INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

kayanda01

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,216
Reaction score
1,062
Salaamu wanaJF, na kheri ya mwaka mpya.

Nauza vitu vyangu vya ndani, kwa bei nafuu kabisa:

........................................................................
........................................................................


UPDATE ...

Tayari vitu vimeshanunuliwa, isipokuwa Dstv pekee ndo bado ipo.

Ahsanteni sana kwa ushirikiano wenu. Barikiwa wote.


Dstv set bado ipo:



Kwa anayehitaji, njoo PM.
 
Weka bei ya kimoja kimoja, kitanda pekee ni sh. ngapi?

Nikiweka bei in isolation, ni zaidi ya hiyo total. Nimefanya hivyo ili mwenye uwezo wa kuchukua vyote kwa pamoja afaidi hilo bonge la discount. S/he who buys in bulk, enjoys the bigger favour.

Okay, ngoja niweke Price tag for a single item.

Ahsante kwa ushauri.
 
TUPIA NAMBA YA SIMU
 
kuna story moja nimeisoma humu yamtu mmoja maarufu mpigaji wa deal akitumia mbinu nyingi sana,sasa kwa mbali naona 470,000 itamtokea mara 10 atakaye vinunu hivo vitu, nimewaza tu. siku hizi kuna sayansi ya biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…