Kitanzi kimepitwa na wakati kwanini tusitumie technology hii

Kitanzi kimepitwa na wakati kwanini tusitumie technology hii

Adhabu ya kifo pekee inayotakiwa kubaki ni ya sindano ya sumu inayomfanya anayehukumiwa kusinzia na kupitiliza. Nchi zenye option ya kuchagua wengi huchagua sumu.

Ama ziwepo options zaidi ila sumu isikose. Hiyo ya kiti cha umeme ni ya zamani pia
Mi naona utengenezwe mto feki kisha wawekwe mamba wengi na wasipewe chakula siku tatu kabla ya hukumu
Siku ya hukumu wafungwa wanatupiwa mtoni hadi maji yawe mekundu. Just idea
 
Wakikujibu pls nipe Nami taarifa,adhabu ya kifo nitaifuta within 10mins ya Urais wangu including copral punishment kwa wanafunzi ,futilia mbali huu ni ujima, unyama na ukatili
Umesema unyama na ukatili je utafanyaje kuundoa ukatili wa mtu mmoja kuutwaa uhai wa mwingine huku uraiani maana inaonekana unataka kuutoa tu ule unyama wa dola kuutwaa uhai wa muuaji alyepatikana na hatia
 
Mi naona utengenezwe mto feki kisha wawekwe mamba wengi na wasipewe chakula siku tatu kabla ya hukumu
Siku ya hukumu wafungwa wanatupiwa mtoni hadi maji yawe mekundu. Just idea
Duh samahani una undugu na Hitler au iddi amin dada
 
Umesema unyama na ukatili je utafanyaje kuundoa ukatili wa mtu mmoja kuutwaa uhai wa mwingine huku uraiani maana inaonekana unataka kuutoa tu ule unyama wa dola kuutwaa uhai wa muuaji alyepatikana na hatia
Mkuu fikiria nje ya box, mtu X akimwua mtu Y,na wewe unaamua kumwua mtu Y,wote ni wauaji!,tuna adhabu ya 30yrs kwa raping, but kila kukicha ni kesi hizi hazipungui!,tunahitaji mtazamo mpya mkuu wangu, ingiza technology sio vipigo vya miaka hiyo
 
Mkuu fikiria nje ya box, mtu X akimwua mtu Y,na wewe unaamua kumwua mtu Y,wote ni wauaji!,tuna adhabu ya 30yrs kwa raping, but kila kukicha ni kesi hizi hazipungui!,tunahitaji mtazamo mpya mkuu wangu, ingiza technology sio vipigo vya miaka hiyo
Mkuu I believe nature ya mwanadamu itabaki palepale watu hatutaacha kutenda makosa technology tu ndio inabadilika nami nikaona tuendane na technology tutoke kwenye vitanzi tuje kwenye wanachokifanya wenzetu haka kaadhabu naona ni sahihi kwa wauaji tuweke emotions kando
 
Unaweza kukisia au kuwa na taarifa za idadi ya walionyongwa tokea tupate uhuru? Umejikita kwenye gharama za kuwahudumia hao wauaji ukisisitiza kunyongwa inapunguza hizo gharama. Hawanyongwi Kwa kasi kiasi hicho.
Whether hawanyongwi kwa kasi kubwa ama vyovyote ila wanyongwe tu. Jamii ina changamoto nyingi na za muhimu za kushughulika nazo, sio watu wasiojali thamani ya maisha ya watu wengine.

Kuna watoto wanahitaji misaada wa ada wasome, hakuna madawati shuleni, hakuna vyumba vya madarasa, hakuna madawa hospitalini halafu tutoe hela kulisha na kutunza watu wapumbavu wasiojali maisha ya watu wengine, hizo hela tunumue madawati na tujenge madarasa, hao wauaji tumalizane nao mapema.
 
Whether hawanyongwi kwa kasi kubwa ama vyovyote ila wanyongwe tu. Jamii ina changamoto nyingi na za muhimu za kushughulika nazo, sio watu wasiojali thamani ya maisha ya watu wengine.

Kuna watoto wanahitaji misaada wa ada wasome, hakuna madawati shuleni, hakuna vyumba vya madarasa, hakuna madawa hospitalini halafu tutoe hela kulisha na kutunza watu wapumbavu wasiojali maisha ya watu wengine, hizo hela tunumue madawati na tujenge madarasa, hao wauaji tumalizane nao mapema.
Exactly
 
Kama mwenyezi muumba aliweka adhabu ya moto basi naitukuzwee daima hakika! Just imagine mfuasi wako wa harakati zako za ubaya na uadui anachomwa akiwa mzima mbele yako, heheee hapa utakua na mengi sana ya kuacha na kufuata taratibu za Mungu!

Na sema kunyongwa naona imekua fashion au mnasemaje kuchoma ndio sasa tunapaswa kuipa kipaombele kwani wauwaji wamekua wengi sana...Hatutaki vizazi vya kuleta ujingaujinga choma tu mbele ya hao mafaro waliosadiki kumtuma na kujaribu nafsi ya utatu!
 
Kama mwenyezi muumba aliweka adhabu ya moto basi naitukuzwee daima hakika! Just imagine mfuasi wako wa harakati zako za ubaya na uadui anachomwa akiwa mzima mbele yako, heheee hapa utakua na mengi sana ya kuacha na kufuata taratibu za Mungu!

Na sema kunyongwa naona imekua fashion au mnasemaje kuchoma ndio sasa tunapaswa kuipa kipaombele kwani wauwaji wamekua wengi sana...Hatutaki vizazi vya kuleta ujingaujinga choma tu mbele ya hao mafaro waliosadiki kumtuma na kujaribu nafsi ya utatu!
Heard, and aknowledged
 
Back
Top Bottom