‘Kitchen Cabinet’ na anguko la himaya 2025

Wakwongwe wa JF katika moja na mbili. Ujumbe murua kabisa toka kwa Mshana Jr na comment bora toka kwako mzee wetu. Big Up kwako.
 

Ni hatari sana porojo zinapogeuzwa mijadala!
Ni
Ukiona gari ni kubwa na limekuzidi mwendo usipaparike kulidandia hasa kwa mbele unaumia vibaya sana na ni heri uumie kiuno tupunguze kizazi
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.

Sasa Nyie wachawi na waganga kwanini hamuwalogi hawa wasiojulikana wanatutesa? Samahani kama niko nje ya mada
Kila jambo lina kanuni zake.. Mchawi harogi bila ombi maalum la kufanya hivyo na ni lazima awepo mtendaji atakayechukua na kumtelekeza maelekezo ya mlozi
 

Ni hatari sana porojo zinapogeuzwa mijadala!
Ni
Ukiona gari ni kubwa na limekuzidi mwendo usipaparike kulidandia hasa kwa mbele unaumia vibaya sana na ni heri uumie kiuno tupunguze kizazi
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.

Sasa Nyie wachawi na waganga kwanini hamuwalogi hawa wasiojulikana wanatutesa? Samahani kama niko nje ya mada
Kila jambo lina kanuni zake.. Mchawi harogi bila ombi maalum la kufanya hivyo na ni lazima awepo mtendaji atakayechukua na kumtelekeza maelekezo ya mlozi
Uteuzi upi?, wa 2020 au 2025?
P
Uteuzi wa watendaji wa KC
 

Ni hatari sana porojo zinapogeuzwa mijadala!
Ni
Ukiona gari ni kubwa na limekuzidi mwendo usipaparike kulidandia hasa kwa mbele unaumia vibaya sana na ni heri uumie kiuno tupunguze kizazi
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.

Sasa Nyie wachawi na waganga kwanini hamuwalogi hawa wasiojulikana wanatutesa? Samahani kama niko nje ya mada
Kila jambo lina kanuni zake.. Mchawi harogi bila ombi maalum la kufanya hivyo na ni lazima awepo mtendaji atakayechukua na kumtelekeza maelekezo ya mlozi
Uteuzi upi?, wa 2020 au 2025?
P
Uteuzi wa watendaji wa KC
Kitchen Cabinet (ni nini).

Ni kikundi cha watu wachache ambao ni marafiki kiongozi anaowaamini na kuwahusisha kwenye maamuzi yake; bila ya kuzingatia wataalamu wengine wa ushauri alionao.❤❤❤
paskal kasema ipo kisheria! P tafadhali jongea hapa
 

Ni hatari sana porojo zinapogeuzwa mijadala!
Ni
Ukiona gari ni kubwa na limekuzidi mwendo usipaparike kulidandia hasa kwa mbele unaumia vibaya sana na ni heri uumie kiuno tupunguze kizazi
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.

Sasa Nyie wachawi na waganga kwanini hamuwalogi hawa wasiojulikana wanatutesa? Samahani kama niko nje ya mada
Kila jambo lina kanuni zake.. Mchawi harogi bila ombi maalum la kufanya hivyo na ni lazima awepo mtendaji atakayechukua na kumtelekeza maelekezo ya mlozi
Uteuzi upi?, wa 2020 au 2025?
P
Uteuzi wa watendaji wa KC
Kitchen Cabinet (ni nini).

Ni kikundi cha watu wachache ambao ni marafiki kiongozi anaowaamini na kuwahusisha kwenye maamuzi yake; bila ya kuzingatia wataalamu wengine wa ushauri alionao.❤❤❤
paskal kasema ipo kisheria! P tafadhali jongea hapa
 
Unaota ndoto za mchana
 
Asipoelewa jibu hili hatokaa aje kuelewa tena mpaka atakapokuwa shaibu kabisa baada ya miaka yake miwili iliyobaki.
 

Kitchen Cabinet (ni nini).

Ni kikundi cha watu wachache ambao ni marafiki wa kiongozi anaowaamini na kuwahusisha kwenye maamuzi yake; bila ya kuzingatia wataalamu wengine rasmi wa ushauri alionao (civil servants).
Credit: Mayor Quimby
 
Nilichogundua katika maisha ni kwamba mkitanguliwa/kuongozwa na wanyonge, wote mnakuwa wanyonge.
Ng'ombe anayechelewesha msafara mara nyingi huwa ni wa mbele lakini anatandikwa wa nyuma!
 

Nilichogundua katika maisha ni kwamba mkitanguliwa/kuongozwa na wanyonge, wote mnakuwa wanyonge.
Ng'ombe anayechelewesha msafara mara nyingi huwa ni wa mbele lakini anatandikwa wa nyuma!
Kuna unyonge na kuna uwezo na kuna uthubutu... Ni vitu muhimu sana hata kwenye msafara wa kima
 
Mbona unamsema chairman wa Chadema na wasaidizi waandamizi wake muhimu kwa mafumbo?

Kwamba kwenye sehemu ya uchaguzi ndani ya chama iliyosalia hawatatoboa2025,?

na kwamba usaliti wa wanachama kwenye maandamano ya juzi ndio mwanzo wa mwisho wa himaya ya miongo kadhaa ya uongozi wa chairman Chadema Taifa?

Na hiyo ni ramli au tena kuna kafara hapo katikati?

Masuala ya Imani potofu kushiriki uganga na ushirikina kwenye kutafuta uongozi wa kisiasa ndrugu zango wadau sio mzuri, acheni kuchukuana misukule ndrugu zango?🐒
 

Hajatajwa mtu wala taasisi hapa lakini mmeshaanza kurukaruka kama mbaazi kikaangoni. Small minds discuss people
 
Kwakuwa Ule mlango uliofunguliwa haujafungwa,

Tusubiri kuona who's next.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…