na "thelatha"!Inakutosha nauli ya kurudia Kinampanda!
😂😂😂😂😂😂😂😂... JESCA KIKUMBI NIMEKUITA KWA HERUFI KUBWA, NAKUAMURU UFUNGE BAR ZAKO HIZO, ona vijana wanaparurana, eti kurudi kinampanda 😂😂😂 mpaka afike njiapanda ya kitusha atakuwa amebak na jero 😂😂😂😂😂😂,Ukinunua vinywaji vya Tsh.970,000/= unabaki na "thelatha"!Inakutosha nauli ya kurudia Kinampanda!
😂😂😂😂 Kwan kamanda anatokea kishumundu? Watamwibia malaya wa sinza hawana huruma😁😁Akawahadithie wana lupaso kuwa alivokuja dar alikula pisi kaLi kishenziiii
Mamdogo, je kama yeye anataka mashoga..!!Nenda zako ya sinza tabata wanajaa mashoga hautaenjoy
Hili nalo la kutazamwa.Maana kaanzia mbali maswali yake.Mamdogo, je kama yeye anataka mashoga..!!
Na kweli, maana kama ni kusifika, hata kwa Mwingira, Mwamposa na kule Kawe kunasifika..!! Kama ni kufuata kunakosifika angeenda hata kwa wachungaji.Hili nalo la kutazamwa.Maana kaanzia mbali maswali yake.
Tuelewesheni sisi watu wa Butakya, Kyampisi na Mugajware, hao machoko (mapapai) mabasha wanawabaishia wapi??Muziki, pombe, malaya, mashoga
Popote pale kwenye lodge huku wanaangalia hela yako tu. Cha muhimu msichafue mashuka yao na mboleaTuelewesheni sisi watu wa Butakya, Kyampisi na Mugajware, hao machoko (mapapai) mabasha wanawabaishia wapi??
Huku kwetu kuna sheria, wanaume wawili chumba kimoja hairuhusiwi
Kama na sinza hupafahamu we nenda tu "kibanda maiti"sinza ni wapi
sitaki mashogaMamdogo, je kama yeye anataka mashoga..!!
Mmmmmmmmae zenu watu wa Dar!! Kwahiyo polisi hawajua au wanaona poa?? KPopote pale kwenye lodge huku wanaangalia hela yako tu. Cha muhimu msichafue mashuka yao na mbolea
Hakuna anayefuatiliaMmmmmmmmae zenu watu wa Dar!! Kwahiyo polisi hawajua au wanaona poa?? K