Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaeibiwa ni nani, ni srikari au machinga?Mnazidi kujiaibisha kwa kuibia mnaowaita Wanyonge
Labda watendaji wa kati na vijiji walipewa mashine za kuingiza details,lakini mleta Post anasahau kuwa vilikuwa vinauzwa kama nyanya,tena unalelewa hata usiku ukiwa bar.Usicho kijua kwanza lazima ujue kazi ya barcode ni nini pili ukiita smart card maana yake nini na inakuwaje. Kitambulisho chochote huwa kinatengenezwa na papo hapo kinaingizwa details za mhusika, kinaweza kuwa scanned na kupata details za mhusika, sasa iyo technology unayoisema sinaielewa, maana uzaifu ni kwamba kitambulisho kinatengenezwa halafu anatafutwa nani atapewa kitambulisho hicho kwa maana nyingine ni kitupu hakina details zozote za mtu aliye kibeba ni kitupu. natumai umeelewa
Upuuzi mtupu.
Mleta mada nadhani unazungumzia vitambulisho vya wajasiriamali wa kule Japan.
Wapenzi wa ccm ni mbumbumbu....Twaweza.Ccm imejaa majinga kweli kweli
Mkuu acha KUTUMIKANimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.
Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,
Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.
Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.
Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Hata hao Mgambo ni zuluma tu mtaji wa elfu kumi na mbili mnataka elfu ishirini WIZI TU. LISSU TUKOMBOE!Anaeibiwa ni nani, ni srikari au machinga?
Kwani kama hataki kuibiwa ana acha kisha akutane na mgambo aone faida yake au alipe 150 hadi 360 ambayo ni 500 au 1000 kisha apangiwe eneo na sio kuzurura.
Hao wanowashabikia ni wale ambao hawana vitambulisho au waliovhukua vya wenzao na hawajawahi kukutana na dholuba la mgambo.
Weka copy tatu za hivyo vitambulisho, tuvi scan tuone majibu tutajayopataNimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.
Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,
Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.
Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.
Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.
Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,
Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.
Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.
Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.
nawewe bujibuji kweli?Tusiwatukane Mama zao, tuwape mimba tusepe. Mianamke ya sisiemu ni kuitenda tu
Dawa ilikuwa kususia mkutano, sasa mkutano umejaa kuliko yote iliyofanywa na wagombea wengine hapo Chato halafu mnaenda kurusha mawe… ujue sometimes CCM mnakuwa mabata sana?Hivyo sio vitambulisho ni vipeperushi
Hakuna cah ukombozi hapo ni ulaghai tu.Hata hao Mgambo ni zuluma tu mtaji wa elfu kumi na mbili mnataka elfu ishirini WIZI TU. LISSU TUKOMBOE!
Kitambulisho hakina ubora wowote,vinapauka kama vimemwagiwa jiki....meko n ccm ni majizi wanaibia maskini na walalahoi.Nimemsikia Lissu akisema vitambulisho vya machinga havina hadhi na huwezi kuvitumika popote na havina picha wala sahihi, nipende kumsahihisha kidogo.
Vitambulisho vya machinga vimetengenezwa kwa technologia ya smart card na vinatumia visimbusi vya barcode hii ni technology ya kisasa kabisa duniani na inatumiwa na makampuni makubwa kama oracle mastercard chubb thomas cook travellers etc,
Kusema kuwa hakina picha ndio maana hakina thamani sio kweli, vitambulisho vya kisasa haviwekwi picha kwa sababu za kiusalama, kwa technology ya sasa mtu anaweza fanya cloning kwa kutumia picha yako na akatumia kufanya uhalifu na mambo ya sahihi yalishapitwa na wakati sasa hivi technology inayotumika ni finger print scanning,
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kufunga smart card readers na kufanya configuration sehemu za kutolea huduma za wamachinga, mfano akienda Bank afisa aki scan tu anapata mtaa naoishi umri wake na taarifa zote muhimu, hivyo ni rahisi kupata huduma ikiwemo mikopo, sasa hivi hadi afisa mikopo lazima amtembelee aulize na majirani kama wana mjua.
Kwa kutumia barcodes zilizoko kwenye vitambulisho zipo apps za simu zinazotumika kutoa huduma, hiki kitambulisho kinaweza tumika kufanya miamala ya fedha ya mpesa na tigopesa katika mfumo wa debit card, pia zinaweza tumika kama vibubu vya kutunzia fedha yaani electronic money transfers.
Kimsingi leseni za biashara zinatakiwa kuwa katika mfumo wa smart card na smart papers sio hivyo vitabu vya kizamani mtu anaweza durufu cha kwake akawa anagawa leseni za biashara na kukusanya pesa za wizi.