INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

Yaani katika hali ya kawida hata kama vya wizi huwezi uza kwa bei hiyo labda atuambie alikuwa house maid kwa wazungu kule masaki wameondoka wamemwachia na hana sehemu ya kuviweka maana yake hana uchungu wala hasara navyo. Ila ninashaka na mmiliki labda atakaye nunua aombe risiti ya awali.

Mawazo ya kimasikini ni laana mbaya sana!
 
Apo ktk risit itakua mtihan sijuh Kama atakua nazo

Worry not Mkuu. Baadhi ya vitu risiti zipo, vingine risiti nishamissplace. Vitu vyote nilivinunua 2 years back. Mfano hiyo Dstv... risiti ipo, na dish lake bado lipo juu ya bati hata sijalishusha.

Hatufanyi mauziano ya kienyeji. Mnunuzi awe huru kuchagua tukaandikishane wapi... be it at Court, Local Gvt authority, or elsewhere deemed fit. Tutaanda a formal Sale Agreement, njoo na mwanasheria wako or shahidi to testify.

Ni mali zangu halali, na ninaziuza kwa hiari yangu mwenyewe. No longo longo wala ubabaishaji.

WHY naviuza... this is too personal. This remains within my discretion to disclose or not. cheers... have an enjoyable happier new year.
 
Atakayepigwa alete mrejesho jamani aibu haisaidii hata kama wamekuingiza mkenge
 
Atakayepigwa alete mrejesho jamani aibu haisaidii hata kama wamekuingiza mkenge

Na je asipopigwa, asilete mrejesho eeh? Mkuu stay worry-free kuhusu hili.
 
Duh people are not serious aisee...
Wadau wanaendelea kuPM na kupiga simu kuomba DISCOUNT!
Wengine wanauliza ''Dish nalo lina hali gani?''
Wengine wanaendelea kuuliza eti ''Sofa zipo mbili eeh?" LOL

Jamani ndugu zangu, nasisitiza tena HAKUNA discount. Bei ndiyo hiyo fixed, i.e Tsh 470,000 kwa vitu vyote kwa pamoja. For a serious buyer, karibu.

Pia nimeongezea PICHA ya dish hapo juu.

Wababaishaji keep off please.
 
kuna story moja nimeisoma humu yamtu mmoja maarufu mpigaji wa deal akitumia mbinu nyingi sana,sasa kwa mbali naona 470,000 itamtokea mara 10 atakaye vinunu hivo vitu, nimewaza tu. siku hizi kuna sayansi ya biashara
unaweza ukaambiwa vilipotea na landcruser v8 moja,fuso mbili,semi 3 sijui utavinyea wapi?saivi hata ukukuta 10,000 imedondoshwa usirogwe kuokota lasivyo utakiona cha mtema kuni
 
unaweza ukaambiwa vilipotea na landcruser v8 moja,fuso mbili,semi 3 sijui utavinyea wapi?saivi hata ukukuta 10,000 imedondoshwa usirogwe kuokota lasivyo utakiona cha mtema kuni

hahahaa eti ''hata ukikuta 10,000 imedondoshwa usirogwe kuokota'' lol mkuu umenichekesha.

Though everyone is entitled to his/her opinion, ila nadhani ni busara kuwakumbusha tu watu kwamba wawe CAREFUL & risk-conscious, na sio kutoa maoni yanayoconclude vinginevyo coz you are just talking from the air na hauna uhakika. If interested na unahitaji, karibu sana mkuu uje kucheki.

Uchawi sio mpaka ubebe matunguli na vikoba vya ndumba. Hata hiyo roho mbaya yako ni uchawi tosha. Acheni watu wenye uhitaji wa dhati waje kununua.

Happier new year
 
Yan mtu aibe ktu alaf Bado akitangaze ktk mitandao Labda ukute ajaiba yy
 
Back
Top Bottom