Kitchen Party: Yatokanayo...

Kitchen Party: Yatokanayo...

Unajua Kaizer - kitchen party haifundishi tu namna ya kumfurahisha mwandani wako.Kuna mambo mengine kwamfano matumizi ya vifaa na technoljia mbalimbali za usafi, kuhuisha kazi na maisha ya kifamilia kwa career women, kupunguza migogoro - hivi ni vitu ambavyo vina evolve with time.Yapo mengi sana..usiangalie upande mmoja tu.Kama ni hilo tu mbona kila mtu angejitafutia namna yake ya survival?
Ofcourse inategemea mtu anaenda KP gani....
Kitu nimejifunza ni kuwa KP pia ni class issue!


Enhe..Vera,, tukiweka suala la class kwenye equation, nadhani utakubaliana na mimi kuwa kwa wale wa relatively lower classess ndo wako most likely kuengage kwenye KP zinazofundisha mambo ya kitandani tu..kwa sababu asset restrictions zao zinawafanya washindwe kujadili mengine ambayo kwa wale walio kwenye class za juu wangejadili kama mambo ya teknolojia ulivosema hapo juu. Na pia, nina wasi wasi kuwa suala la career bado halijawa mainstream kwenye KP...kwa nyingi wanapractice traditional KP ambayo ina mazaga zaga kibao ysiyo na maana au ambayo yanajulikana tayari. kama ulivosema, haya yatachukua muda na by the inaweza hata kubadilika jina isiwe KP tena.
 
Ila kinachonishangaza sijawahi kuona mfundaji wa KP aliyeolewa wote wameachika ... sijui wanatufunza nini ...

mmoja alisema jamani naomba mfate mafunzo yangu msinifikilie mimi kama mimi lol
 
Enhe..Vera,, tukiweka suala la class kwenye equation, nadhani utakubaliana na mimi kuwa kwa wale wa relatively lower classess ndo wako most likely kuengage kwenye KP zinazofundisha mambo ya kitandani tu..kwa sababu asset restrictions zao zinawafanya washindwe kujadili mengine ambayo kwa wale walio kwenye class za juu wangejadili kama mambo ya teknolojia ulivosema hapo juu. Na pia, nina wasi wasi kuwa suala la career bado halijawa mainstream kwenye KP...kwa nyingi wanapractice traditional KP ambayo ina mazaga zaga kibao ysiyo na maana au ambayo yanajulikana tayari. kama ulivosema, haya yatachukua muda na by the inaweza hata kubadilika jina isiwe KP tena.

Kaizer,
Nikihesabu KP nilizowahi kuhudhuria ni kama 20% ya zile nilizoalikwa.Hii ina maanisha kuwa sihudhurii kila KP... Katika hizo 20% ni kama 25% tu ndio zililenga hayo mambo yenye upotoshaji wa maadili - 75% zilikuwa na mafunzo mazuri sana na kulikuwa na motivational speakers waki share uzoefu wao katika DOs na DONTs.Kwa kweli nilifaidika sana na kujisikia sijapoteza muda wangu.Moja ya eneo lililonivutia katika KP tatu ni kusikiliza mawaidha yaliyolenga kumhamasisha mwanamke kutokubweteka kwa vile sasa kaolewa na kuna mume wa kumtunza.
Hata hivyo hatuwezi kuzi harmonise/allign KP zote kwa sababu kila jamii na kundi la jamii wana utaratibu na malengo yao ya maisha.Itachukua muda mrefu kubadilisha mwelekeo wa watu na maisha yao.
 
Mimi naona si kweli kwamba zinaharibu, inategemea na wewe mwenyewe unavyotaka ,na type ya wewe mwenyewe ulivyo pamoja na ndugu, jamaa na marafiki ulionao jinsi walivyo. kwa ufupi Kitchen part inaku potray wewe ulivyo, kama ni shangingi na kampani yako ya mashangingi, obvious hata kp itakuwa ya rusha roho na mwaga radhi na matusi kibao, lakini kama ni mtu wa church mwenye maadili itajaa marafiki wacha Mungu na wamama wenye heshima zao na watakufundisha kimaadili na mistari ya neno la Mungu kibao, yani ni gospel songs kwa kwenda mbele.

Lakini pia kama si shangingi na si mcha Mungu kivile lakini mstaarabu yani uko reserved pia watu utakaowaalika watakua hivyo na sherehe itakuwa ya kistaarabu kuanzia mavazi , nyimbo zitazochezwa hadi manebno yatayozungumzwa.
Ka ufupi unao uwezo wa kuamua kitu gani unataka kwenye kp yako according to your behaviour and lifestyle, mi nimeona nyingi tu zenye heshima za kutosha, hizo za ajabu sijawahi kuudhuria ndo maana nasema it depends.
 
