Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndo uyo apo kwenye profl?[emoji51]Ipo na ina jina lako..!!
Vipi umeuza ?Karibu,
Bei pungufu ngapi,
Mambo dada. Samahan kwa kuchelewa kujibu. Nina 180,000 kamili. Naweza kukupigia cm? Naongea ukweli pesa nilonayo.Karibu,
Bei pungufu ngapi,
Dah nimekielewa kweli.Bado mpendwa..
Ukiwa tayari kwa bei yangu uniambie kabla hela haijapata matumizi mengine baada ya leoBado mpendwa..
Usijali..!!Mambo dada. Samahan kwa kuchelewa kujibu. Nina 180,000 kamili. Naweza kukupigia cm? Naongea ukweli pesa nilonayo.
Ukweli nimeazima 200,000 kwa mtu, sasa 20,000 nataka nilipie usafiri kwa kitanda kukitoa huko Mbezi kuja hapa External
Kwanini unauza?Habari,
Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi,
Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K,
No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
View attachment 1705410View attachment 1705411View attachment 1705412
chukua180
Jamani, mwenyewe kasema ambaye yupo na cash mkononi sahii, apige simu chap amuelekeze kilipo akakichukue Leo Leo..!!Mambo dada. Samahan kwa kuchelewa kujibu. Nina 180,000 kamili. Naweza kukupigia cm? Naongea ukweli pesa nilonayo.
Ukweli nimeazima 200,000 kwa mtu, sasa 20,000 nataka nilipie usafiri kwa kitanda kukitoa huko Mbezi kuja hapa External
Ukiwa tayari kwa bei yangu uniambie kabla hela haijapata matumizi mengine baada ya leo
Nakuja nipo njiani. Bila shaka kitanda kinauzwa pamoja na bed sides kwa pamoja. Niko njiani, nilichelewa kutoka kibaruaniJamani, mwenyewe kasema ambaye yupo na cash mkononi sahii, apige simu chap amuelekeze kilipo akakichukue Leo Leo..!!
Na mie shughuli yangu itakuwa imetamati hapa..