njoo kwangu sasa nikupe utu na utulivuKitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu. 2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
njoo kwangu sasa nikupe utu na utulivu
Hongera sana. Kwa sasa una mahusiano mengine au upo singo?Kitambo sijakuwepo jukwaani.
Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.
2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
kama ungelikuwa mwanafunzi ungafaulu kwa kujua kukaririYale yale
Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.
Mtoto Nimetongoza Miaka Mitatu Nanilia Buyu Ngoja Tuone Naweza Tangaza Ndoa Na Huyu Mrembo Mwaka Huu.tangazo limenyooka hili..[emoji38]
Mungu akupe amani,furaha na mwenza mwenye hekimaKitambo sijakuwepo jukwaani.
Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu.
2024 ni mwaka mzuri sana najisikia huru nina amani kupita maelezo. Niseme asante kwenu[emoji7]
Hongera sana. Kwa sasa una mahusiano mengine au upo singo?
Basi Uwe Mwaka Wetu Maana Bado Nakusubiri Unijibu Mama.
Karibu Tena Jf Na Imani Mzima Wa Afya.
tangazo limenyooka hili..[emoji38]
acha shobo
Futa kichwa cha uzi uandike "Jamani eeh naomba mnitongoze"
Drop PM Tukayajenge VizuriKuna usajili unaendelea mkuu akishindwa ntakucheck
Ili ndoa yako au mahusiano yako yawe mazuri kama utakavyo, basi olewa au husiana na mmoja kati ya hawa wafuatao;Yale yale