Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Unajua Kaizer - kitchen party haifundishi tu namna ya kumfurahisha mwandani wako.Kuna mambo mengine kwamfano matumizi ya vifaa na technoljia mbalimbali za usafi, kuhuisha kazi na maisha ya kifamilia kwa career women, kupunguza migogoro - hivi ni vitu ambavyo vina evolve with time.Yapo mengi sana..usiangalie upande mmoja tu.Kama ni hilo tu mbona kila mtu angejitafutia namna yake ya survival?
Ofcourse inategemea mtu anaenda KP gani....
Kitu nimejifunza ni kuwa KP pia ni class issue!
Enhe..Vera,, tukiweka suala la class kwenye equation, nadhani utakubaliana na mimi kuwa kwa wale wa relatively lower classess ndo wako most likely kuengage kwenye KP zinazofundisha mambo ya kitandani tu..kwa sababu asset restrictions zao zinawafanya washindwe kujadili mengine ambayo kwa wale walio kwenye class za juu wangejadili kama mambo ya teknolojia ulivosema hapo juu. Na pia, nina wasi wasi kuwa suala la career bado halijawa mainstream kwenye KP...kwa nyingi wanapractice traditional KP ambayo ina mazaga zaga kibao ysiyo na maana au ambayo yanajulikana tayari. kama ulivosema, haya yatachukua muda na by the inaweza hata kubadilika jina isiwe KP tena.