mwanangoko
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 136
- 23
Ninashangaa mpaka karne hii ya 21,sisi wanaume wa kitanzania bado tunahusudu VITAMBI.
Kwa wenzetu wa maghaharibi,ni laziness na wanaamini kwamba kitambi ni dalili ya magonjwa kama kisukari,blood pleasure,hata kansa vile vile.
Hata wanawake wa kimagharibi,wanaweza kukukataa kama una kitambi.Bongo kwa ajili ya umaskini wanawake wetu wako OK,so long una pesa au title tu.Hapa kwetu Polisi,Waziri,profesa etc ni ok tu kuwa na kitambi,nothing bothers you.
Check pic hii
Kwa wenzetu wa maghaharibi,ni laziness na wanaamini kwamba kitambi ni dalili ya magonjwa kama kisukari,blood pleasure,hata kansa vile vile.
Hata wanawake wa kimagharibi,wanaweza kukukataa kama una kitambi.Bongo kwa ajili ya umaskini wanawake wetu wako OK,so long una pesa au title tu.Hapa kwetu Polisi,Waziri,profesa etc ni ok tu kuwa na kitambi,nothing bothers you.
Check pic hii










