Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda zako ya sinza tabata wanajaa mashoga hautaenjoyBaa ya ktambaa cheupe iko sehemu gani tanzania nataka kuenda huko.Nini kizuri kwa hii baa imesifiwana .Jee ni danguro
Wabongo nyoso sana hapo watamuitia hadi machokoWabongo bana
Ova
hela ziko nakuja na 1million tzsSinza na tabata
ila nahisi unayoitaka ww iko sinza ila je hela unayo au unaenda mwendo wa ngiri meno nje
sitaki mashogaNenda zako ya sinza tabata wanajaa mashoga hautaenjoy
Nenda ya sinzasitaki mashoga
Ya sinza pia wanajaa malaya nako hakufai....Nenda zako ya sinza tabata wanajaa mashoga hautaenjoy
Bora sinza ukiwa na hamsini zako wala sio shidaYa sinza pia wanajaa malaya nako hakufai....
Ukinunua vinywaji vya Tsh.970,000/= unabaki na "thelatha"!Inakutosha nauli ya kurudia Kinampanda!hela ziko nakuja na 1million tzs
Muziki, pombe, malaya, mashogaBaa ya ktambaa cheupe iko sehemu gani tanzania nataka kuenda huko.Nini kizuri kwa hii baa imesifiwana .Jee ni danguro
Atachagua anataka niniMuziki, pombe, malaya, mashoga
Hapo ni juu yake kuchagua 😅Atachagua anataka nini
Ungemtahadharisha pia kuna matapeli,chawa wa muda na wezi.Asisahau hayo.Muziki, pombe, malaya, mashoga
sinza ni wapiNenda ya sinza