Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana

Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana

new gal

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,593
Reaction score
2,988
Kitambo sijakuwepo jukwaani.

Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.

2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
 
Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu. 2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
njoo kwangu sasa nikupe utu na utulivu
 
Kitambo sijakuwepo jukwaani.

Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.

2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
Hongera sana. Kwa sasa una mahusiano mengine au upo singo?
 
Kitambo sijakuwepo jukwaani.

Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.

2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
Mungu akupe amani,furaha na mwenza mwenye hekima
 
Back
Top Bottom