Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Katika mambo ambayo mpaka leo yameshindwa kujulikana, ni nani allitengeza sarafu ya Bitcoin ambaye alijipachika jina la Satoshi Nakamoto.
Watu wengi wamekuwa wakihisiwa lakini mwisho inagundulika siyo wao. Jambo la kustaajabisha, jamaa mara ya mwisho alilog off 2012 na hakuwahi kuonekana tena. Ila dunia inafurahia uvumbuzi wake wake ambao mpaka leo hakuna aliyefanikiwa kuuhack.
Bitcoin network imekuwa undefeated, na imetengeneza teknolojia mipya ya kutengeneza mifumo ya kifedha na mikataba ya kidijitali. Katika watu wengi waliotajwa, kuna mtu mmoja ana kila dalili ya kuwa inawezekana ndiye aliyetengeneza bitcoin, naye ni Paul Le Roux.
Huyu ni mzailwa wa zimbabwe mwaka 1976, ambapo familia yake ilihamia afrika kusini. Baadae alisoma mambo ya computer programming, kisha akahamia Uingereza ambapo aliajiliwa kwenye kampuni ya kutengeneza mifumo ya encryption.
Akiwa hapo aliunda program inayojulikana kama E4M yani Encryption for Masses. Hii ilikuwa ni program ambayo waaharifu na magaidi walipenda kuitumia, ilikuwa inafunga kuigniliwa mawasiliano kwa kila namna iwe email, simu, web access, na kila kitu. CIA walipata tabu sana kupenetrated system iliyolindwa na program hii.
Baadae aliona hawezi kuwa tajiri akahamia Manila, Ufilipino, ambapo alitengeneza call center na kuanzisha mtandao wa kuuza prescribtion drugs kwa Wamarekani. Kwa siku alikuwa anaprocess order zaidi ya 300. Ilikuwa ni biashara haramu ila alikuwa akiingiza pesa ndefu na hakuna aliyeweza kumtrack maana computer yake na mtandao wake wa mauzo alikuwa kautengenezea mfumo wa wa encryption wa hali ya juu.
Akaona pesa haitoshi akaanza uajiri wanajeshi wastaafu wa marekani na Uingereza kuwa genge lake. Jamaa kawa na pesa nyingi akaamua kuwa anawtuma vijana wake wanaenda Hongkng wananunua dhahabu by cash wanaziweka safe house.
Akaona hiyo haitoshi akaenda akatuma mwakilishi Iran akaingia nao mkataba wa kuwaletea silaha, pamoja na kuwauzia formula ya kutengeneza mabomu ya kutungulia misafara ya wamarekani huko Iraq. Hiyo haitoshi akwa na kundi la hit mens, polisi na wanasiasa wa Ufilipino walikuwa kwenye pay roll yake. Watu wengi waalifu walimjua tu kwa jina la Big Boss.
Akaanza uzalishaji na usambazaji wa dawa za kulevya Asia. Akatuma vijana wake waka recruit vijana na kujenga military base Pwani ya somalia itakayokuwa kama military barracks, ikiwa na landing strip. Muda wote huo CIA hawakuwahi msikia mpaka ilipotoka report ya UN ndipo CIA wakaanza mfuatilia mpaka kuja kumnasa lIberia mwaka 2012.
Kwanini inasadikika kuwa ndiye mtengenezaji wa btcoin.
1. Ana ufahamu mkubwa wa coding na encryption, hata maka anakamatwa CIA walishindwa kupenetrate mawasilaino yake iwe ya simu au computer, aliyewasaidia ni kijana wake aliyekuwa amemweka SOmalia kama kiongozi baadae akahisi anamwibia akatuma mtu amuue kijana machale yakamcheza akakimbia Na kwenda mafichoni. Huyu ndiye alikuja shirikiana na CIA kwa kuwapa copies za encryption zake na kuwaunga naye maan baadae aliwasiliana na boss wake akimwambia kuwa hakuwa anamwibia halafu akampa deal la kusambaza dawa za wacolumbia kumbe wacolumbia hao walikuwa ndiyo CIA.
2. Post za Satoshi na maneno na uandishi wake wa kingereza cha ki British ni sawa na wa Paul.
3. Emails alizokuwa aiwatumia developers wengine uandishi wake ni sawa na emails nyingine alizokuwa akizituma kwa vijana wake.
4. Satoshi toka apotee hajwahi kuonekana na inasadikika alimine 1 million bitcoin ambazo mpaka leo hazijatumika, huu a ndiyo muda ambao Paul naye alikamatwa na mpaka leo yuko gerezani Marekani.