Mimi naona si kweli kwamba zinaharibu, inategemea na wewe mwenyewe unavyotaka ,na type ya wewe mwenyewe ulivyo pamoja na ndugu, jamaa na marafiki ulionao jinsi walivyo. kwa ufupi Kitchen part inaku potray wewe ulivyo, kama ni shangingi na kampani yako ya mashangingi, obvious hata kp itakuwa ya rusha roho na mwaga radhi na matusi kibao, lakini kama ni mtu wa church mwenye maadili itajaa marafiki wacha Mungu na wamama wenye heshima zao na watakufundisha kimaadili na mistari ya neno la Mungu kibao, yani ni gospel songs kwa kwenda mbele.

Lakini pia kama si shangingi na si mcha Mungu kivile lakini mstaarabu yani uko reserved pia watu utakaowaalika watakua hivyo na sherehe itakuwa ya kistaarabu kuanzia mavazi , nyimbo zitazochezwa hadi manebno yatayozungumzwa.
Ka ufupi unao uwezo wa kuamua kitu gani unataka kwenye kp yako according to your behaviour and lifestyle, mi nimeona nyingi tu zenye heshima za kutosha, hizo za ajabu sijawahi kuudhuria ndo maana nasema it depends.

Carmel
Asante kwa kuchangia mtizamo chanya kuhusu KP... nadhani point yangu juu ya class uneiweka vizuri mno.
 
Carmel
Asante kwa kuchangia mtizamo chanya kuhusu KP... nadhani point yangu juu ya class uneiweka vizuri mno.

Dada iwe mchango ni chanya au hasi, usijali. Hizo zote ni packages kutegemea na mahitaji ya mtu. Kama KP itakuwa ya kipuuzi mwanangu au my wife wangu hawezi kwenda kwa sababu mim na family yangu hatuko kwenye hizo line. Kwa hiyo waache watu wajirushe wanavyopenda. Kitu cha muhimu ni mtu binafsi kuchagua anachotaka!
 
Waachieni wenyewe kule kusini mwa Tanzania, msondo, jando na unyago ndiyo elimu ya jamii na mahusiano ya kujenga familia. KP bongo ni ajira za watu.

Kule kusini tunafanyia msituni, hakuna mziki wa kileo, makungwi wamebobea, wenye ndoa zao. karibuni wote huko mjifunze.
 
Dada iwe mchango ni chanya au hasi, usijali. Hizo zote ni packages kutegemea na mahitaji ya mtu. Kama KP itakuwa ya kipuuzi mwanangu au my wife wangu hawezi kwenda kwa sababu mim na family yangu hatuko kwenye hizo line. Kwa hiyo waache watu wajirushe wanavyopenda. Kitu cha muhimu ni mtu binafsi kuchagua anachotaka!
asante DC
Nilikuwa namshukuru Carmel kwa kutupatia positive side maana wengi walionyesha negative side tu kama vile KP zote ni mbaya.
 
asante DC
Nilikuwa namshukuru Carmel kwa kutupatia positive side maana wengi walionyesha negative side tu kama vile KP zote ni mbaya.

Haya mambo ya akina dada kufundwa kwa one event ya kitchen party ni ulaghai mtupu.

Vera, natumaini umeona video hii: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/40268-mpo-kisusio-hichoooo.html... unategemea binti/dada atajifunza nini kutoka katika hiyo party kubwa kama inavyoonekana hapo?

Jando na unyago vilikuwa/vina maana zaidi ya haya mambo ya kuigaiga ya kimjini ambapo focus kubwa inakuwa kuoneshana ukubwa wa party na wageni rasmi na minjonjo ya kitandani.

Bora sisi wanaume tumekata shauri kabisa kwenye stag nights zetu ya kwamba; huko ni mwendo wa booze kwa sana na private dancers!! (https://www.jamiiforums.com/494896-post13.html)
 
Kitchen party zipo za aina mbali mbali kuna nyingine ni nzuri tu. Kwa uzuri nimehudhuria aina hizi zote.
-Kuna zile ambazo ni za watu wastaarabu, hizi mwanamke yeyote unaweza kuingia uwe umeolewa au single. Mambo yanayofundishwa hapo yote yanahusu mambo muhimu kwa mwanamke kama usafi, kupika, kuishi na mume na mwanamke kujishughulisha, mwanamke kuwa mtu mchapa kazi na usijibweteke. KP hizi huwezi kukuta mambo ya rusha roho yaani taarabu, kutakuwepo na mziki wa kawaida tu.
-Kuna kitchen party zile ambazo ni rusha roho kwenda mbele, hapo ni taarabu na mipasho. Hizi KP ndio kuna mambo ya kusasambua na hayo kisusio. Na hizi KP huwezi kukaa hata na mtoto, maana mambo wanaozungumza ni aibu tupu. Na hizi KP ndio zimeharibu maana nzima ya kitchen party.
 
