Kitambi na mwanaume wa Kitanzania

Kitambi na mwanaume wa Kitanzania

Hapo juu kwenye picha's, bia ya savanna inahusika? castle lite, Heineken je?
 
Sasa wewe unataka kutukanwa na watanzania wenzako, yaani unadhalilisha black americans wakati wenzako wanaona ujiko kufananishwa nao hapa Bongo? Mtu kama huyo Rick Ross hapa Tanzania ni mwisho, yaani popularity yake ya kunuka mdomo na kuwa na kitambi cha kijinga inashinda hata Kikwete na chama chake. Ukimuuliza kwanini wewe unanuka mdomo na kuwa na mtambi kama kifaru anakujibu, 'Uhhh?'

kweli wewe jamaa mbishi..........
 
Sasa wewe unataka kutukanwa na watanzania wenzako, yaani unadhalilisha black americans wakati wenzako wanaona ujiko kufananishwa nao hapa Bongo? Mtu kama huyo Rick Ross hapa Tanzania ni mwisho, yaani popularity yake ya kunuka mdomo na kuwa na kitambi cha kijinga inashinda hata Kikwete na chama chake. Ukimuuliza kwanini wewe unanuka mdomo na kuwa na mtambi kama kifaru anakujibu, 'Uhhh?'

Rick Ross is a jerk!!
 
SHERRIF ARPAIO umenifanya leo lazima nikanunue pizza na cake uwiiii
 
Last edited by a moderator:
  • Je nini kifanyike kwa ambao wamejitambua na hawataki kuendelea kuwa na kitambi?
Acheni zenu kitambi kibongobongo ni dalili ya kuridhika na maisha....uwezi ukamkuta makabwela hapa bongo wanavitambi na inakupa confidence hata kama unapresent kitu fulani kwa wadau..wanakupa cheers tu ukilinganisha na chikonda...
 
kiukweli mimi ninacho na sio mvivu. napiga kazi haswaa. sikitaki lakini kipo tu. nishaurini basi nifanyeje?

Simple.. Chakula unachokula ni kingi kuliko unachotumia.. Badili mlo wako punguza wanga na mafuta ongeza mboga za majani na matunda na maji kwa wingi
 
Back
Top Bottom