Watu wengi wamekuwa wakihisiwa lakini mwisho inagundulika siyo wao. Jambo la kustaajabisha, jamaa mara ya mwisho alilog off 2012 na hakuwahi kuonekana tena. Ila dunia inafurahia uvumbuzi wake wake ambao mpaka leo hakuna aliyefanikiwa kuuhack.
Bitcoin network imekuwa undefeated, na imetengeneza teknolojia mipya ya kutengeneza mifumo ya kifedha na mikataba ya kidijitali. Katika watu wengi waliotajwa, kuna mtu mmoja ana kila dalili ya kuwa inawezekana ndiye aliyetengeneza bitcoin, naye ni Paul Le Roux.
Huyu ni mzailwa wa zimbabwe mwaka 1976, ambapo familia yake ilihamia afrika kusini. Baadae alisoma mambo ya computer programming, kisha akahamia Uingereza ambapo aliajiliwa kwenye kampuni ya kutengeneza mifumo ya encryption.
Akiwa hapo aliunda program inayojulikana kama E4M yani Encryption for Masses. Hii ilikuwa ni program ambayo waaharifu na magaidi walipenda kuitumia, ilikuwa inafunga kuigniliwa mawasiliano kwa kila namna iwe email, simu, web access, na kila kitu. CIA walipata tabu sana kupenetrated system iliyolindwa na program hii.
Baadae aliona hawezi kuwa tajiri akahamia Manila, Ufilipino, ambapo alitengeneza call center na kuanzisha mtandao wa kuuza prescribtion drugs kwa Wamarekani. Kwa siku alikuwa anaprocess order zaidi ya 300. Ilikuwa ni biashara haramu ila alikuwa akiingiza pesa ndefu na hakuna aliyeweza kumtrack maana computer yake na mtandao wake wa mauzo alikuwa kautengenezea mfumo wa wa encryption wa hali ya juu.
Akaona pesa haitoshi akaanza uajiri wanajeshi wastaafu wa marekani na Uingereza kuwa genge lake. Jamaa kawa na pesa nyingi akaamua kuwa anawtuma vijana wake wanaenda Hongkng wananunua dhahabu by cash wanaziweka safe house.
Akaona hiyo haitoshi akaenda akatuma mwakilishi Iran akaingia nao mkataba wa kuwaletea silaha, pamoja na kuwauzia formula ya kutengeneza mabomu ya kutungulia misafara ya wamarekani huko Iraq. Hiyo haitoshi akwa na kundi la hit mens, polisi na wanasiasa wa Ufilipino walikuwa kwenye pay roll yake. Watu wengi waalifu walimjua tu kwa jina la Big Boss.
Akaanza uzalishaji na usambazaji wa dawa za kulevya Asia. Akatuma vijana wake waka recruit vijana na kujenga military base Pwani ya somalia itakayokuwa kama military barracks, ikiwa na landing strip. Muda wote huo CIA hawakuwahi msikia mpaka ilipotoka report ya UN ndipo CIA wakaanza mfuatilia mpaka kuja kumnasa lIberia mwaka 2012.
Kwanini inasadikika kuwa ndiye mtengenezaji wa btcoin.
1. Ana ufahamu mkubwa wa coding na encryption, hata maka anakamatwa CIA walishindwa kupenetrate mawasilaino yake iwe ya simu au computer, aliyewasaidia ni kijana wake aliyekuwa amemweka SOmalia kama kiongozi baadae akahisi anamwibia akatuma mtu amuue kijana machale yakamcheza akakimbia Na kwenda mafichoni. Huyu ndiye alikuja shirikiana na CIA kwa kuwapa copies za encryption zake na kuwaunga naye maan baadae aliwasiliana na boss wake akimwambia kuwa hakuwa anamwibia halafu akampa deal la kusambaza dawa za wacolumbia kumbe wacolumbia hao walikuwa ndiyo CIA.
2. Post za Satoshi na maneno na uandishi wake wa kingereza cha ki British ni sawa na wa Paul.
3. Emails alizokuwa aiwatumia developers wengine uandishi wake ni sawa na emails nyingine alizokuwa akizituma kwa vijana wake.
4. Satoshi toka apotee hajwahi kuonekana na inasadikika alimine 1 million bitcoin ambazo mpaka leo hazijatumika, huu a ndiyo muda ambao Paul naye alikamatwa na mpaka leo yuko gerezani Marekani.