Haya mambo ya akina dada kufundwa kwa one event ya kitchen party ni ulaghai mtupu.

Vera, natumaini umeona video hii: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/40268-mpo-kisusio-hichoooo.html... unategemea binti/dada atajifunza nini kutoka katika hiyo party kubwa kama inavyoonekana hapo?

Jando na unyago vilikuwa/vina maana zaidi ya haya mambo ya kuigaiga ya kimjini ambapo focus kubwa inakuwa kuoneshana ukubwa wa party na wageni rasmi na minjonjo ya kitandani.

Bora sisi wanaume tumekata shauri kabisa kwenye stag nights zetu ya kwamba; huko ni mwendo wa booze kwa sana na private dancers!! (https://www.jamiiforums.com/494896-post13.html)

Jamani huku si kumchanganya bi harusi huko?

Nani anakwenda shule kwa masaa na aka-apply ujuzi baada ya wiki moja??

Hayo yanawafanya ma-biharusi wanaingia kwenye ndoa washachanganyikiwa, wanakuwa too suspicious kwamba hayo watayaweza? itakuwaje?

Elimu hii inatolewa kwa dozi ndogo ndogo, taratiibu, mpaka unaiva. Ndiyo maana mwali huwekwa ndani au huko mkoleni kwa miezi mpaka mitatu(3) akitoka huko kaivaa, siyo hizo Kitchen Part-mi naziita crush programme za bongo za watoto wa makochi, mhh!!! Matokeo yake wanafeli mitahani ya ndoa.

Na hiyo elimu siyo ya kitandani tu jamani, bali na usafi wa roho, pia mme na watoto, na nyumba bila kuchoka.

Najisikia nianzishe darasa hapahapa kinyume na taratibu za elimu hiii, kharr
 
Najisikia nianzishe darasa hapahapa kinyume na taratibu za elimu hiii, kharr

Ndugu yangu
unavyojisikia ndivyo nami najisikia...... mambo yamekuwa diluted mno hadi kukosa ladha na maana.
Hiki tunachojadili ni darasa la introduction.Full programme baadae.
 
Ndugu yangu
unavyojisikia ndivyo nami najisikia...... mambo yamekuwa diluted mno hadi kukosa ladha na maana.
Hiki tunachojadili ni darasa la introduction.Full programme baadae.

So, Vera.... would you wanna team with me to get this programme going?! what do you say.... I too am interested. I see you've been on this case for a while.
 
Huu ni uswahili swahili (whatever the hell that means) tu na elimu ndogo. Huwezi kumkuta mtu aliyeelimika kama Mama Migiro akimfanyia bintiye huu ujinga ujinga. Hata wanawake wale wanaofagilia huu upuuzi ukiangalia elimu zao ndi ndogo sana.

Nyambaaaf kabisa...
 
Huu ni uswahili swahili (whatever the hell that means) tu na elimu ndogo. Huwezi kumkuta mtu aliyeelimika kama Mama Migiro akimfanyia bintiye huu ujinga ujinga. Hata wanawake wale wanaofagilia huu upuuzi ukiangalia elimu zao ndi ndogo sana.

Nyambaaaf kabisa...
una uhakika na maneno yako asilimia mia mkuu?
 
Huu ni uswahili swahili (whatever the hell that means) tu na elimu ndogo. Huwezi kumkuta mtu aliyeelimika kama Mama Migiro akimfanyia bintiye huu ujinga ujinga. Hata wanawake wale wanaofagilia huu upuuzi ukiangalia elimu zao ndi ndogo sana.

Nyambaaaf kabisa...

...vipi kuhusu jando na swala zima la kufundwa?
 
una uhakika na maneno yako asilimia mia mkuu?

Nini kilicho asilimia mia? Hata DNA ya mzazi na mtoto haiko asilimia mia...sasa itakuwaje maneno yangu ninayoyatoa kwenye mtandao kama Julius (jina bandia) aka Nyani Ngabu yawe ya uhakika kwa asilimia mia?
 
Huu ni uswahili swahili (whatever the hell that means) tu na elimu ndogo. Huwezi kumkuta mtu aliyeelimika kama Mama Migiro akimfanyia bintiye huu ujinga ujinga. Hata wanawake wale wanaofagilia huu upuuzi ukiangalia elimu zao ndi ndogo sana.

Nyambaaaf kabisa...

Aisee unaonekana ujakanyaga bongo muda mrefu sana. Njoo bana uone unaowaita wasomi walivyo mtari wa mbele kwenye hii shughuli..
 
Back
Top Bottom