masanzakona
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 228
- 121
Hapo juu kwenye picha's, bia ya savanna inahusika? castle lite, Heineken je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe unataka kutukanwa na watanzania wenzako, yaani unadhalilisha black americans wakati wenzako wanaona ujiko kufananishwa nao hapa Bongo? Mtu kama huyo Rick Ross hapa Tanzania ni mwisho, yaani popularity yake ya kunuka mdomo na kuwa na kitambi cha kijinga inashinda hata Kikwete na chama chake. Ukimuuliza kwanini wewe unanuka mdomo na kuwa na mtambi kama kifaru anakujibu, 'Uhhh?'
Sasa wewe unataka kutukanwa na watanzania wenzako, yaani unadhalilisha black americans wakati wenzako wanaona ujiko kufananishwa nao hapa Bongo? Mtu kama huyo Rick Ross hapa Tanzania ni mwisho, yaani popularity yake ya kunuka mdomo na kuwa na kitambi cha kijinga inashinda hata Kikwete na chama chake. Ukimuuliza kwanini wewe unanuka mdomo na kuwa na mtambi kama kifaru anakujibu, 'Uhhh?'
Rick Ross is a jerk!!
Ohoooo, wanakuja wanna bees kukutukana hivi punde tu.
Acheni zenu kitambi kibongobongo ni dalili ya kuridhika na maisha....uwezi ukamkuta makabwela hapa bongo wanavitambi na inakupa confidence hata kama unapresent kitu fulani kwa wadau..wanakupa cheers tu ukilinganisha na chikonda...
- Je nini kifanyike kwa ambao wamejitambua na hawataki kuendelea kuwa na kitambi?
mmmmmmh kawaida tu mbona, maana hata watoto wadogo wa miaka miwili wana vitambi....
kiukweli mimi ninacho na sio mvivu. napiga kazi haswaa. sikitaki lakini kipo tu. nishaurini basi nifanyeje?