Kitambulisho cha machinga kimetengenezwa kwa technology ya kisasa kabisa ya smart card na barcode

Kitambulisho cha machinga kimetengenezwa kwa technology ya kisasa kabisa ya smart card na barcode

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
 
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Upuuzi mtupu.
Mleta mada nadhani unazungumzia vitambulisho vya wajasiriamali wa kule Japan.
 
Bwana mdogo,

Hapa kijijini kwangu, ofisi ya mtendaji hakuna umeme, unatoa pesa unapewa kitambulisho.

Ninachofahamu mimi ili barcode ifanye kazi lazima kuwa na sort of database ambayo maelezo,picha n.k vya muhusika vinawekwa.

Sasa tuambieni database iko wapi ambayo barcode itascaniwa ili details zije?
 
Ukipenda chongo huitwa kengeza. Tulimwambia JPM hapa kuhusu haya yote toka day 1 amezindua vutambulisho.

Lakini kama kawaida yake hakutusikiliza. Sasa amepigwa spana ndo mnaanza kuhaha. Mara vinawapitia mikopo...na leo unakuja na upuuzi mwingine.

Hivi mnadhani watu wanadanganyika kirahisi namna hiyo? Hivi mnadhani watu wote ni washamba kama nyie. Tafadhali ungefuta tu huu uzi maana unazidi kumuweka mahali pabaya JPM
 
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa

Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Usicho kijua kwanza lazima ujue kazi ya barcode ni nini pili ukiita smart card maana yake nini na inakuwaje. Kitambulisho chochote huwa kinatengenezwa na papo hapo kinaingizwa details za mhusika, kinaweza kuwa scanned na kupata details za mhusika, sasa iyo technology unayoisema sinaielewa, maana uzaifu ni kwamba kitambulisho kinatengenezwa halafu anatafutwa nani atapewa kitambulisho hicho kwa maana nyingine ni kitupu hakina details zozote za mtu aliye kibeba ni kitupu. natumai umeelewa
 
Eti Maccm hayataki TunduALissu alale Chato, yaani ni hivi mtake msitake leo TL atalala chato, nyie si mnajikuta watalaam wa kutoa roho za watu basi jaribuni leo muone, nyambafuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa ni mjinga kabisa

Kile kitambulisho fake kabisa, ukienda stationary unaweza kutengeneza
Ndio unasema nini daa


Ccm imejaa majinga kweli kweli
Stationary watadurufu pvc cards na sio smart cards
 
Eti Maccm hayataki TunduALissu alale Chato, yaani ni hivi mtake msitake leo TL atalala chato, nyie si mnajikuta watalaam wa kutoa roho za watu basi jaribuni leo muone, nyambafuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Àmeshaondoka mkuu uwe na amani jeshi la polisi lilo imara na askari wake wameongezwa mshahara
 
Yaani nakuona unavojikamua mavi kutetea upumba.vu kama wewe mwenyewe 😀

National ID vipi mbona ina picha? Au hawajali usalama?
Vitambulisho vyote duniani na nje ya dunia vina picha ya mmiliki, kudai kuwa eti mtu atafoji picha ni hoja ya kijing.a kabisa. Kwaio Jina yale maandishi ya jina lako hayafojiki ila picha inafojika? Kichwa mchungwa kweli kweli
 
Bwana mdogo,

Hapa kijijini kwangu, ofisi ya mtendaji hakuna umeme, unatoa pesa unapewa kitambulisho.

Ninachofahamu mimi ili barcode ifanye kazi lazima kuwa na sort of database ambayo maelezo,picha n.k vya muhusika vinawekwa.

Sasa tuambieni database iko wapi ambayo barcode itascaniwa ili details zije?
Mleta mada naona ana usingizi, anachoeleza na uhalisia ni ardhi na mbingu!!
 
Back
Top Bottom