Kitambulisho cha machinga kimetengenezwa kwa technology ya kisasa kabisa ya smart card na barcode

Kitambulisho cha machinga kimetengenezwa kwa technology ya kisasa kabisa ya smart card na barcode

Mnazidi kujiaibisha kwa kuibia mnaowaita Wanyonge
Anaeibiwa ni nani, ni srikari au machinga?
Kwani kama hataki kuibiwa ana acha kisha akutane na mgambo aone faida yake au alipe 150 hadi 360 ambayo ni 500 au 1000 kisha apangiwe eneo na sio kuzurura.
Hao wanowashabikia ni wale ambao hawana vitambulisho au waliovhukua vya wenzao na hawajawahi kukutana na dholuba la mgambo.
 
Usicho kijua kwanza lazima ujue kazi ya barcode ni nini pili ukiita smart card maana yake nini na inakuwaje. Kitambulisho chochote huwa kinatengenezwa na papo hapo kinaingizwa details za mhusika, kinaweza kuwa scanned na kupata details za mhusika, sasa iyo technology unayoisema sinaielewa, maana uzaifu ni kwamba kitambulisho kinatengenezwa halafu anatafutwa nani atapewa kitambulisho hicho kwa maana nyingine ni kitupu hakina details zozote za mtu aliye kibeba ni kitupu. natumai umeelewa
Labda watendaji wa kati na vijiji walipewa mashine za kuingiza details,lakini mleta Post anasahau kuwa vilikuwa vinauzwa kama nyanya,tena unalelewa hata usiku ukiwa bar.
 
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Mkuu acha KUTUMIKA
 
Anaeibiwa ni nani, ni srikari au machinga?
Kwani kama hataki kuibiwa ana acha kisha akutane na mgambo aone faida yake au alipe 150 hadi 360 ambayo ni 500 au 1000 kisha apangiwe eneo na sio kuzurura.
Hao wanowashabikia ni wale ambao hawana vitambulisho au waliovhukua vya wenzao na hawajawahi kukutana na dholuba la mgambo.
Hata hao Mgambo ni zuluma tu mtaji wa elfu kumi na mbili mnataka elfu ishirini WIZI TU. LISSU TUKOMBOE!
 
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Weka copy tatu za hivyo vitambulisho, tuvi scan tuone majibu tutajayopata
 
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.

Ww unaishi ili ule.
 
Hata hao Mgambo ni zuluma tu mtaji wa elfu kumi na mbili mnataka elfu ishirini WIZI TU. LISSU TUKOMBOE!
Hakuna cah ukombozi hapo ni ulaghai tu.
Ebu fikilia mpango wake, eti atengeneze sehemu maalumu kisha awatoe juani, hiyo sehemu atakayo iandaa atatumia pesa au mawe?
Na je kamaatatumia pesa na wakaenda kukaa bure je hiyo pesa ya maandalio itarudije au atatoa yake mfukoni?
Pili, je atakapokuwa amewapeleka huko je wale watakaobaki mtaani juani kwa sababu hawhitaji kukaa sehemu moja atawkamata au atawaacha?
Kwa kuwa machinga anapenda kupanga sehemu yoyote anyoona inampa biashara je hao atapambana nao vipi? Nasema hivyo kwa kuwa machinga walipelekwa pale dar kwenye jengo lao wakatoka na kurudi kariakoo
Je huoni hapo anwadanganya ili waanze kupata kichapo upya kugukuzwa kama zamani?
 
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods hebu futeni huu uzi mnazidi kuichafua ccm,maana jamaa alichoandika hapo ni upuuzi.Swali langu amewahi kukiona hata kitambulisho kimaoja cha wamachinga?
 
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.

Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,

Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,

Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.

Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.

Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Kitambulisho hakina ubora wowote,vinapauka kama vimemwagiwa jiki....meko n ccm ni majizi wanaibia maskini na walalahoi.
Hii laana itawatesa milele
 
Back
Top Bottom