Kitambulisho cha machinga kimetengenezwa kwa technology ya kisasa kabisa ya smart card na barcode

Naamini jiwe anajuta kuanzisha hivyo vitambulisho amepiga hela lakini saiv vinamcost, wakati jiwe anafanya mambo yake Lissu alikuwa na karatasi na kalamu ana note down weaknes za jiwe sasa ndio kama ivyo wanapiga mawe, ccm walijitapa sana upinzan umekufa hakuna hoja ndege zimenunuliwa lakin sasa game imebadilika Lissu anaongoza 3 bila dakika ya 60
 
Kitambulisho hakina ubora wowote,vinapauka kama vimemwagiwa jiki....meko n ccm ni majizi wanaibia maskini na walalahoi.
Hii laana itawatesa milele
Lila technology Ina maboresho hata simu za samsung tumeanzia J1 Sasa hivi wako j12 nabado wanaboresha, hivyo vitambulisho vinaweza boreshwa pia
 
Kitambulisho hakina ubora wowote,vinapauka kama vimemwagiwa jiki....meko n ccm ni majizi wanaibia maskini na walalahoi.
Hii laana itawatesa milele
Lila technology Ina maboresho hata simu za samsung tumeanzia J1 Sasa hivi wako j12 nabado wanaboresha, hivyo vitambulisho vinaweza boreshwa pia
 
Sawa....nenda kakikope bank
Sasa

Ova
 
Uki scan pale Kwenye barcode zitakuja taarifa mbalimbali za mwenye kitambulisho ikiwa tu taarifa hizo ziliwekwa kabla.

Tuambie wewe lini na wapi uliona wakiweka taarifa hizo?
 
Kubwa jinga.
 
Pumbavu. Umekariri kikasuku jinga wewe. Huna added knowledge yeyote technologically uliotupa dhidi ya kauli weledi ya Lissu minajiri bank loan transactions. Shule mlienda kusomea ujinga? Hovyo. Kakojoe ulale.
 
Pumbavu. Umetumia 1/72 ya uwezo wa binadamu kufikiri. Hii ni sawa na 1.3% ya akili ya panya mfukua mabomu. Umemdhalilisha sana Muumba wako kwamba alikupa box badala ya kichwa. Hivyo, una kesi ya kujibu baada ya kifo chako. Nyau wewe.
 
Daah kweli hio ndio tech. Ya Smartcard?hiiiiiiiiiiiiiii.
 
Nimesoma comment inaonyesha mleta mada alikurupuka Kama mjinga asiyeelewa chochote
 
Achana na hao
Twende tu kakikope hela bank
Mbona izze tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…