financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Aah babe jitahidi basi Tununue hiki kizuri bana kuliko kile! Tupambane ๐Hiyo bei mama sitaweza kuimudu! Kile cha elfu 70 tu kinanitoa jasho mpaka muda huu! Sembuse hiki cha laki 2 na nusu!! Hiki ngoja tuwaachie wenye hela zao๐
Hahaa,jf mi5 tena!Kimeshauzwa? Nna laki tano mfuko wa shati
Wewe ndiyo huyo kwenye profile.?
Aah babe jitahidi basi Tununue hiki kizuri bana kuliko kile! Tupambane [emoji3]
Ayo Mapazia shingapi mkuu.Habari,
Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi,
Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K,
No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
View attachment 1705410View attachment 1705411View attachment 1705412
Ndiyo mkuu maana uwanja tulionao sahivi ni mbovu show ya kibabe kidogo tunajikuta chini aargh๐๐[emoji23][emoji23][emoji23] unataka mbadili uwanja siyo
Ndiyo mkuu maana uwanja tulionao sahivi ni mbovu show ya kibabe kidogo tunajikuta chini aargh[emoji3][emoji3]
Sawa ila tatizo pesa ngoja tujichange change na huyu babe Tate Mkuu ๐Basi miss Carleen amesikia kilio chenu...,
Tena hiko hata sauti hakitoa, yaani ni kimya kimya, labda sauti mtoe nyie